Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Na bahati nzuri hilo Kosa lake ameliweka Yeye mwenyewe katika Ukurasa wake wa X (zamani Twitter) nadhani akidhani kuwa alichokifanya kilikuwa ni sahihi wakati Kiuhalisia na kwa hali iliyoko na...
1 Reactions
7 Replies
595 Views
Generali Ogolla wa Kenya, alifariki katika mazingira ya kutatanisha. Swali linalokuja ni: Je, serikali ilihusika? Na ikiwa hapana, Je, Kenya itajikuta lini kwenye hatari ya mapinduzi ya kijeshi...
1 Reactions
4 Replies
890 Views
Tazama hapo kwenye video raia wanauliza kwanini umevamia gari yetu polisi hawana majibu, wanaulizwa tumefanya kosa gani hawana majibu, wanaambiwa watoe vitambulisho kuthibitisha kuwa wao ni polisi...
0 Reactions
1 Replies
357 Views
Wakenya hawana baba. --- Salary Enhancement for Over 100,000 TSC Educators Effective July 2024: A Detailed Examination The Teachers Service Commission...
0 Reactions
4 Replies
603 Views
Wakenya walio Somalia wanatuma wastani $500,000 kwa siku, noma sana yaani mlifikaje huko na mnavumiliaje hayo mabomu, nchi yenye misuko suko ya kidini. ========= Somalia has emerged as a new...
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Kenya Airways (KQ) has started direct flights from South Sudan capital Juba to Khartoum in Sudan as it eyes Africa expansion. The national carrier said the new flight will originate from the Jomo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Serikali imeahirisha kufunguliwa kwa Shule kwa Wiki moja kutokana na mafuriko yanayoendelea ambayo hadi sasa yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 80. Taarifa ya Waziri wa Elimu, Ezekiel Machogu...
0 Reactions
0 Replies
513 Views
Namwona Eric Omond ni mtu mwenye moyo sana. Namwona kama mtu anayeishi maisha halisia kabisa. Hata komedi zake hazina uongo uongo kabisa. Ukiangalia hii video unaweza toa machozi. Jamaa ana...
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote Mungu amlaze mahala pema peponi mpiga picha na sajenti rose nyawira wa Jeshi la Kenya aliyefariki kwa ajali majuzi. Mwendazake alikuwa mpiga picha wa mwendazake CDF Kenya
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Katiba ya Kenya ya 2010 imetaja ukomo wa Rais kuwa ni mihula miwili ya miaka mitano mitano. Mbunge anasema wenzake katika UDA wanafanyia kazi pendekezo la kubadilisha ukomo wa muda na kuwa si...
0 Reactions
11 Replies
880 Views
Leo April 18, 2024 nchi ya Kenya imepatwa msiba mzito wa Kiongozi Mkuu wa Jeshi la Ulinzi baada ya kupata ajali ya ndege. Rais Ruto amethibitisha kutokea kwa kifo hicho baada ya kupita saa kadhaa...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ya Kenya imewaambia Wabunge kuwa kuwasilishwa kwa Ripoti za Utekelezaji kila baada ya Miezi 3 Wizarani ni sehemu ya mpango wa kushughulikia athari...
0 Reactions
2 Replies
600 Views
Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, nchini Kenya, Ken Ngondi, alionekana kwenye video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kumlazimisha mwanamke wa kiislamu kumpa mkono na kumkumbatia, katika...
1 Reactions
4 Replies
556 Views
Maisha kitendawili, Maajabu familia ya marehemu Francis Ogolla mkuu wa majeshi Kenya Leo anaagwa akiwa kafariki akiwa na miaka 62 baba yake Mzee Joel Ogolla Leo jumamosi anatimiza miaka 100 ya...
4 Reactions
12 Replies
982 Views
Rais wa Kenya William Ruto amesema kwamba utawala wake umekamilisha asilimia 80 ya kuweka huduma za serikali kidijitali. Akizungumza leo Jumatatu, Ruto amesema kuwa ana furaha sana na maendeleo...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Mkuu wa majeshi Kenya,alitaka azikwe bila jeneza na asicheleweshwe kuzikwa ili kupunguza gharama za mazishi,japo yeye ni mkristo.
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nairobi! Kijana wenu hapa, Naomba kujua huyu jamaa ni nani, biography yake na anafanya nini? Huyu alikua mfanyakazi wa safaricom na ndio father wa Mpesa miaka ya 2012, sema hajulikani na...
1 Reactions
1 Replies
341 Views
Minister Saitoti and Ass Minister Orwa Ojode Feared Dead in Helicopter Crash Internal Security assistant minister Orwa Ojode NAIROBI, Kenya: Four people have been killed after a police...
7 Reactions
632 Replies
102K Views
Rais William Ruto amempandisha cheo Francis Omondi Ogolla mpaka kwenye hadhi ya Luteni Jenerali na kumteua Moja kwa Moja kuwa mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya. Jenerali Omondi anachukua...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom