Wakenya hii Festival ya Prof Anyang mbona ni kama mnakula pesa za wazungu bure.
Nimepitia baadhi ya online source kuhusu hii festival ati mnasema lina promote PAN AFRICANISM, na leo mna theme...
President Uhuru Kenyatta on Friday, December 4 broke ground on a new tower being developed for the Council of Governors (CoG).
Located at the junction of Chaka Road and Argwings Kodhek Road in...
Hii muhimu sana kwa huyo rais mteule kuanza kuongea na viongozi wenye ushawishi mkubwa duniani kupanga namna ya kuirejesha Marekani kwenye nafasi iliyokua nayo hapo awali kabla kuharibiwa na yule...
Watanzania huwa wana kiburi ya hali ya juu sana maana wanaamini kuwa wao ndio waliikomboa Afrika kutoka kwa Mabeberu. Ukiona waziri wao akifoka jinsi waliikomboa Afrika hadi mate inamtoka mdomoni...
Wanariadha wanne wamemaliza chini ya muda wa dakika hamsini na nane. This was the fastest half-marathon in history.
Kwenye wanariadha waliomaliza top ten, kuna Wakenya wasita. Halafu...
IN SUMMARY
The university will admit students at master’s and doctorate level in three faculties.
It is a Kenya Vision 2030 flagship project and sits on 22 acres of land.
Construction of the...
Kapteni Salah Salim Jeizan ambaye ni Rubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways amefariki dunia kutokana na Virusi vya Corona
-
Imeelezwa kuwa, Kapteni Jeizan (57) aliwasili Uwanja wa Ndege wa...
Outside South Africa, you'll have a hard time coming across expansive estates of this luxury at this magnitude. You won't find this in Dar at all. Dar should borrow a leaf from Nairobi when it...
Endeleeni kushupaza shingo, jana mlipotezea taarifa za mnavyomtamausha Dangote hadi anawaza kufungasha, haya huyu naye mnamzingua kupita maelezo.
======
Mizengwe: Bilioni 425 za Mwekezaji...
President Uhuru Kenyatta has slammed foreign countries over what he termed as trying to interfere and direct Kenya on how to run its affairs.
The Head of State said while Kenya appreciates...
Ndio kama hivyo, jamaa ametoka kimasomaso kwa kugema "muratina" aina ya pombe ambayo huku sio halali. Wazungu wameichangamkia na kuachia dollars $$$$
Foreigners enjoy Muratelia drink in the UK...
THE BLUE AND WHITE CITY
("GDP ya kwenye makaratasi")
The old buildings are antique! They are lit! Hope they never destroy them as the city develops, wa preserve old town ibaki kama za Italy na...
Yaani baada ya KCB kununua benki Tanzania na Rwanda sasa wamefikisha asset value ya $ 10 billion au ksh 1 trillion au Tsh 20 trillion. Hio $10 billion ni kama 10% of Kenya's GDP.
KCB is the...
Waziri wa Fedha wa #Kenya, Ukur Yatani ametangaza kurudisha kodi mbalimbali ambazo zilipunguzwa au kuondolewa ili kutoa unafuu kwa wananchi baada ya nchi hiyo kupigwa na janga la #COVID19
Watu...
An artists impression of a floating bridge.
The Kenya National Highways Authority (KeNHA) on Sunday, September 13, released an illustratory video of Kenya's first floating bridge under...
Hii ni kwa waafrika wote wafia dini za kuja kwa meli na manabii wa uongo, ambao hadi leo hii hawajatabiri jambo lolote la kweli kuhusu Afrika.
Mugo wa Kíbirú alikuwa nabii aliyeishi kabla na...
Wale bado mna mashaka kwanini Wakenya wanasakwa na makampuni ya kimataifa.....
A congratulatory message to Dr Kariuki in New York’s Times Square Billboard after he was named Velosbio’s new Chief...
Taifa la Kenya usiku wa kuamkia leo wamepigwa butwaaa baada ya taarifa iliyotolewa na serikali ya Marekani kwa raia wake kuhusu hali mbaya ya maambukizi ya Covid 19 huko Kenya sambamba na kiwango...
The government of Kenya through the Kenya Urban Roads Authority (KURA) has begun the process of constructing two overpasses and a series of road interchanges linking Upper Hill to the Nairobi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.