KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

vita baina ya Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) na Baraza la Maaskofu (TEC) vimepamba moto huku baadhi ya wajumbe wa NEC-CCM (Sitta na Migiro) wakiingia ulingoni dhidi ya TEC. Angalizo; haya...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
jamani kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu katiba inayopendekezwa. Kila mtu anasema lake lakini hatuwezi kukataa kuwa Katiba Inayopendekezwa inawajali wazee wanaobisha ni wabishi wa asili.
0 Reactions
43 Replies
3K Views
ingia Hapa fuata Link hapo chini https://youtu.be/XLxom85Emu8
0 Reactions
3 Replies
922 Views
KUHUSU KURA YA MAONI na muchakato mzima wa kupata katiba mpya inayokubalika Nimepata wazo jipya, badala ya kusema tunapigia kura rasimu ya katiba inayopendekezwa, kura ya ndiyo au hapana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
IBARA YA 58. Wazee ni hazina ya taifa letu. Katiba Inayopendekezwa inatambua umuhimu huu wa wazee katika jamii. Ndani ya Katiba Inayopendekezwa wazee wanapewa fursa ya kushiriki katika...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Gonga HAPA kuelimika au hapo chini https://youtu.be/Rg-pnfvbGGw
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Binafsi mpaka sasa uelewa nilionao juu ya serikali yetu juu ya mambo mengine likiwemo suala la MCHAKATO WA KATIBA MPYA MPAKA KUFIKIA HATUA YA UPIGAJI KURA ni kuwa serikali hii ni mchawi wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtu wangu wa karibu zaidi ambaye ni muajiriwa wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi ameniambia "Jumatatu iliyopita tumetakiwa kupeleka majina yetu pamoja na vituo...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Naiomba sana Serikali ya chama changu. Iheshimu suala hili nyeti la katiba mpya. Katiba ni moyo wa nchi. Si jambo la kuletewa mzaha na maigizo. Nimesikitishwa sana na nilichoshuhudia kuhusu nakala...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
KURA YA NDIYO kwa Katiba Pendekezwa ni muhimu sana katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na matamko mbalimbali kutoka kwa viongozi wa dini wakionyesha tofauti zao, ni vema wananchi tukaisoma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ngeleja awararua wapinzani Katiba Inayopendekezwa Friday, February 27 2015, MBUNGE wa jimbo la...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Midahalo ya Katiba Inayopendekezwa inaendelea saa hizi katika kumbi za makanisa kadhaa! Taarifa zilizonifikia kutoka sharika mbalimbali, vijana wameitisha makongamano kujadili katiba pendekezwa na...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Katiba Inayopendekezwa au KATIBA INAYOPENDEKEZWA
0 Reactions
0 Replies
892 Views
MAMBO 20 MUHIMU YA WANANCHI YALIYOTUPWA NA KATIBA INAYOPENDEKEZWA. UNATAKA KUUJUA UKWELI BASI SOMA HAPA NA MJULISHE MWENZIO. Katiba Inayopendekezwa ina mapungufu makubwa na imeyatupilia mbali...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Kutokana na hoja hizo zinazolibana Taifa, “Sikuwa natarajia kama ipo siku viongozi wetu watawadhihaki wananchi, kwani haiwezekani uwaambie kuwa kura ya maoni itafanyika Aprili 30, wakati...
0 Reactions
78 Replies
4K Views
Wananchi majimbo ya CUF Z'bar waikubali Katiba Friday, January 23 2015, 0 : 0 BAADHI ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mhe Sumaye alisema bila kupepesa macho kuwa viongozi wa Dini wanna wajibu wa kukemea na kuwarudisha kwenye njia sahihi wanasiasa akasema namsikia mwanasiasa anasema mnatuingilia...nani kasema...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
HABARI KUBWA LEO.NI VITA MAASKOFU NA MASHEHE,WAISLAM WATOA MASHARTI MAZITO KWA KIKWETE,WAIRUSHIA KOMBORA BWAKWATA,SOMA HAPA KUJUA Pich ani niNaibu Katibu Mkuu Taasisi ya Kiislam nchini...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom