KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Leoa asubuhi kama kawaida yangu nilikwenda kanisani kwetu hapa Gongolamboto, ulongongoni palokia mpya ya PIO, baada ya kumaliza misa alipanda baba paroko na kuanza kutoa matangazo na tangazo la...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ninamwomba sana Mwenyezi Mungu asikie kilio cha watu wengi wanaojali maslahi pana ya wananchi wengi kuhusu kusimamisha mchakato wa kuelekea kwenye upigaji kura za Ndiyo au Hapana kwa katiba...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba amesema amefurahishwa na uamuzi wa Tamko la Maaskofu wa Makanisa yote nchini ya kuikataa Katiba Pendekezwa. Jaji Warioba...
5 Reactions
62 Replies
6K Views
IBARA YA 54 YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA: Ibara hii ni mpya na ni mara ya kwanza kuwekwa kikatiba. Katiba Inayopendekezwa inatambua haki za vijana na wajibu walionao kwa jamii. Katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SOMA VIZURI HAPO UELEWE MAJIBU YA HOJA MBALIMBALI. https://www.youtube.com/watch?v=NzMM6MF0Q4U&fb_action_ ids=1587026024874569&fb_action _types=og.shares&fb_source=oth...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Katiba imetulia na imesheheni mambo mengi yenye maana kwa kila Mtanzania. Isome, ielewe na fanya maamuzi sahihi kumbuka ni haki yako hiyo ewe Mtanzania.
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Moja ya mambo yaliyomo ndani ya katiba inayopendkezwa.
0 Reactions
1 Replies
692 Views
WANANCHI HAWA WAMEISOMA NA WAMEIELEWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA, EBU ANGALIA MWENYEWE. http://t.co/m6ia3ZAQk7
0 Reactions
0 Replies
930 Views
YANI HAPA KUKU TUUU, DAGAA HAMUUUU!! KATIBA HII IMETULIA WAJAMENI.... http://youtu.be/c8nAwcWtfDU
0 Reactions
0 Replies
873 Views
aina hii ya mentality ndivyo tunayoitegemea kutoka kwa wengi waliojaaliwa kuingia darasani (bila kujali imani zao). kipekee, I like his way of thinking kuhusu mahakama ya kadhi. prof Lipumba...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa. Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa...
13 Reactions
225 Replies
31K Views
Katiba Inayopendekezwa ni yenu;Serikali ni yenu;Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni yenu;Wapigakura mnao kwa mamilioni;UKAWA hawatashiriki,kampeni ya kazi gani? Au hamjiamini katika kufikia akidi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
IBARA YA 23-27 Katiba Inayopendekezwa inataja wazi kuwa ardhi ndiyo rasilimali kuu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi, kijamii na ustawi wa nchi pamoja na watu wake. Serikali zetu hizi mbili (SMT...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
TUONGEE UKWELI WAJAMENI KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA IMETULIA, NYIE MNAOINANGA HAMJAISOMA NA KUIELEWA, BASI ISOME ILI MUJUE MAMBO MUHIMU YALIYOZINGATIWA NDANI YA KATIBA HIYO AMBAYO HATA WEWE...
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 40 inatoa haki na uhuru wa mtu na vyombo vya habari kutafuta, kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa sahihi. Ibara hii inaondoa malalamiko ya muda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ccm inalazimisha kupigwa kwa Kura ya maoni kupitisha au kuikataa katiba inayopendekezwa,katiba iliyoandikwa chini ya usimamizi wa mtu ambaye serikali ya ccm inamburuza kwenye tume ya maadili kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hoja Kupuuzwa kwa maoni ya wananchi kama yalivyoainishwa katika Rasimu ya Pili ya Katiba. Rasimu hii ya Pili iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilizunguka nchi nzima ikakusanya maoni ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bonyeza HAPA kusikia radio ya kusambaza elimu KATIBA INAYOPENDEKEZWA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania tunakosa watu creative kabisa au CCM inabidi wawafute kazi vijana wa propaganda pale lumumba.katika hatua za awali nimepata kipeperushi,kofia na tishrt za kampeini ya 'ndiyo' kwa katiba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mara kadhaa tumesikia kilio cha wananchi wa ngazi zote wakitaka nchi yetu iwe imara na madhubuti katika kuweka na kuzingatia utawala bora. Katiba Inayopendekezwa katika IBARA YA 6 inaiweka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom