Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za majukumu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyojielea, ninahitaji kuwa na mke ilituweze kusaidiana kujenga familia bora. Sifa za mtu ninayemtafuta: - Awe wife material (mchapa kazi n.k)...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:- 1.Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea mana sipendi kuwa na msichana mwenye mambo ya utoto utoto. 2.Rangi yeyote iwe nyeusi au nyeupe ila sio weupe...
1 Reactions
122 Replies
7K Views
Habari zenu, Majuzi nilieleza kwanini napenda Mwanamke mtu mzima, na kwakweli niliwekwa kikaangoni na kumjibu kila mmoja kwa umakini, hadi thread ikafika page ya 9 bila tusi lolote, bali yalikuwa...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Habari wana JF, Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza. Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa...
27 Reactions
336 Replies
27K Views
Inaweza ikawa kwa fikra za kawaida ukajiuliza nikaapo hawapo mpaka nitafute hapa?, lakini when you search someone to be your wife your never know utakutana nae kwenye mazingira yapi!, natafuta...
5 Reactions
76 Replies
7K Views
Habarini wanajukwaa, Naitwa Idriss(miaka 33) naishi Mbezi (Africana) ni mwajiriwa katika shirika lisilo la kiserikali hapa jijini Dar. Nahitaji mke (inshaAllah tukiridhiana) Awe muislam /akubali...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo jinsia zote age 27-31 npo dar
0 Reactions
4 Replies
787 Views
Habari taifa la Mungu. Mimi ni jinsia ya Ke, miaka 29, muajiriwa katika Asasi ya kiraia, natafuta rafiki wa faida (friend with benefit) Awe angalau mrefu, kabila lolote, Umri miaka 33 na...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Kama title inavyojieleza, Sifa: Mchapakazi, mrembo/mzuri, mkristo, umri kuanzia miaka 18-20, si mrefu sana au mfupi sana awe wa kati, awe mtanzania. Sifa zangu: Umri miaka 25, urefu wa kati...
2 Reactions
3 Replies
808 Views
Some of my characteristics 1. I am between 30 to 40 years. 2. A man, not a boy and well matured. 3.Roman catholic by religion. 4. Employed and woking on self project as an entrepreneur 5...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
  • Closed
Habarini za usiku huu, naleta tangazo hili usiku huu baada ya majadiliano marefu na mhusika... Anayetafuta mchumba sio mimi bali ni mwanaJF mwenzetu nami nipo hapa kama mwakilishi Nimejiridhisha...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania niko hapa kutafuta mwanamke wa kuishi nae Nimeishia kidato cha nne mwaka 2012 nina miaka 25. Nimejiajiri kwenye campuni binafsi ya Umoja Computer and IT solution pia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza, nahitaji mwanamke aliye tayari kuolewa iwe humu JF ama kwingineko. SIFA ZANGU Dini: Muumini wa dini ya kiislamu Umri: Miaka 32 Urefu: 175 cm Kabila...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina miaka 32 mkristo Muajiriwa Elimu Degree Sio mrefu sio mfupi Maji ya kunde. Mwanamke anayehitajika; Miaka chini ya 27 Awe mkristo Elimu, diploma au degree Mweupe Mwili wa kawaida Kama una...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa majina ya humu jamvini ni wolfpack. Dini yangu ni mkristo na naishi Arusha mjini. Natafuta rafiki wa kike(mchumba) mwenye umri kwanzia 22 mpaka 26 mwenye vigezo hivi, 1. Awe mweusi au maji ya...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Hi jf. Nimepata mualiko kutoka Kwa classmate wangu anaoa amenitumia tiketi tangu juzi amesisitiza nifike kwenye harusi yake. Baada ya harusi nitamsisitiza angalau nikaone hilo kabila...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa! Je, ni kweli kwamba love connect inatumika kama ilivyokusudiwa na waandaaji wa hii forum. Kwa sababu...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndungu zangu wanajamvi Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa, Mimi ni mgeni humu naomba mnipokee wanajamvi. Kama title inavyojieleza hapo juu...
10 Reactions
52 Replies
6K Views
Naitwa Ally niko Tabora natafuta rafiki wa kuchat nae then tuwe wachumba ila awe mvulivu shida na njaa, umri kuanzia 18 ~26. Alietayari namba hiyo 0743850941 kwa eirtel no 0692658141
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha kwa ndoa halali kutoka kanisani, mimi ni mwanaume niliekamili. Mke nimtakaye awe ana mapenzi ya kweli, elimu kuanzia la saba na kuendelea awe na...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…