KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Wasomi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) wamesisitiza umuhimu wa kutolewa kwa elimu ihusuyo Katiba Inayopendekezwa kabla ya kupiga Kura ya Maoni. Wasomi hao wamesisitiza kuwa kwa kufanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kati ya mambo ambayo yananishangaza ni baadhi ya viongozi wa Asasi na Taasisi za Kiraia kusahau majukumu yao na kuanza kuwa wasemaji wa vyama vya Siasa, hili la Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Katika mambo ambayo yamekuwa yakinikanganya nia haya ya warioba na tume yake ambapo mpaka sasa wamekuwa wakitumia majukwaa mbali mbali kusema kuwa yale waliyoyakusanya ni maoni ya wananchi...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Mara kwa mara nimekuwa nikiuliza huu umoja wa vyama vya upinzani wenyewe wameupa jina la Ukawa kama kweli viongozi wakuu wa umoja huu kama wapo sawa maana wanaonekekana kama vile wamelogwa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
KURA YA MAONI YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA!!! TUACHE MASIHALA!!! HIZI IBARA 285, 286, 287 NA 288! ZIMEKAAJE IWAPO KATIBA HIYO ITAPITA KWENYE KURA YA MAONI??? Je! JK na wenzake kuendelea kula...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Leo nilijarib kujichanganya changanya na kujipitisha huku na kule katika maadhimisho ya sherehe ya miaka 51 ya muungano....kila mmoja alikua akiongea kuhusu tanzania kuendelea kuimarisha muungano...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam za dhati Watanzania wenzangu,natumai mungu amewajaalia Afya njema na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku. Lengo la kijiwaraka hiki ni kusema nanyi watanzania wenzangu kidogo...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Pamoja na kuahirisha tarehe 30.4.2015 ya kuipigia kura katiba inayopendekezwa bado vijijini kumekua na sintofahamu juu ya katiba hiyo. Nitumie fursa hii kuiomba bunge maalum la katiba kua...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwanza naomba nianze na pongezi za dhati kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, kwa Mtangazaji Doto Bulendu wa Star TV kwa kipindi chake cha "Jicho Letu Ndani ya Habari" kinachorushwa live...
8 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari yako Naomba uniwekee katiba pendekezwa hapa nii download thanks
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu zangu naombeni mnisaidie kuhusu hii KATIBA yetu inayopendekezwa ina SURA ngapi na IBARA ngapi? Baada ya hapo ninaomba mnifafanulie kuhusu sura inayohusu Haki na Wajibu wa raia inakuaje...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa...
0 Reactions
155 Replies
10K Views
Mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bwana Hamphrey Pole Pole amevunja ukimya na kusema Katiba ni ya Wananchi na si ya wanasiasa. Hebu mwangalie alivyotamka mwenyewe,"" Katiba hii...
0 Reactions
167 Replies
13K Views
Nimekuwa nikifuatilia mara kwa vyombo mbalimbali vya habari na kuona makundi ya wanawake na walemavu wakiendeksha makongamano na semina kueleza kile kilicho ndani ya katiba inavyopendekezwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi karibuni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema hatua ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusogeza mbele tarehe ya Kura ya Maoni ya Katiba inayopendekezwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
:dance: Ndugu Mhariri, awali ya yote napenda kuipongeza serikali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kazi nzuri inayofanya kuhakikisha nchi yetu inakuwa na amani na wanachi wanapata maendeleo. Nasema...
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-MAGEUZI Taifa, Bwana James Mbatia amewasaidia kuwaondolea ujinga waliokuwa wakisema kuwa Katiba Inayopendekezwa ni ya Chenge na Sitta. Bwana Mbatia amesema kuwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Awali ya yote napenda kuwatoa wasiwasi Watanzania wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa na wasiwasi kama Katiba Inayopendekezwa itapigiwa kura ya maoni na kama uchaguzi mkuu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
 12:41 Akihubiri siku ya Pasaka katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililopo Mwenge katika Jiji la Dar-Es- Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe alisema kwamba, inajulikana wazi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Vijana wakiwemo na wazee wa Arusha wamevunja mzizi wa fitina kwa kuielewa katiba inayopendekezwa huku wengi wakisema kuwa hawaoni haja ya wao kuipinga na kuichukia katiba hiyo. Kutokana na...
0 Reactions
231 Replies
13K Views
Back
Top Bottom