Naamini mapenzi ni kama maua yanaweza kuota popote, siku zote atafutae huwa hajui kama atapata lini na wapi. Wapenzi wanaweza kutana popote, yawezekana ikawa msibani, safarini kwenye harusi...
Natafuta rafiki wa kike anaejua computer vizuri.
Ajue programming languages kama Php,java,c++ etc.
Awe na uelewa wa mambo ya web designing.
Mwenye uwezo wa kufikiri projects kubwa zenye maana...
Natafta mke mapema tu kwa ajili ya kuitafta pepo....awe anajua dini ya kiislam vzuri na Kama hajui awe tayari kukaa chini na kusoma..tusisumbuane kabisa juu ya kutekeleza amri Za mungu
Ikiwemo...
Habari,
Mimi ni mwanaume wa miaka 25, elimu nina shahada ya biashara, kazi mwajiriwa, nina nyumba nimejenga, kazi ya uhakika, nitamtunza, kumjali na kumpa mahitaji ya msingi kama mke, ninatafuta...
Salama wakuu ninatafuta mwanamke yoyote aliyeko serious kutoka mkoa wa Mwanza kwa ajili ya urafiki na mambo mengine yatafata.
Kuhusu mimi
Mkirsto miaka 27
Elimu Bachelor Degree
Nimeajiliwa na...
Kwa ufupi sana ni kwamba mke mtarajiwa na ambaye yuko very serious kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na baadaye kuoana, ninamuhitaji sana tena sana.
Kwa upande wa sifa anazotakiwa kuwa nazo ni...
Nina maswali mawili kwa members mnaoanzishaga threads za kutafuta partiners(boyfriends)
1. Kwanini swala la umri mnawekaga mkubwa mno mostly 30+?
2 . Mnapata hao boyfriends kweli?
Sent using...
Nina miaka 50 natafuta mke wakuoa , nina watoto wawili nilio zaa na Mzungu.
Sifa zinazo hitajika
1 awe mtu mzima zaidi ya miaka 35
2 Akiwa alishazaa au bado hakuna tatizo
3 Asiwe tegezi...
matumaini yangu woote wazima.Nimejitokeza kwenu naitaji mwenza[mke]
kwa majina naitwa steven nipo songea
umri wangu miaka 24
elimu yangu ni ya kidato cha nne
najishughulisha na ufundi wa magari...
mie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo...
Habari zenu,
Umri miaka 25 naishi Dar kama nilivyotangulia hapo mwanzo ni kweli kuwa nimechoka kuishi pekee nahitaji mwenza wa kuwa nae maishani kusaidiana katika dhiki na faraja tucheke wote...
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo...
"Nimewahi kuomba ushauri hapa JF kuusu wake zangu wawili kama mtakumbuka umri nilishataja nilipata ushauri mzuri wengine walizingua mana huwa hawakosekani katika jamii ni kawaida sana kuwapo watu...
Hello!
Naitwa Mary ni binti wa miaka 28 na ni mkristo, nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya laboratory science and technology lakini bado sijapata ajira.
Nilidumu kwenye mahusiano na mwanaume...
Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au...
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri...
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mwanamke/msichana wa sifa zifuatazo:-
>Awe kabila lolote kwani kwangu hiki sio kigezo (no one decided to be in any of the tribe available)
>Rangi pia yoyote...
Habari za asubuhi.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, Mimi ni mwanaume na miaka 23, mweupe, mkristo, elimu bado nipo chuo, mchaga nadhani inatosha japo kidogo kujitambulisha.
Mimi ni...
Sifa
Awe mcha mungu
Awe amehifadhi Quran yote au hata juzuu moja
Akili timamu
Asiyependa makuu.
Anayejua kulea watoto wamjue Allah
Miaka 23;24;25; 0714205255
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.