KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Hii inapatikana sehemu ya 3 ibara ya 13 (1-2) na nukuu 13-(1) lengo la katiba hii kiuchumi ni kujenga uchumi wa kisasa utakaowezesha wananchi na taifa kujitegemea kwa kuzingatia matumizi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi huyu jamaa mbona haeleweki siku hizi anajilalamisha sana....halafu ndugu yetu yule anatumwa maana kaja kasi na viclip vyake vya kujidai eti anataka kuuwawa....hivi who z he by the...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wadau Em Nisaidieni kwa hili coz KATIBA Niliyonayo mimi hapa MAMBO YA IMANI NA UHURU WA DINI Yamezungumziwa Ktk Ibara Ya 40 (1) nakuendelea.Sasa hapa kuna utata coz wengne wanasema mambo ya IMANI...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya. Askofu atangaza kufia katiba • Ni Makamu wa Rais wa Baraza la...
35 Reactions
334 Replies
44K Views
Kwangu swala la muungano ni la kipuuzi hadi KuzuA mjadala na kuacha maswala ya msingi. Kwa maoni yangu muungano uvunjwe tu tuanze kujadili maswala ya msingi ya taifa. Historia inaonesha mataifa...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Shikamoooo kaaatiba! HAPANA
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Wakuu; Nyie mnasemaje juu ya hili la katiba? A) Tupige NDIYO kama wanavyodai CCM B) Tupige HAPANA kama wanavyodai maaskofu wetu. C) Tusipige kabisa kama wanavyodai UKAWA. Yaani jibu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama kuna mtu amekielewa vizuri kipengele kinacho elezea bunge La jamhuri ya muungano wa Tanzania. Nilitaka ufafanuzi kwani kinasema Tanganyika itatoa wabunge 70 je, nikutoka majimbo yapi? Au n...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mwezi wa Aprili umefika na Bunge la Machi-Aprili limemalizika usiku wa kuamkia leo. Ni wakati mzuri watanzania tutumie muda huu kwendelea kutafakari maudhui iliyomo kwenye Katiba Inayopendekezwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA UFUPI Akizungumza jana ikiwa ni siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema viongozi wa dini walitoa matamko ya hasira na yasiyokuwa na tija walipowataka wananchi kuipigia kura ya hapana...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
MAHAKAMA YA KADHI NI HATUA YA AWALI KATIKA KUIFANYA TANZANIA KUWA TAIFA LA KIISLAM Mahakama ya Kadhi ni nini? Mahakama ya kadhi ni chombo cha kiislam kwa ajili ya kufanya mashauri ya ndoa ...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Uteuzi wa Jaji wa Mahakama ya Juu Uteuzi wa Jaji Mkuu 175.-(1) Jaji Mkuu atateuliwa na Rais kutoka orodha ya majina ya watu watatu yaliyopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama. (2) Jaji Mkuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi karibuni nilimsikia yule mchambuzi nguli nchini mkinga akihojiwa kwenye tv. Mkinga aliwakosoa wale wanaosema kuwa katiba inayopendekezwa ipingwe kwasababu hakuna nakala za kutosha. Mkinga...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaam wana jamvi,sitaki kuandikia mate na wino upo, ndani ya katiba Pendekezwa tutafakari wote sura ya kwanza sehem ya pili:- SURA YA KWANZA YA KATIBA PENDEKEZWA. "SEHEMU YA PILIMAMLAKA YA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo katika makanisa yote ya kikrstor tumesomewa waraka wa kichungaji au kwa jina lingine unaweza kuwiita waraka wa kinabidii,waraka huo ulibeba maudhui mengi mazuri sana lkn kilichonifurahisha ni...
2 Reactions
88 Replies
7K Views
Hii katiba mpya kwann wasiiache kwanza ili waendeleee kutafakari taratibu?,,,watanzania tambueni kwamba ni jambo la muhimu sana na la msingi sana,,,,,just think,,,,,,
0 Reactions
6 Replies
982 Views
Habari Zenu Wana Jf Wote!! Mimi Binafsi Nimesoma KATIBA PENDEKEZWA Hadi Mwisho Na Nimezielewa Baadhi Ya Ibara Na Vipengele Vyake. ILA. Kiukweli Bila Kuirudia Kuisoma Tena Kwa Makini Zaidi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
akiongea kwa mbwembwe andrew chenge alijiita ni nyoka wa makengeza na huwa halazi damu mbele ya fursa za kutoka kama wanavyoita vijana siku hizi. naomba nimuulize huko kwenye katiba pandikizi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
TAnzania inapita katika kipindi kigumu sana sasa. Hii ni kwasababu siasa imeingizwa kwenye dini na dini kwenye siasa. Watu wanaongea kwasababu tu wanataka kujulikana. Unashangaa unaposikia askofu...
1 Reactions
5 Replies
980 Views
Back
Top Bottom