Navy sends ship to Tanzania, aims to expand presence in IOR
By PTI | Updated: Nov 17, 2017, 01.05 AM IST
INS Sarvekshak today reached Dar-es-Salaam, a major city and commercial port of...
Watu watatu akiwepo mwanamke mzee wamefariki kwa kupigwa risasi kwenye maandamano yaliyotokea baada ya mahakama kutangaza ushindi wa Uhuru Kenyatta ni halali
Watu wawili kati ya hao waliuawa...
Shindano la malkia wa urembo duniani la 2017 lilikamilika mjini Sanya China siku ya Jumamosi huku Mkenya Magline Jeruto akishinda taji la malkia wa urembo barani Afrika.
Hatua hiyo inajiri baada...
Naleta taarifa zaidi... Fuatilia CItizen TV
Mahakama ya Juu imesema ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta ni halali
Majaji sita wote walitupilia mbali mapingamizi yaliyopinga ushindi wake kwenye...
Two people are feared dead following protests against the Supreme Court ruling in Migori on Monday.
A medic and a clinical officer were reportedly shot dead as they rescued injured protesters...
Mgombea wa Urais wa Kenya aliyejitoa katika uchaguzi wa marudio Raila Odinga ameonekana katika viunga vya mji wa Unguja (Stone Town) .Wapasha habari wanadai yupo katika mapumziko. Ikumbukwe kwamba...
Wakenya leo Novemba 20 wanasubiri mwelekeo ambao nchi itachukua ambapo Mahakama ya Juu itatoa uamuzi katika kesi za kupinga uchaguzi wa marudio wa Oktoba 26 ambao Rais Uhuru Kenyatta alitangazwa...
Mbunge wa Mathare, Anthony Oluoch, amelazwa hospitalini Jumapili ya leo Novemba 19 baada ya kujeruhiwa katika hali tatanishi, katika mtaa wa Baba Dogo jijini Nairobi, kwenye mkutano uliohutubiwa...
Eight people were hacked to death and others shot by unknown assailants at dawn in Nairobi yesterday.
And an Opposition MP sustained gunshot wounds, a day before the Supreme Court makes its...
Habari nilizozipata toka Kenya ni kuwa mungiki wamepewa silaha na wanauwa wafuasi wa upinzani huku polisi wakiwafungia macho hizo ni baadhi za picha za maiti mitaa ya kariobangi leo hii ambapo...
Hii imetokea huko Kenya dereva huyo alisimamishwa na trafiki ambaye alikuwa na ishu naye binafsi kuhusu maji kwenye nyumba wanayokaa, jamaa alikuwa amelewa akammgonga na kusepa
Dereva huyo...
Idadi ya waliuawa baada ya kutokea makabiliano kati ya polisi wa Kenya na wafuasi wa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga imefikia watano huku gari la polisi likichomwa moto.
Polisi walifyatua...
12 people died and two others were injured after a passenger matatu collided with a truck at the Salgaa black spot on the busy Nakuru-Eldoret highway early Sunday morning.
The 11-seater matatu...
Chris Musando's Land Rover towed to Kasarani Police Station. PHOTO: SAMUEL RAMTU
IEBC ICT manager Chris Musando found dead
Jul. 31, 2017, 12:00 pm
By STAR REPORTER
Missing IEBC ICT manager...
Kiongozi wa chama cha Upinzania nchini Kenya Raila Odinga amerejea leo nchini humo akitokea Marekani. Raila amepokelewa na wafuasi wake wengi kuanzia uwanja wa ndege hadi barabarani.
Wafuasi awa...
Kenyan crude oil extraction and export postponed again
TUESDAY NOVEMBER 14 2017
The failure of the EOPS scheme has forced the Kenya government and British firm Tullow Oil to contemplate...
Unknown men loot an M-Pesa shop at Burma Market on Jogoo Road on November 17, 2017. PHOTO | DENNIS ONSONGO | NATION MEDIA GROUP
Organised criminals in the Nasa procession Friday left a trail of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.