KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Madhara ya Katiba Inayopendekezwa kwa wagombea urais wa UKAWA hususan mh.Mbowe na Dk.Slaa ni makubwa na huenda ikasababisha kuenguliwa na Tume ya uchaguzi endapo watawekewa pingamizi. Mh.Mbowe kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sijui hazijafika? Au zinafichwa kwa faida gani. Hakuna hata copy moja sio library , kwenye idara au wakuu wa Schools. Tutapigia kura nini? Kazi ipo. Hapo ni kilometer 12 tu toka Magogoni je...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nanukuu; 88.-(1) (e) anayo shahada ya chuo cha elimu ya juu kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria, @au Awe na ujuzi na @uzoefu wa uongozi katika ngazi ya taifa itakayomwezesha @kumudu madaraka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
"21.-(1) bila kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (2), serikali na vyombo vyake, watu au mamlaka yoyote yenye kutekeleza madaraka ya utawala, kutunga sheria au ya utoaji haki, vitakuwa na jukumu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi bunge la Tanzania linaweza kuitwa bunge tukufu , au ni kilemba cha ukoka ? Kuipitisha Katiba kimagumashi na kibabe kwa kutumia otmeli na twita au whatsup kwa namahujaji kukanusha kupiga kura...
1 Reactions
80 Replies
5K Views
Jamani naombeni maelezo kuhusu mahakama ya kadhi Ni hilo tuu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naisubiri kwa hamu sana kura ya Katiba na ili nione Matokeo yake ambayo vyovyote vile itavyokua kwangu mimi itatoa picha ya nchi ya Tanzania kwa maana Viongozi wa Dini ya Kikristo wamewashawishi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
katiba ni sheria mama kwa nchi yoyote inayoongozwa kudemokrasia, ila ili katiba iwe nzuri lazima ijaribu kukidhi makundi yote ya binadamu. katiba ieleze wazi haki za watu, umiliki wa ardhi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haki za mtoto zimekuwa sehemu ya sheria mbalimbali za nchi yetu. Pamoja na kuwepo kwa Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 53 imeimarisha misingi ya kuzitambua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Fikiri kwanza kabla ya kutenda, No research No Right to speak, Kimya Kingi kina mshindo mkuu. Hii ni baadhi ya misemo inayonifanya nije na usemi kuwa Katiba Inayopendekezwa Haizuiliki. Nimeisoma...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Peoples driven constitution ina tabia zake na kuu kuliko yote ni kuwa haipigwi na watu,kila moja anakuwa na shauku na ujio wake.Sasa hii ya Jakaya vipi?.Yaani ni mara yangu ya kwanza kuona katiba...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Moja ya Katiba bora duniani ikilinganishwa na Katiba za nchi mbalimbali duniani kama vile Kenya, Uganda, Uingereza, Marekani Imejielekeza katika kutatua changamoto za makundi yote katika...
0 Reactions
125 Replies
7K Views
Hawa ndio Viongozi wa baraza kuu la waislam lililoanzishwa na Serikali ya CCM wakiongea na waandishi wa Habari Kwa waislam simaanishi ile NGO iliyoanzishwa na serikali ya CCM kuwawakilisha...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
• Kushiriki bila ubaguzi katika uchaguzi na ngazi zote za maamuzi [Ibara za 57 (c) na129(4)]. • Fursa na haki ya ujira sawa na wanaume kwa kazi zenye sifa zinazofanana – [Ibara ya 57 (d)]...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mheshimiwa Dr. Kikwete, Mheshimiwa rais, Katiba ni maridhiano- tumefundishwa mashuleni theories za social contract- Social Contract Theories as expounded by Hobbes, Locke and Rousseau and many...
3 Reactions
33 Replies
4K Views
Humu JF ukiangalia comment zote za members zinaonesha ni dhahiri watu wana mapenzi na nchi yao ndiyo maana nimekuja na thread inayotutaka sisi wanaJF kushiriki katika kutoa elimu kwa watanzania...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kimsingi utawala wa nchi ni mihili mitatu, lakini kwa mujibu wa katiba ya sasa na katiba inayopendekezwa kwa kuangalia mazingira ya tanzania tuna mihimili mitatu kinadharia lakini kivitendo tuna...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
swali?ajiulize je makundi mengine yamepata haki?ubinafsi?rushwa kapewa?au ndo zile ela za kampeni za katiba Msaniii Niki wa Pili ambae anatoka katika kundi la Weusi amefunguka na kusema kuwa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
IBARA YA 58. Wazee ni hazina ya taifa letu. Katiba Inayopendekezwa inatambua umuhimu huu wa wazee katika jamii. Ndani ya Katiba Inayopendekezwa wazee wanapewa fursa ya kushiriki katika...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Hivi karibuni liliotolewa tamko la jukwaa la kikristo, na kusainiwa na viongozi wahusika, wakiwakilisha TEC, ELCT, PCT. Baada ya hilo tamko tunasikia maaskofu wengine moja moja wakitoa matamko...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom