KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katiba pendekezwa sura ya Tatu,madaraka ya umma, kuanzia ibara ya 124 sehemu ya kwanza hadi 3. Binafsi naona masuala ya madaraka ya umma yapo wazi.sema ndiyo kwa katiba pendekezwa!zaidi ya hapo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanaosema imewazaa na imewalea
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi huyu dogo anaona sisi vilaza hatuelewi kuchambua au hizo hapo haki za wazee hebu tuzifananishe na hiyo yake anayoisema haikuwepo....mbaya zaidi unamtolea mfano bibi yako mbn unamdhalilisha...
0 Reactions
143 Replies
10K Views
Kwa mujibu wa Sheria ya Kura ya Maoni kampeni za NDIO na HAPANA zinaanza Kesho tarehe 31 Machi, maana kampeni ni siku 30 kabla ya siku ya kupiga kura ya maoni ambayo ni Aprili 30. Je unaijua...
8 Reactions
76 Replies
6K Views
SEHEMU YA TATU YA KATIPA PENDEKEZWA INAAINISHA MALENGO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KIUTAMADUNI NA INASOMEKA HIVI; 13.-(1) Lengo la Katiba hii kiuchumi ni kujenga uchumi wa kisasa utakaowezesha...
0 Reactions
175 Replies
9K Views
Katiba Yenyewe Imezidi Kutunyonga Sisi Wa Chini. duh! ama kweli aliyenayo ataongezewa na asiekuanacho atanyang'anywa alichonacho ataongezewa yule mwenye nacho. KURA YANGU NI YA Hapana
1 Reactions
82 Replies
5K Views
VIJANA WANYA VIROBA :mvutaji:MSIKUBALI KUTUMIKA KISIASA! KATIBA IMEWATAMBUA, TUMIENI NAFASI LEO SIYO KESHO Katika taifa lolote vijana ni nguzo kuu ya kuleta maendeleo katika jamii husika...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi. Mzee Yussuf ameyasema...
0 Reactions
62 Replies
4K Views
Nimekuwa nikifuatilia majibizano mbalimbali ndani ya JF ambayo kwa namna moja au nyingine naona hayana tija kwa mustakabali wa taifa letu kutokana na wachangiaji kuishia kurushiana maneno na...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa watanzania wenzangu, kwa sasa kila mtu kwa anaweza kutunufaika na maendeleo ya technolojia ya mawasiliano bila kujalisha yupo mjini ama vijijini,kwa sasa ni...
0 Reactions
147 Replies
8K Views
Katiba Inayopendekezwa inataja kipengele cha kuwajali Wasanii katika Ibara ya 59, ambapo haki hizi muhimu kwa wasanii zinajumuisha Haki-miliki ambazo zitawasaidia kulinda kazi zao za ubunifu...
2 Reactions
118 Replies
6K Views
JK akizungumza kwny mkutano wa kamati ya amani ya DSM alielezea kusikitiwa, kuhuzunishwa na kufadhahishwa na tamko la TCF la kuipinga katiba pendekezwa na m/kadhi. Kwa kwel wanaCCM wanatatizo...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Katiba inayopendekezwa haina shida na ni bora kwa maslah ya taifa ndio maana hawa jamaa wanakomaa na sheria.....na ndio maana wanatoa hoja za ajabu zisizoeleweka....kama wewe unaupeo wa kuelewa na...
0 Reactions
79 Replies
5K Views
Nimesikia Rais wetu Mhe Kikwete akisema akisema, serikali haitaanzisha Mahakama ya Kadhi na kwamba ni Jukumu la waislamu wenyewe kuianzisha na kuihudimia. Waislamu tumekuwa tukiburuzwa na...
5 Reactions
139 Replies
9K Views
Kusema ukweli katika maisha ya kila siku ya mtanzania,katiba hii pendekezwa ukiijadili bila jazba na kutoa povu la ushindan bila hoja ndo mbaya! Lakini kwa ustawi wa tanzania ijayo katiba hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jukwaa la Wakristo Tanzania madai yenu kuhusu suala la ulinzi na usalama nawashauri muipate Katiba Inayopendekezwa na muisome kwa makini Katiba hiyo katika SURA YA 17 mtapata majibu mazuri ya...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
SUALA LA URAIA LIMEFAFANULIWA VEMA KWENYE KATIBA INAYOPENDEKEZWA KAMA IFUATAVYO; (a) Uraia katika Jamhuri ya Muungano. ( IBARA YA 70-71). Suala la uraia limetamkwa kwenye Katiba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAWATIBU MALARIA KWA DAWA YA USINGIZI. Mgonjwa wetu wa tanga, twamlilia nyikani. Na nduguye ni majanga, ni yule wa visiwani. Madokta wamewapanga, wawili wote wodini. Wawatibu malaria, kwa...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Tarehe 30/4/2015 ni siku maalum ya kuipigia kula ya NDIYO/HAPANA katiba pendekezwa! Je mchakato wa kuandikisha vitambulisho utakuwa tayari Nchi nzima? Kama hakuna, Je wale wasiokuwa na...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndugu Watanzania, simebaki siku chache kufikia Aprili 30 ambayo ni siku maalum ya kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa. Kwa kuelewa umuhimu wa jambo hilo natoa rai kwa kila mmoja wetu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom