Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Ikulu ya Rais wa Kenya William Ruto imwekwa chininya ulinzi mkali na hakuna mtua nayeruhusiwa kusogea karibu na eneo hilo kufuatia maandamano yanayoendelea nchini humo leo tarehe Juni 27, 2024...
8 Reactions
69 Replies
5K Views
Gachagua amevilaumu Vyombo vya Usalama Kwa kushindwa kumpa taarifa sahihi Rais Ruto na hatimaye kusababisha Vifo vya Watoto Wasio na hatia Gachagua amesema Hata Polisi wamelalamika hawakupewa...
3 Reactions
47 Replies
7K Views
-Kama Deni la Nchi limefikia 70% ya GDP ya nchi yake -Nchi imefika Ukomo wa kukopa kulingana na viwango vilivyowekwa na vyombo vya uchumi( IFM) yani Deni limeexceed 50% ya GDP -Njia ya Dharura...
15 Reactions
61 Replies
2K Views
How Ruto and Uhuru might become ICC fugitives before being captured. If Walter Baraza is not handed in, William Ruto will be detained at The Hague. What about sacrificing Baraza to buy time...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais Ruto amewaambia Watumishi wa Umma wajiandae kisaikolojia kutimiza matakwa ya Wananchi ambayo ni kupunguza Bajeti ya Serikali Ruto anesema hatua ya kwanza ni kupunguza Matumizi ya Serikali...
7 Reactions
15 Replies
902 Views
Serikali ya Tanzania na Rwanda kupitia mawaziri wanaohusika na ujenzi wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Isaka hadi Kigali ifikapo Oktoba mwaka huu. Tukio...
5 Reactions
47 Replies
9K Views
Mahakama Kuu yaiamuru serikali kusitisha mara moja zoezi lake la kupeleka wanaeshi mtaani ili kutuliza maandano. Hili limekuja baada ya Ikulu kutoa taarifa kuwa Rais Ruto amekataa kusaini Muswada...
15 Reactions
49 Replies
2K Views
https://x.com/SethOlale/status/1806350607428506110
1 Reactions
0 Replies
201 Views
Gen Z watapotezwa na deep state kama walivyopotezwa Viongozi wa MRC (Mombasa) na Mashehe Pwani waolikua wanashabikia Ugaidi
2 Reactions
17 Replies
625 Views
Huyo ndiye aliyewapa wa kenya katiba bora tofauti na vijitabu vya mataifa mengine. Baada ya kumaliza m.a ya uchumi huko uingereza alirudi kufundisha kabla hajatimukia kwenye siasa ambapo baada ya...
1 Reactions
1 Replies
307 Views
Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais...
17 Reactions
148 Replies
6K Views
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen! Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa...
15 Reactions
58 Replies
5K Views
Waandamanaji wamesema wanatarajia kurejea mtaani kufanya maandamano leo Juni 27, 2024 ikiwa ni siku moja tangu Rais William Ruto atangaze kuwa hatasaini Muswada wa Fedha ambao ndio uliokuwa chanzo...
0 Reactions
1 Replies
462 Views
Hizi ndizo sababu za Wakenya kuanzisha vurugu inayoendelea hivi sasa.
0 Reactions
10 Replies
708 Views
Sakata la Gen Z linatufunza mambo mengi yalivyo katika Tawala za Africa mashariki Spika Dr Tulia aliwahi kusema Rais ndio kila Kitu Chadema wakapinga Sana na kutolea mfano Spika wa Kenya hawezi...
3 Reactions
8 Replies
396 Views
Ndio maana kila siku ninasemaga Wakenya wanayo safari ndefu sana ya kujitambua kwa sababu wamekubali kuwaweka wazungu kwenye vichwa vyao. Sasa hivi huko mitandaoni utawasikia Wakenya "...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
US Gov't Calls President Ruto Over Kenyan Police Violence United States Secretary of State Antony Blinken has emphasized that Kenyan police need to exercise restraint and refrain from using...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Kizazi kipya cha waandamanaji vijana wa Kenya waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 kimeingia barabarani na kulazimisha serikali kubadilisha muswada wa wabunge uliopendekeza kodi ambayo haikuwapendeza...
0 Reactions
5 Replies
520 Views
President William Ruto of Kenya today announced that he will not sign the controversial Finance Bill 2024 and he will withdraw it. He was addressing the nation after deadly protest in which more...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
President Ruto Denies Extra-Judicial Killings, Confirms 6 Deaths, 14 Injuries In Protests President William Ruto has announced that a total of six people lost their lives during the anti-Finance...
1 Reactions
4 Replies
315 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…