Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Rais wa Iran Ebrahim Raisi ameahirisha ziara yake nchini; msemaji wa Ikulu Hussein Mohammed athibitisha. Kiongozi huyo alikuwa akitarajiwa kuwasili Kenya leo. --- Iranian President Ebrahim...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Imefikia taarifa ya Jeshi la Polisi Kitaifa kupitia vyombo vya habari kuwa kuna makundi au watu binafsi wanaopanga kufanya maandamano, migomo au mikusanyiko ya umma katika maeneo mbalimbali...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Maafisa wa polisi huko kaunti ya Murang'a eneo la Kaharati wanamshikilia Mzee mmoja kwa kosa la kupaka rangi matunda ya parachichi kuwahadaa wanunuzi kwenye barabara ya Murang'a kuelekea Nairobi...
0 Reactions
2 Replies
564 Views
Maswali yameibuka kuhusu utendakazi wa maafisa wa Wizara ya mambo nje inayoongozwa na Waziri Dkt. Alfred Mutua, baada ya kutuma taarifa nyingine mpya kwa vyombo vya habari ikisema kuwa Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Kenyans know less about Tanzania... Tanzanians watch kenyan TV news and online news..Kenyans don't do so to Tanzanians
5 Reactions
214 Replies
22K Views
Waziri wa usalama wa ndani Professor Kithure Kindiki ametuma onto kali kwa upinzania kuelekea maandamano mengine yanayotarajiwa siku ya Jumatano. Kithure amesisitiza kuwa hakuna aliye juu ya...
1 Reactions
4 Replies
898 Views
Kwa muda sasa Viongozi wengi wanaomuunga mkono Rais William Ruto wamekuwa wakimkemea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta wakidai ndiye mfadhili mkuu wa vuguvugu la maandamano linaloshuhudiwa Kenya. Madai...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Tom Mako: Kijana wa Kimaasai afunga ndoa na wanawake wawili wakati mmoja Kenya Tom Mako, maarufu kama Junior, 27, alifanya sherehe hiyo ya harusi Jumanne wiki hii. Mako anatokea kwenye familia...
3 Reactions
13 Replies
5K Views
Muktasari: Kiongozi wa Azimio la Umoja nchini Kenya, Raila Odinga leo Jumatatu ametumia usafiri wa umma maarufu matatu au daladala kwenda kazini. Hatua hiyo imeibua mijadala mitandaoni. Kenya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimerudia mara tatu kuangalia tukio hili, ila mara ya nne nikakumbuka kuna wadau huko hebu nikapate kutanua mawazo kutoka kwako. Kama una bundle fungua ni video ya 5mb, uangalie kwa umakini ili...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Imekuwa ni siku iliyowashangaza wengi baada ya Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kutumia daladala kuelekea mjini na baada hapo kula chakula vibandani kwa mama ntilie. Baadae msafara wake...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mlitaka katiba mpya mkatengeneza, mkataka uchaguzi uwe free, fair and transparent na ikawa hivyo na Dunia nzima ikawasifia wakenya Kwa uchaguzi digital, Ruto akashinda, Odinga akaenda mahakamani...
1 Reactions
5 Replies
965 Views
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Kenya kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na Umoja wa Mataifa, umeonesha kuna ongezeko kubwa la Wanawake wenye Vitambi na Uzito...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuna mkubwa , hakuna Cha mtoto, hakuna kiongozi Wala Nini....Kila mtu mjuaji....nchi haitawaliki.Siasa mpaka makanisani....vurugu, mabomu, KERO Kila mahali, Hali mbaya ya maisha, vitu bei juu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB)...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mahakama Kuu katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, imetangaza nyadhifa 50 za juu za mawaziri kuwa ni kinyume cha sheria. Katika uamuzi wao wa Jumatatu, majaji Hedwig Ong’udi, Aleem Visram na Kanyi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Maandamano hayo ni wito wa Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Muungano wa Azimio kuelekea Jijini Nairobi yakiwa na lengo la kupinga gharama kubwa za maisha na Utawala wa Rais Ruto. Pia, Raila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MY TAKE; Tukisema Tanzania ni nchi ya maziwa na asali wakenya wanadhani tunatania. Tony254 Don YF dyfre Nicxie IamLee Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
13 Reactions
53 Replies
4K Views
Back
Top Bottom