Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne. Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Kama kichwa kinavyojielezea imebidi nije mbio mbio vipo huyu jamaa kapteni wa mapambano wa NaSA kukiri live kuwa kina tallying in arusha hii imekaaje kidiplomasia na waziri wetu alikanusha kabisa...
4 Reactions
63 Replies
7K Views
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi. Nsiwachoshe sasaaa Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k, Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage? Muoneeni...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
KENYA: Watatu wafariki wakisheherekea ushindi wa Uhuru Kenyatta huku msichana 1 akiuawa kwa kupigwa risasi ktk ghasia huko Mathare. ===== A young girl was shot dead by police firing "sporadic...
0 Reactions
3 Replies
835 Views
My thoughts. Sio siri kwamba Magufuli na Kenyatta are not exactly best friends. Tutegemee mivutano ya kibiashara kati ya heavyweights hizi mbili za EAC kuendelea. Zuia hiki nizuie kile. Rumor has...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Akitumia ukurasa wake wa twitter Raisi wa Rwanda ambaye hivi majuzi amepata ridhaa ya kuiongoza Rwanda kwa mara nyingine, amempa pongezi raisi wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuchaguliwa tena kuiongoza...
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Kibera, Mathare, Eastleigh and several other parts of Nairobi are rocked by violent protests or celebrations at this very moment in the wake of Uhuru Kenyatta's declaration as winner of this yr's...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wana JF Nlikua najaribu kufanya mahesabu hapa, ya jumla ya matokea yaliyokwisha tangazwa na kumpa ushindi Uhuru Kenyatta kama ndie raisi mteuliwa, but kile nikijaribu kukotoa, naona haya mahesabu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Naona kageuka gumzo kwenye vyombo vya habari huko Kenya na watu maarufu kv Omondi,Jeff Koinange nk wamemtumia kama fursa, sasa huyo Githeri man msimuache fukara mpeni fursa hata ya Tv commercial...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
GAZETI la sauti huru limeripoti kuwa chama cha demokrasia cha maendeleo cha hapa Tanzania kusema eti Odinga kaibiwa kura na kuwa CHADEMA itaendela kuisapoti ODM kwa hali yeyote! Nini madhara ya...
4 Reactions
97 Replies
11K Views
Jubilee iko na viti vingi kuliko NASA kwa kila position
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msije mkamove hii thread wakuu moderators. Jamaa mheshimiwa Sana Raila ajawahi kukubali matokeo . Naomba ieleweke hivyo kwahiyo tukijadili tufanye flash back kidogo. #CongratsUHURUTO
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Muungano wa upinzani nchini Kenya (NASA) umeendelea kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais yanayotangazwa na tume huru ya uchaguzi nchini humo (IEBC) huku umoja huo ukitaka tume imtangaze kiongozi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kenya election monitors urge losing candidates to accept poll results Provisional results show incumbent Uhuru Kenyatta ahead, but opposition accuses officials of hiding Odinga victory View...
0 Reactions
2 Replies
939 Views
Wakati Tanganyika ikiadhimisha sikukuu ya wakulima mnamo tarehe 08/08/2017, wakenya watakuwa wakipigana vikumbo kwenye mistari mirefu wakimchagua rais wao atakayewaongoza kwa kipindi kingine cha...
2 Reactions
96 Replies
12K Views
Habari Jamvini?, Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga...
9 Reactions
64 Replies
7K Views
Poleni na majukumu ya juma zima familia ya JF. Niende kwenye mada hapo juu. Ndugu zetu wakenya wamefanya uchaguzi lakini kura zilizotolewa kwa njia ya electroniki zimekataliwa na upinzani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kweli siasa yaweza kumfanya mtu kupoteza akili
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndio njia sahihi ya kuepuka ugomvi na kuhakikisha mshindi anakubalika, yaani fomu zote zimekusaywa na makarani wa vyama vyote wamealikwa kushirikiana kwa pamoja katika kupitia takwimu baada ya...
26 Reactions
128 Replies
10K Views
Huu ushindi wa Uhuru naomba uwe wa kweli na usije kutuletea majanga na chuki, Raila amesema hayo mafomu 34a na 34b hayajaambatanishwa na matokeo yanayotangazwa, naomba IEBC wafanye scan ya hizo...
26 Reactions
140 Replies
14K Views
Back
Top Bottom