Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

https://www.youtube.com/watch?v=HBNa9fVrapk Waandamanaji wanaendelea kuandamana kwa kuwasha moto katika Barabara ya kuelekea mzunguko wa Holy Basilica, karibu na Majengo ya Bunge. Licha ya...
1 Reactions
1 Replies
444 Views
NAIROBI: Kijana Mkenya ahimiza wenzake kuendelea kuandamana, wakati akisubiri kupelekwa hospitali na ambulensi, mara tu baada ya kuumia. Pia, soma: LIVE: Yanayojiri Maandamano Kenya kupinga Mswada...
0 Reactions
3 Replies
482 Views
Ingawa wakati mwingine Watanzania na Wakenya hushambuliana kwenye mitandao ya kijamii, haimaanishi kuwa ni maadui. Utani wao ni kama ugomvi wa watoto wanaofuatana kuzaliwa. Linapokuja suala la...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Rais wa Nchi Jirani amefurahishwa na kitendo cha Wananchi Kujadili Ongezeko la Deni la Taifa na Kodi Rais huyo amesema hiyo inaonyesha jinsi Wananchi Wanavyojitambua na Ukomavu wa Demokrasia...
6 Reactions
13 Replies
398 Views
Kanuni ni zile zile kwenye uchumi na hata kwenye maisha ya kawaida. Ili ujenge uchumi wako mfukoni unahitaji kukusanya mapato, kubajeti matumizi na kidhibiti upotevu na matumizi holela ya Fedha...
2 Reactions
17 Replies
659 Views
Kenya yajitutumua , Ethiopia yasimama, Tanzania yangangana. Afrika Mashariki yapaa. https://www.youtube.com/watch?v=PbplBoFAX14
1 Reactions
4 Replies
388 Views
Waziri wa Fedha wa Kenya amenusurika kupigwa na Mmachinga ( juakali) mara Baada ya kumaliza kusoma Bajeti na Kutoka nje ya Bunge kupiga picha na Wasaidizi wake Police walifanikiwa kumkamata...
7 Reactions
23 Replies
933 Views
Tanzania tuna jambo la kujifunza namna ya kuibana serikali iachane na kodi kandamizi zinazopelekea maisha kuwa magumu. Baadhi ya maeneo ambayo kenya wamekuwa wakali ni kodi kwenye mafuta ya kula...
1 Reactions
5 Replies
431 Views
Shirika la reli linalosimamia usafiri wa mfumo mpya wa SGR linatazamia kuongeza treni baada ya wasafiri kuwa wengi hadi kupitikiza walizokua wametoa mwanzo. Ina maana kwamba Wakenya wamepokea huu...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Hili tukio limetokea jana. NAIROBI, Kenya, Jun 18 – A police officer lost both his fore arms Tuesday during the anti-Finance Bill when a teargas canister exploded on his hands. Police said the...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Uganda has announced the start of construction of the Standard Gauge Railway (SGR) in August, in a decision that revives hope for the extension of Kenya’s Sh327 billion project whose viability was...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbunge kutoka Mberee Kaskazini, bwana Geoffrey Ruku amewasilisha Bungeni, muswada utakaowezesha Wakenya kufungwa kwa mwaka mmoja, faini ya Tsh. 2,000,000 (Ksh. 100,00) au vyote kwa pamoja kw...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
More than 200 protesters have been arrested in Kenya’s capital, Nairobi, in ongoing protests against proposed tax hikes in a finance bill that is due to be tabled in parliament. Civil society...
0 Reactions
0 Replies
540 Views
Mpambano wa majiji makubwa Afrika Mashariki. Jiji lipi ni bora?? https://youtu.be/7eT-_d8LYbg?si=MhjPG23SbkxYbMS_
0 Reactions
0 Replies
299 Views
Ruto ndio Rais anaongoza kusafiri sana hapa Afrika ,akifuatiwa na Rais wa Nigeria. My Take Labda anawatafutia kazi ma Hustlers 😁😁 ===== Baada ya Rais Ruto kuwa na ziara nyingi sana nchi za nje...
2 Reactions
24 Replies
895 Views
Wakenya sasa wanamwita Rais wao kwa jina la Flying President au Mr Tangatanga kutokana na Muda mwingi kwa Safarini Hivi Karibuni Rais Ruto alikuwa Marekani kwa Mwaliko wa Rais Biden kisha...
1 Reactions
8 Replies
423 Views
Kampuni ya usimamizi wa fedha ya Marekani, BlackRock Inc, inauza uwekezaji wake wa hisa katika masoko yanayoibuka na masoko ya mipakani - ikiwa ni pamoja na Kenya na Nigeria - ikinukuu changamoto...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Kwa Wakenya, ukiwatajia neno Tanzania, haya ndiyo huwajia akilini mwao: 1. Kwa ndugu zao 2. Nchi yenye vivutio vingi 3. Nchi yenye wasanii bora 4. Nchi yenye uongozi Bora 5. Nchi ya wakarimu Wewe...
5 Reactions
49 Replies
1K Views
Shabiki kutoka Nchini Kenya amefunguka kuwa Msanii wa BongoFleva "DiamondPlatnumz" hajui kuimba ambapo amedai kwamba Msanii huyo anabebwa sana na Challenges za Watu. Huyu mwamba atakuwa na chuki...
1 Reactions
5 Replies
336 Views
Back
Top Bottom