Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Pamoja si pamoja, Ruto pamoja na kua Rais kiukweli kachakaa sana na ile nuru hata usoni haipo yaani mwaka mmoja kachakaa kachoka hatari.
14 Reactions
70 Replies
5K Views
Hayati Magufuli aliwahi Kusema Kuongoza Nchi ni kazi sana. Check Mwamba [emoji116]
0 Reactions
8 Replies
2K Views
ni nani huyu ambaye hata NMG hawasemi jina lake .. https://t.co/vvzaWtB9WF?amp=1
10 Reactions
755 Replies
65K Views
Mkenya Jonathan Ogolla amewaomba Watanzania wawe wanafuatilia Usaili wa Mawaziri wa Kenya na Viongozi wengine wanaoteuliwa na Rais na kuthibitishwa na Bunge Ogolla anasema kila Msailiwa hutakuwa...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Serikali ya Kenya imepanga Kushirikiana na sekta binafsi Kwa kukodisha Uendeshaji wa Bandari Zake Zote 5 kubwa ikiwemo Mombasa/ Dongo Kundi Ili kuleta ushindani na kukabiliana na Bandari ya Dar...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kamati ya Bunge ya Kazi na Ajira imeanza kuandaa Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Utumishi inayotaka Umri wa Kustaafu upunguzwe kutoka Miaka 60 ya sasa hadi 55 ili kuwapa nafasi Vijana...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Mwanza is comparable to Kisumu and Nakuru. Anyone who compares Mwanza to Mombasa has a big problem with his head.
18 Reactions
90 Replies
14K Views
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!. Kuna muda nikiwatazama ndugu zangu na jirani zangu wakenya napata mashaka sana na uelewa wao. Hivi kinachofanya muandamane na kuharibu biashara za watu...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Jackson M. Marucha, Mwalimu kutoka Kaunti ya Nyamira Kenya, anatuhumiwa kumpa adhabu hiyo Mwanafunzi wa Darasa la 4 mwenye miaka 9 baada ya kuripoti kuibiwa nguo zake za Shule. Mwalimu alijaribu...
1 Reactions
2 Replies
786 Views
Mamlaka ya Mawasiliano ya Kenya (CA) na Ofisi ya Kamishna wa Ulinzi wa Data (ODPC) wameelezea kutoridhishwa kwao kuhusu mradi wa Sarafu Mtandao "Crypto" unaoenezwa na mtandao wa Worldcoin. Katika...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Nairobi is among six must-visit African cities chosen by the 47-year-old American monthly consumer travel magazine, Travel+Leisure. Describing the Kenyan capital as East Africa’s hub and home of...
1 Reactions
2 Replies
726 Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Kidigitali, Eliud Owalo amesema hatua hiyo inafuatia kuongezeka kwa maudhui ya aina hiyo kupitia Mitandao ya Kijamii. Amesema Wizara itapitia upya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu hii kitu ndio nini na why hawa jamaa wawalipe watu pesa kuja kuscan, cha kushangaza hata wengi hawajui ni kitu gani ? Imebidi serikali isitishe maana msongamano ni mkubwa sana Mwenye info...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais Ruto amewapa uraia wa Kenya Wapemba Elfu Saba (7,000) leo hii Jumamosi Wakiishi maeneo ya Kilifii Wapewa National Id, Birth certificates n.k Wamekuwa wakiishi huko kwa miaka 100 na hata...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Biashara ya kununua mbegu za Wanaume imeonekana kunoga na kushika kasi katika Kaunti ya Murang’a nchini Kenya ambapo baadhi ya Wanawake wanawalipa Wanaume hadi Ksh. 300,000 (Tsh. mil 5.1) ili...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Kinachoweza kuwasaidia Luo wa Kenya kupata utaifa wao (ambayo ndiyo dawa pekee) ni yafuatayo:- 1. Waluo waandae waraka maalum wapeleke UN kuomba eneo lao kupewa mamlaka kamili ndani ya Jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
474 Views
Viongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja One na Kenya Kwanza wamefikia uamuzi huo ili kutafuta mwafaka wa maandamano ya kupinga Serikali yanayoongozwa na Raila Odinga. Katika taarifa iliyotolewa...
0 Reactions
1 Replies
908 Views
By 2030, Africa's populace is supposed to top at 1.6 billion and ladies' populace will represent 58% of that populace. However the mainland is a long way from accomplishing half ladies' portrayal...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inaelekea mama alienda kwa mishe zake binafsi. --- Baada ya kuwapo kwa taarifa ya Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu kwenda nchini Kenya hivi karibuni kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro...
1 Reactions
1 Replies
934 Views
Back
Top Bottom