Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Broke Kenya now turns to donors for Sh122b : The Standard Majirani wenye GDP ya kwenye makaratasi sasa hii ni aibu, yaani wao kila tatizo kwao wanalitumia kama fursa ya kuombaomba. Hili tatizo la...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
President Uhuru Kenyatta has apologised for the excessive force used by police officers at the start of the nationwide curfew that began last week. This follows a public outcry over police...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii itachangia namba za waathirika kupandisha kw ajili ya uwezo huu wa kupima watu wengi kwa pamoja, sema pia itasaidia kupunguza kirusi kasi ya kusambaa, maana watu wengi watapata fursa ya kujua...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Rais amelazimika kuomba msamaha baada ya Wakenya kupaza sauti sana......ila ndugu zangu Wakenya tutii sheria bila shurti, wale mnaojifungia kwenye vlabu vya pombe usiku na kunywa kimya kimya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninadhani hili litakua ni fundisho kubwa kwa wakenya kutegemea chakula cha kununua badala ya kuzalisha chakula ndani ya nchi. Tukiwaambia wanasema wanapesa ya kununua hakuna umuhimu wa kuzalisha...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Binafsi sifurahishwi na nyuzi mpya mpya humu kutoka kwa ndugu zangu watanzania wakifanya mzaha hatua za serikali ya Kenya juu ya kuzuia kusambaa kwa Corona. Hata kama Tanzania...
10 Reactions
111 Replies
8K Views
Hivi hivi tukomae tu, hiki kitu kinaponwa sio kifo moja kwa moja..... ==== President Uhuru Uhuru Kenyatta has revealed that two more Kenyans have been cured of Coronavirus. Speaking to the two...
0 Reactions
2 Replies
838 Views
A Mombasa family is in agony over their son who died in the United States after being infected by coronavirus at work. The family of Bishop Elisha Juma and Reverend Mary Juma of Kenya Assemblies...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Tanzania: Maafisa wa kushirikiana na Jeshi la Zimamoto nchini wameendesha zoezi la kuppuliza dawa katika mitaa ya Jiji la Dar kama sehemu ya kupambana na ugonjwa wa Covid19. Kenya: Chaos at...
0 Reactions
87 Replies
7K Views
Ni wazi Kenya inaamanisha kwenye vita dhidi ya virusi hivi, tumefunga mipaka, tumefunga viwanja vya ndege, kila mtu abaki kwao, iwe wazungu au hata majirani, kila mmoja apambane kinyake huko huko...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
Why Kenya is Miles Ahead of Tanzania in the Fight Against Coronavirus Hii ndio hali ilipofikia kwa jirani wetu, kwamba lazima wajaribu kujiliwaza hata Kama kwake mambo yanaharibika. Japo Kenya...
1 Reactions
69 Replies
6K Views
Huu mchezo unasisimua kweli kweli Vifo Kwa sasa: Corona -2 Polisi -2 Dakika ni ya 2' mchezo bado 90'
0 Reactions
8 Replies
2K Views
The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59. According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
Waziri wa Afya ametangaza kuwa Kenya imepata visa 8 zaidi vya walioambukizwa Virusi vya Corona na kufanya jumla ya waliopata kuwa 50 Katika walioambukizwa 34 wanatokea Nairobi, 6 wanatoka Kilifi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
The government of Kenya has announced plans to develop an industrial park powered by geothermal energy in Nakuru County Kenya. Geothermal Development Company (GDC) Board Chairman John Njiraini...
2 Reactions
1 Replies
836 Views
President Uhuru Kenyatta on Monday, March 30, held a historic meeting as he stepped up his efforts to combat the spread of Covid-19. The president was joined by 5 other African leaders namely...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii ni dalili nzuri sana, kuona rais Uhuru Kenyatta anaanza kusikikiza mawazo ya watu wenye akili na kuachana kusikiliza mawazo ya wapambe wake ambao wengi hawana uwezo wa kufikiria. Kama...
1 Reactions
0 Replies
834 Views
Huyu jamaa anazungumza kwa hisia kali sana, amejitoa muhanga haogopi lolote, hapo kuna jamaa alimkaribia akashituka kidogo akidhani ni polisi amekuja kumcharaza...
9 Reactions
68 Replies
5K Views
Ni mojawapo wa jitihada za kujichimbia dhidi ya kiama kinachokuja, wenzetu wa Tanzania humu JF wametukana kila hatua tunayofanya, wamesahau hata maombi ambayo waliambiwa wafanye. Sisi tuliambiwa...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Back
Top Bottom