KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Kwa masaa machache yaliyobaki CCM watampata mgombea urais aliye bora au ndo ile tufanyeje na huyu anafaa?? kwakawaida tumekuwa tukipata mgombea urais tangu February leo tunakaribia Juni hakuna...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naangalia TBC sasa hivi, Namuona Rais wa Nchi yetu akiongolea suala la kura kwa katiba Pendekezwa. Inaonekana Rais amelishwa maneno mengi ya Uongo kuhusu ukusunywaji wa Maoni ya Katiba hiyo...
0 Reactions
320 Replies
26K Views
Napenda kuwasihi ndugu zangu wazanzibar ambapo binafsi nina undugu nao wa damu kabisa kwa upande wa mama yangu mzazi kuisoma vizuri kabisa, Katiba Inayopendekezwa, kifungu kwa kifungu ili kuepuka...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
53.-(1) Kila mtoto ana haki ya: (a) kupewa jina, uraia na kusajiliwa; (b) kutoa mawazo, kusikilizwa na kulindwa dhidi ya uonevu, ukatili, udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu; (c)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ibara ya 68 kifungu cha 1 hadi cha 2,vifungu hivi viwili vinaeleza Mtu anayestahili kuwa Raia wa Tanzania kwa mjibu wa katiba na kifungu cha 2 ibara hiyo hiyo ya 68 Aina za Uraia na namna ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Katiba Inayopendekezwa pia inatoa fursa ya kuunda tume ya usimamizi wa uratibu wa mambo ya Muungano, chombo kitakachoshughulikia moja kwa moja mambo ya Muungano na malalamiko yake wakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
lipo tatizo la nchi nyingi kuwa na nadhalia ya mihimili mitatu ya utawala lakini mihimili hiyo kuuliwa kutokana na jinsi mihimili hiyo inavyoundwa katika katiba na mwisho ni kuwa na mhimili mmoja...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Behind the scene ya kila kinachoonekana kuipinga katiba inayopendekezwa na wale wanaojiita UKAWA ipo katiba ibara ya 97 Chanzo cha kuaminika toka katika umoja huo kinasema kuwa, kutokana na...
1 Reactions
95 Replies
9K Views
Ndugu wana jamvi naomba nilete hoja hii inayoizungumzia SMZ na Mamlaka yeke kwa uzuri kabisa kwenye Katiba Inayopendekezwa! Ibara ya 163-(1) Inatamka wazi kuwa na Serikali ya Zanzibar...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni wasaa mwingine watanzania wenzangu tukibadulishana mawazo katika mtandao huu adhimu kwa mada motomoto,natumai mungu amewajalia heri katika shughuli zenu za kila siku .. Wote ni mashihidi kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Amon Mpanju, mbona unajidhalilisha kiasi hicho! We umekuwa na weledi kushinda wajumbe wa tume ya Jaji Waryoba. Kwa taarifa yako hata sisi watu wenye ulemavu tunakushangaa na kukusitikia...
2 Reactions
125 Replies
8K Views
baada ya kupata katiba inayo pendekezwa,macho na mawazo ya watanzania wengi ni juu ya zoezi la upigaji kula juu ya katiba inayo pendekezwa. yapo makundi mbalimbali ambayo yamejipanga...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
"MTWARA ya sasa ni tofauti na ile ya miaka ya 2011 na kurudi nyuma, kwani ilikuwa ikidharauriwa na haikuwa ikifikika kwa urahisi kutokana na miundombinu mibovu hususan barabara."Ilikuwa si ajabu...
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Lema anakubalika Arusha na wananchi wake hawapo tayari kumuangusha mmbunge wao.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kati ya mambo ambayo nimefurahishwa nayo ni hili la UKAWA kukubali Katiba inayopendekezwa,suala la mgombea Huru/Binafsi, tume Huru ya uchaguzi,Matokeo ya Urais kupingwa mahakama ya juu,Suala la...
1 Reactions
49 Replies
5K Views
VS Katika hali isiyokuwa ya kawaida Makamanda wa CHADEMA Mkoani Arusha jana wametangaza rasmi kukiasi chama hicho kutokana na kiongozi wao,Mhe Mbunge Godbless Lema kutowajali vijana hao huku...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Waungwana, Katika katiba pendekezwa, kumetajwa haki mbali mbali mfn za akina mama, wazee, vijana, watoto, wasanii, wakulima, wafugaji, nk. Je, kuna kifungu kinacho kataza baadhi ya haki hizo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna watu wanadhani Zanzibar ni nchi tangu mwaka 2010 ilipobadili katiba yake. Nimevutiwa na uchambuzi wa gazeti la RAIA MWEMA lililotufafanulia kwamba kumbe Zanzibar ilibaki kama sovereign stat...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Akiongea ktk kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na Azam Tv,aliyekuwa mjumbe wa Bunge la Katiba ndugu Amon Mpanju amesema tume ya Jaji Warioba na wajumbe wake waliongozwa na mihemuko na si...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha jana kupitia ITV kwenye taarifa ya HABARI YA SAA 2 Usiku mmoja wa viongozi wa UKAWA aliweka wazi kuwa ndani ya UKAWA kuna mgongano wa kimasilahi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…