Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Hekima, Busara na Mikakati iliyotumiwa na Shujaa Magufuli imezidi kurithiwa na Viongozi mbalimbali duniani Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo Waziri wa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
WAKATI baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati wakipinga mpango wa kampuni ya DP World ya Dubai kuwekeza kwenye bandari ya Dar es Salaam, Kenya imetangaza maamuzi ya kusaini mikataba ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Siasa ya Kenya imeingia dosari kubwa sana, hali Kenya sio shwari kabisa. Leo hii spika amefika ndani ya jengo la Bunge nakujikuta pekee yake hakuna mbunge aliyehudhuria.
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Uamuzi huo unakuja muda mfupi baada ya Odinga kutangazia Wananchi kuwa wajiandae kwa Maandamano ya Kimapinduzi kuanzia Julai 19, 2023, Maandamano ambayo yamepata pia kibali cha Mahakama. Kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Serikali imeondoa walinzi wa aliyekuwa Mke wa Rais Mama Ngina Kenyatta katika nyumba yake ya Gatundu na Muthaiga. Kulingana na maafisa, Mama Ngina, ambaye pia ni mamake Rais wa zamani Uhuru...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Idadi ya maiti Shakahola yafikia 403 Idadi ya maiti zilizofukuliwa katika msitu wa Shakahola imefikia 403 baada ya miili 12 kufukuliwa tena. Hayo yamethibitishwa na Kamishna wa ukanda wa pwani...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mfanyakazi wa ndani ambaye jina lake limehifadhiwa, anatafutwa na Jeshi la Polisi nchini Kenya, baada ya kudaiwa kumuua bosi wake Rahab Karisa, kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali, siku moja...
2 Reactions
3 Replies
915 Views
Hatimaye Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amevunja ukimya baada ya kutojitokeza hadharani kushiriki maandamano. Raila ameeleza kuwa alilazwa baada ya kuugua homa kali. “Niko na homa mbaya sana...
2 Reactions
7 Replies
930 Views
Siyo kila tajiri ataishi milele kwa furaha na utajiri wake Siyo kila mwenye madaraka ataendelea kuishi kwa furaha baada ya kuacha madaraka. Kikwete alipomwachia nchi Hayati Magufuli matosa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Watu sita (Wanaume 4 na Wanawake 2) wamelazwa katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Kaunti ya Homa Bay baada ya kujeruhiwa kwa risasi kufuatia mapigano kati ya Polisi na waandamanaji katika Siku...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kupitia taarifa iliyotolewa na Baraza la Habari Kenya (MCK) imeeleza kuwa kitendo hicho kilichofanywa na baadhi ya Maafisa wa Usalama kimewaweka hatarini Waandishi wa Habari na kazi zao. Katika...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameishutumu Serikali ya Rais William Ruto kwa kukopa kupita kiasi wakati ambapo nchi inakabiliana na ongezeko la deni la Serikali, na kuonya kuwa Hazina...
2 Reactions
3 Replies
938 Views
Naibu Rais huyo wa Kenya amesema Serikali haitowavumilia Wanaoandamana kwa kuharibu Mali za watu pia wajue wao ndio sababu ya Polisi kuingia Mtaani na kupambana nao, vinginevyo wangekaa tu...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta sasa anadai kuwa matatizo yanayowasumbua Chama cha Jubilee yalipangwa na serikali ya Kenya Kwanza na kutekelezwa kwa msaada wake. Uhuru alifichua kwamba, ingawa...
1 Reactions
2 Replies
652 Views
Uhuru Kenyatta’s Son Jomo's Karen Home Allegedly Raided By Police Former President Uhuru Kenyatta now claims that his first-born son Jomo's residence in Karen was on Friday raided by mysterious...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
President William Ruto has now fired a direct warning shot to his predecessor Uhuru Kenyatta over his alleged continuous association with opposition chief Raila Odinga. President Ruto, speaking...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hali? Nimeangalia video zake akimtolea Rutto maneno ya kuudhi ikiwemo matusi. Anaonekana ni binti mdogo tu Je, huyu hasa ni nani? Ni kiongozi wa Upinzani sawa, ila nguvu anapewa na nani?
1 Reactions
4 Replies
642 Views
Baadhi ya raia wa Kenya katika mtandao wa Twitter wameonekana kukerwa na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan juu ya athari ya maandamano yanayoendelea kushuhudiwa. Rais Samia alisema kuwa Tanzania...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Watu hao wanaendelea na matibabu katika Vituo vya Jaramogi Oginga Odinga Teaching na Hospitari ya JOOTRH baada ya kujeruhiwa kwa risasi katika maandamano yaliyoratibiwa na Azimio la Umoja One...
1 Reactions
4 Replies
626 Views
Mara kadhaa Chadomo imekuwa ikiwaaminisha watu kwamba Katiba Mpya ndio muarobaini wa Maisha Bora,Utawala Bora na Maadili Bora. Kwa kinachoendelea Kenya chini ya William Ruto,Pasi na shaka...
1 Reactions
1 Replies
862 Views
Back
Top Bottom