KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katika pitapita yangu katika mitandao ya kijamii na sehemu za wasomi kama vyuo vikuu, UDOM, UDSM, SAUT, DUCE, Tumaini na TEKU nimegundua wengi wanaikubali Katiba Inayopendekezwa. Baadhi yao...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
leo hii wajumbe wa iliyokuwa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya wamekuja kutoa elim ya katiba mkoani mbeya
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MTANDAO Wanawake na Katiba nchini pamoja na Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) wamesema wanaunga mkono Katiba iliyopendekezwa na kujivunia hatua waliopiga katika kudai haki mbalimbali za...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu wa JF Katika kupitia katiba pendekezwa nimekumbana na huu utata hususani katika sehemu ya Makamu wa rais Ibara ya 99- inasema kutakuwa na Makamu wa rais watatu ambao ni (a) Makamu wa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wana JF, Angalia hii: "Mwandishi Mkuu wa Katiba Pendekezwa, yeye mwenyewe amesema anapenda aitwe JOKA LA MAKENGEZA! Niliposikia juu ya Jina lake hili, nilipigwa na butwaa! Katika Biblia, Joka ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tuisome Katiba Inayopendekezwa tuielewe vizuri na tusiburuzwe na Viongozi wa Dini au kundi lolote. Haya ni maneno yaliyosemwa leo na aliyekuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Bw. Amon Mpanju...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Askofu Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe amepinga vikali kauli ya serikali kwamba maaskofu wamegawanyika kuhusu Kura ya Hapana kwenye Katiba Mpya. Askofu Bagonza ambaye ni mjumbe wa CCT...
9 Reactions
99 Replies
11K Views
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba 1:tume huru ya uchaguzi 2:matokeo ya rais...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Wadau wa JF Great Thinkers, Kwa wale wanaotaka kuutambua ukweli ili ukweli uwaweke huru na wadumu ktk nuru hiyo daima wataafikiana na uwazi na wataukubali ukweli hata kama unawaumiza saana...
10 Reactions
162 Replies
13K Views
Nashawishik kuuliza swali hilo!baada ya kuhisi kuna baadhi ya watu kutokana na uchangiaji wao,Hamasa zao hasi kuhusiana na katiba pendekezwa inanifanya kuamini wazi kuwa hawana jibu la swali hili...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Akiwahutubia wananchi leo mjini iringa katika uzinduzi wa kampeni za jimbo la kalenga DK slaa amesema atazunguka nchi nzima kupinga posho kuongezeka zaidi ya laki tatu. nimestuka huyu amesahau...
0 Reactions
94 Replies
9K Views
Je wajua kuwa Katiba Inayopendekezwa imeeleza na kujibu masuala mbalimbali ya Usimamizi wa haki za binadamu ambazo watu wengi wanasema hazijaainishwa? Wanajukwaa tushirikiane kuwajuza Watanzania...
1 Reactions
4 Replies
972 Views
Historia itasomeka hivi: hapo zamani za kale serikali ya Tanzania...ilitaka wananchi wake waipigie kura ya maoni Katiba inayopendekezwa tarehe 30/04/2015, maaskofu na ukawa wakatia ngumu, na zoezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku zote nimekuwa nikijiuliza kwanini watu wanaamua tu kupinga katibapendekezwa!kumbe wengine ni vibaraka tu wala hata hiyo katiba yenyewe hawajaisoma!inakuwa Kama shabiki wa timu ya mpira...
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Watanzania tunahitaji rais wa kuweza kufanya maamzi magumu kama dr slaa bila kujali kufa au kuporomoka kwa chama.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Watanzania katiba Inayopendekezwa siyo ya CCM kama wanavyodai baadhi ya watu na kuwashawishi wasiipigie kura, acheni kuwasikiliza watu hao, Aprilli 30 jitokezeni kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo...
1 Reactions
220 Replies
14K Views
Vijana Morogoro waikubali na kuisifia Katiba inayopendekezwa. Vijana Mkoani Morogoro wamesema kuwa Katiba Inayopendekezwa ni nzuri sana kwani imewajali vijana hata masuala yao ya michezo. Kutokana...
0 Reactions
63 Replies
4K Views
SURA YA KUMI NA TANO TAASISI YA UWAJIBIKAJI. SEHEMU YA NNE CHOMBO CHA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA. Ibara Ya 249.-(1) Kwa Madhumuni Ya Kudhibiti Rushwa,Kutakuwa Na Chombo Ambacho Kitakuwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ulikuwa mhimili muhimu ndani ya bunge la katiba hakika kazi yako itakumbukwa daima....busara na elimu yako juu ya katibaa inayopendekezwa mazishi yatafanyika leo Mbagala
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Makamanda na wana JF kwa mara nyingine natumia fursa hii kuwasalimia maana kitambo cjakuepo!!! Ha ha ha tuyaache hayo!!! Katika soma yangu kwenye Katiba inayopendekezwa nimekutana na Ibara ya 280...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Back
Top Bottom