KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho...
1 Reactions
5 Replies
998 Views
Inakera, inaudhi na inauma sana kuona katiba yetu inawafanya wananchi kuwa wanyonge. Hawana sauti, hawana maamuzi na wala hawawezi kupindua chochote kilichoamuliwa na viongozi (serikali). Chanzo...
2 Reactions
5 Replies
892 Views
Spika wa bunge, msemaji wa serikali na Waziri mkuu wanamjibu nani kuhusiana na hili sakata la bandari kuuzwa? Je wanawajibu wananchi au Wabunge waliuopotasha umma au wanawajibu DP World...
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Tunaitaka katiba itakayoondoa ukiritimba na udikiteta wa viongozi Tunaitaka katiba ambayo itakuwa ni ya wananchi na siyo kuwa ya viongozi Tunataka katiba itakayoondoa udikiteta wa viongozi...
1 Reactions
2 Replies
679 Views
Ni mapendekezo tu Rais wa JMT akitoka Zanzibar Waziri mkuu awe Makamu wa kwanza wa Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar awe Makamu wa Pili wa Rais wa JMT Rais wa JMT akitoka Bara basi Rais wa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Alitoa kauli hiyo baada ya ofisi yake ya msajili wa vyama vya siasa kuelekea kukutana na baraza la vyama vya siasa nchini (bila ushiriki wa Chadema). Kujadili hatua za mwanzo za utekelezaji wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KWANINI MADARAKA YA RAIS YANALALAMIKIWA SANA NA NINI KIFANYIKE KWENYE KATIBA IJAYO? MJADALA KATIKA FORUM YA KATIBA YA WATU
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Salaam, Wana JamiiForums, Kwa kuwa Jamii Forums ni Jukwaa lenye wasomi, wanazuoni na nguli wabobevu katika sheria na Katiba na mambo mengi ya Kijamii, kisiasa na kiutamaduni. Napendekeza uwepo...
4 Reactions
8 Replies
735 Views
Ndugu zangu watanzania poleni na majukumu na maumivu yaliyotawala miyoyoni mwenu takribani miaka 62 tangu nchi hii kupata uhuru. Ndugu zangu msingi imara ndiyo huweka uimara wa nyumba inayojenda...
0 Reactions
1 Replies
532 Views
Ukweli huo unaweza kupuuzwa tu na mtu mwenye kufikiria leo. Lakini kwa mwenye maono na afya ya akili, katiba iliyopo inatokana na msingi wa sheria za kikoloni na baadae kuendelea kufanyiwa...
2 Reactions
1 Replies
486 Views
Habari wakati huu.. Wakuu, je kwanini tunataka Katiba Mpya? Sikatai katiba tuliyonayo ina madhaifu lukuki, hata katiba tulionayo inafatwa inavyotakikana? Sote ni mashahidi, katiba tuliyonayo...
2 Reactions
5 Replies
944 Views
Maoni ya kupata Katiba mpya na safi itokane na WANANCHI wenyewe wa Kila makundi kupitia mikutano ya Kitongoji, Kijiji na mitaa na sio kutafuta wawakilishi ambao waliowengi wanatoa mawazo dhahania...
0 Reactions
3 Replies
657 Views
Kwa mara ya kwanza kabisa nitashiriki katika kongamano la KATIBA MPYA hapa kwa dhumuni maalum lenye kutoa fursa ya mawazo mbadala nje ya rasimu ama ile ilopendekezwa ambayo muda sii mrefu mchakato...
7 Reactions
106 Replies
4K Views
Mapendekezo ya katiba mpya juu ya Usalama wa Taifa ni yapi? Naombeni nondo
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Habari zenu wanaharakati.. Nimekubali kuwa mjinga ili nielewe umhimu wa kuwa na katiba mpya. Najieleza, katiba ni muhimu kwa nchi yeyote kwani ndiyo inayotoa mwongozo katika utungaji wa sheria...
1 Reactions
10 Replies
805 Views
Salam! Wote tunajua mchakato wa kuandika Katiba mpya Tanzania wakati wa Kikwete na hadi kukwama kwake. Wote tunajua msimamo wa Magufuli wa kutokutaka kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya. Sasa...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Nchi yetu sio ya demokrasia, hili tuliseme wazi bila kudanganya Rais wa nchi hii anaamuliwa na kikao cha kamati kuu ya CCM na wazee, amboa ndio huamua nani akatwe jina na nani apitishwe kwenda...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Kutokana na mijadala mitandaoni inaonekana tuna SHERIA zinazokinzana au kupora mamlaka ya kifungu cha KATIBA. Ipasavyo ni kuwa kifungu cha KATIBA kinapaswa kuenziwa/kusujudiwa/ na SHERIA sio...
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Wadau nadhani wote tunakumbuka kuwa Suala la KATIBA MPYA iliundwa TUME ya JAJI WARIOBA na Kuandaa RASIMU ya KATIBA lakini Mchakato ulikwama Kwenye BUNGE la KATIBA. Gharama ya Tume,Rasimu Mpaka...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…