Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Kiukweli Nyerere si wa kumbeza licha ya yeye kuwa mwanadamu aliekosea mambo machache likiwemo hili la muungano mithiri ya tembo kuungana na sungura wawe wanakula sawa. Kiukweli siasa za Africa...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
'Kama Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi IEBC pamoja na Makamishina Wanne wa Tume hatukubaliani na Matokeo ya Uchaguzi kwani hatujashirikishwa katika hatua Muhimu ya Uhakiki wa Nyaraka na...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Kipaumbele cha kwanza mahakama ziwezeshwe ili kesi za mafisadi zifanyiwe kazi haraka Kenya kwanza, wanyonge wainuliwe. DCI akimaanisha Mkurugenzi wa upelelezi nchini Kenya awe independent afanye...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Madaktari wa Uchunguzi wataufanyia uchunguzi mwili wa afisa wa IEBC, Daniel Musyoka aliyekutwa amefariki baada ya kutoweka kwenye kituo cha Kura. Mchunguzi wa serikali pamoja na Daktari...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Mtaalamu mmoja wa mambo ya Uchaguzi amenieleza kuwa Rais wa Kenya huamuliwa kwa kura 1 tu kwenye Uchaguzi nyingine zote ni mbwembwe tu Rais mteule anapaswa kupata 50%+1 na hiyo 1 ndio huamua kwa...
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Huyu mtoto anaitwa Cherono William Samoei Ruto. Alizaliwa huko Machakos lakini akatupwa akiwa na siku moja tu. Haijulikani sababu ya kutupwa, huenda ni ugumu wa maisha kwa wazazi. Alipotupwa...
2 Reactions
2 Replies
900 Views
Uchambuzi kutoka akili kubwa. Changia hoja na si matusi. Challenge hoja zake, then JF itakuwa na Great Thinkers. Msikilize CC Tundu Lisu; Mbowe Freeman, Godbless Lema
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwaka mmoja baada ya Maafisa wa Idara ya Usalama kuondolewa kwenye makazi ya aliyekuwa Naibu Rais, William Ruto na nafasi yake kuchukuliwa na Maafisa wa Polisi wa Utawala, leo wamerejeshwa rasmi...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
Kituko kikubwa cha karne kuhusu hesabu leo kimeonekana huko Kenya baada ya makamishina wanne wa tume ya uchaguzi waliotangaza kujitoa kwenye mchakato wa kutangaza matokeo ya urais kuja na hoja...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Wafula Chebukati mwamba anayejiamini haogopi kitu anasimamia sheria kwa Afrika wanahesabika.
4 Reactions
9 Replies
650 Views
Habari wakuu, Moja kwa moja kwenye mada, Kenya tangu enzi KANU hakuna chama cha upinzani kilichofanikiwa kushinda uchaguzi. Kidemokrasia Kenya na Tanzania hatuna tofauti. Katika nchi zote mbili...
0 Reactions
5 Replies
658 Views
Uchaguzi wa kenya matokeo yameanza utata mkubwa mitandaoni. Mwenye Katiba ya Kenya tunaomba tafadhali Ili wengine tutafute suluhu kwenye hiyo Katiba.
0 Reactions
2 Replies
558 Views
Najua ninachoandika wale wa low IQ hawataelewa, Ruto alisimama, akamwamini Mungu, wakajaribu kufanya waliyotaka kuyafanya, hatimae haki imeshinda dhidi ya udhalimu. CCM next time msiingilie mambo...
14 Reactions
64 Replies
4K Views
Raila Odinga kwa sasa ndiye anasubiriwa kwenye ukumbi wa IEBC yatakapotangazwa matokeo ya mshindi wa Urais kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Ikiwa Mgombea wa Kenya Kwanza Coalition, Willium Ruto...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Kenya’s president-elect William Ruto has welcomed criticism from the media as he promises an administration that grants freedom of the press under his presidency. Speaking on Monday night in his...
0 Reactions
1 Replies
667 Views
09 Agosti 2022 Kakamega, Kenya MGOMBEA URAIS PROF. WAJACKOYAH ASHINDWA KUPIGA KURA, SABABU VIFAA VYA KURA KUSHINDWA KUFANYA KAZI Mgombea urais Prof. George Wajackoyah ahuzunishwa kushindwa...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Tume ya Uchaguzi Huru na Mipaka (IEBC) imemtangaza aliyekuwa Naibu Rais, William Ruto (55) kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano kwa tiketi ya Chama cha UDA kufuatia Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti...
6 Reactions
144 Replies
12K Views
Hakimu wa Mahakama mjini Bungoma, Hakimu Charles Mutai ameruhusu polisi kumshikilia Didmus Barasa kwa siku 10 ili kusubiri Uchunguzi wa kesi ya mauaji inayomkabili. Mbunge huyo wa Kimilili...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
William Samoei Rutto ameshinda urais. Ushindi wake ni pigo kubwa kwa Chato Dynasty ambao walidhani kwamba Raila angeshinda, basi angetoa support kwa mtu ambaye angegombea urais kwa kundi la JPM...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…