KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Duniani, Majeshi huwa hayaanzishi machafuko, machafuko huanzishwa na wanasiasa. Jeshi hutekeleza tu amri za wanasiasa. Madhaifu ya utendaji wa Jeshi hutokana na mapungufu ya busara za viongozi wa...
3 Reactions
4 Replies
37K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Kwa sasa tunaelekea mwisho wa safari Katika Mchakato wa Kupata Katiba Mpya. Hakika ilikuwa ni safari ndefu ambayo ilijaa milima, mabonde na makorongo ya kila aina. Wengi...
6 Reactions
153 Replies
16K Views
Wameteswa wengi, wamepotea wengi, kimya kimya Sasa ni hadharani...NAPE, Lissu Watanzania kuna haja ya kukaa Kimya tena? Kwanza niwapongeze Watanzania kwa wingi sana wameonyesha kuguswa na tukio...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanabodi, Hii ni thread ya swali "Kama Katiba Yetu Ingeruhusu Matokeo ya Urais Kuhojiwa Mahakamani, Jee Chadema Wangepinga Ushindi wa Magufuli?!". Baada ya Mahakama Kuu nchini Kenya kutengua...
11 Reactions
68 Replies
8K Views
Nimemsikliza Mstaafu Dr. Rwaitama, ki ukweli sikuwahi kumuelewa kwa miaka yote ambayo amekuwa akialikwa na kuongea kwenye televisheni na radio, jana kwa mara ya kwanza nimemuelewa alipokuwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni rahisi mno kuona mrejesho uliotokea kwenye SERIKALI nyingi Afrika baada ya mahakama kuu Kenya kutengua uchaguzi uliompa ushindi Kenyatta.... Sikuona pongezi zozote toka serikali zilizoko...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Wanajamvi ningependa kufahamu kati ya katiba hizi 3 ipi inasimamia misingi ya kidemokrasia na inaheshimiwa na wafuasi wake 1. Katiba ya CCM 2. Katiba ya CHADEMA, na 3. Katiba ya Jamhuri ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari wakuu? Naomba msaada wa kisheria kama ifuatavyo.. Nimeajiriwa kwenye kampuni binafsi na nina mkataba wa continous( wakudumu).. Sasa mwajiri anataka tuingie mkataba mpya wa mwaka mmoja mmoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hua kila nikiwafikiria baadhi ya vijana wenzangu napata shida sana. Yaani mtu anataka kuamka na kuanza kupoteza muda kuzunguka na kampeni ya hovyo kabisa tena yenye uchonganishi ulio kinyume na...
3 Reactions
2 Replies
991 Views
Ipo hivi......... Kuitenganisha mihimili ya dola ifanye kazi kwa kutokuingiliana ilikuwa ni sehemu ya mapendekezo ndani ya rasimu ya Warioba. Kuundwa kwa mahakama ya juu (Supreme court) ilikuwa...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Kumekua na maoni mengi sana kuhusu suala la katiba mpya Tanzania. Suala hili lilipigiwa sana kelele na wananchi pamoja na wanasiasa hadi pale JK alipoanzisha mchakato huo ambao pia uliishia...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Tunapomchagua Rais, maana yake ni kwamba tumeajiri mtu atutumikie. Tunamlipa mshahara kwa kodi zetu, na tunamlida kwa Vyombo vya usalama kupitia kodi zetu. Huyu tuliyemwajiri tunatakiwa tumpe job...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanabodi, Natumai weekend inakwenda vizuri popote pale mlipo. Binafsi nikikumbuka swala la katiba mpya moyo wangu unafadhaika sana. Nakumbuka jinsi tume ya kukusanya maoni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Basi wana jamvi tusaidiane kufikisha hoja muhimu katika katiba, ili vile viraka vyao wanavyoweka basi waweke 1) Nafasi za mawaziri ziwe ni ajira, watu waombe watume cv waitwe kwenye usaili na...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani. Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna...
2 Reactions
51 Replies
5K Views
Ni wazi kabisa kua CCM ndio maadui wakubwa wa upatikanaji wa katiba mpya katika taifa letu ili waendelee kuyalinda maslahi yao binafsi, hawana huruma na hali ilivyo nchini. Wanapiga kelele kwamba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nimekuwa nafuatilia namna jirani zetu Wa Kenya walivyofanikiwa kupata Katiba yao.Wakenya Katiba yao imeandaliwa na wasomi , Taasisi na mashirika mbalimbali ila VYAMA vya Siasa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika hili walifanikiwa kwa kiasi kikubwa na hakuna kingine cha maana kilichofanyika na hata wao kisaikolojia hawakuwa wamezamilia kuja na katiba mpya tena ya wananchi Bali kukusanya laki tatu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom