Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu wana jf mie ni mkazi wa kunduchi nimekuja hapa kutafta marafiki wa kuchat nao na kubadilishana mawazo sja target umri kwa sababu wazo jema halina umri hivo bas karibuni sana wenye nia...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Tafuta uhusiano na mwanamke ambaye ana heshima na utulivu
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Hello habari zenu Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point Kwa walio serious tu plz Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30 Ninaishi Netherlands muda huu Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin...
0 Reactions
85 Replies
12K Views
Niende moja kwa moja kwenye point! Ni wakati muafaka sasa baada ya kupitia changamoto nyingi sana kwenye kumpata mtu sahihi wa kupanga nae malengo aje kua mke siku za usoni, leo nakuja mbele...
0 Reactions
3 Replies
922 Views
Mke mwema anahitajika sana. Awe na sifa hizi 1. Mkristo au mwislam aliyetari kuwa mkristo preferably mpentekoste. 2. Elimu sio kigezo ila awe na akili nyingi za maisha. 3. Awe ni mwanamke mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Naitwa David nipo Kahama Shinyanga, natafuta mwanamke wa kuoa awe maji ya kunde na awe tayari kuoana na kuanza kukuza uchumi nilio nao.Awe Tabora Shinyanga,mwanza,kigoma,singida.anipate kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aisee msiweke mabango ukitaka kupata mwanamke JF jikoki kisha zama PM oneday utafanikiwa na usikate tamaa. mimi niliweka mabango mpaka nikachoka mwisho nilikuwa nikiweka mabango ya kutania baada...
9 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari wana jf,jina natafuta mke wakuoa atakaye kua na mapenzi ya dhati,umri wangu ni miaka 36,sina mtoto,wala sijawahi kuoa,sivuti wala kutumia kilevi,nina dgree ya pili,pia nimeajiriwadini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni mke wangu amekuwa akionyesha tabia za kutojali,mfano,unaweza ukawa kazini ukamtext," hi baby" akajibu "P" Ukiendelea anapiga kimya hajibu sms,. Kwa kuwa muda wake wa...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 sasa elimu ni degree ni muajiriwa wa Serikali nina watoto watatu wakike 2 wa kiume mmoja.Nilioa bahati mbaya ndoa haikiweza kudumu kutokana na changamoto...
0 Reactions
6 Replies
987 Views
Awe muislam au alie tayari kuwa muislam, umri miaka 28-32, awe tayari kwa ndoa kwa aliye serious, aliye na nia na vingine nilivyotaja aje pm, coz sitazungumza chochote zaidi kwenye thread siku njema.
10 Reactions
35 Replies
5K Views
Mimi ni mwanaume halisi najitokeza kwa mara ya kwanza kumsaka Rabeca na nukuu ukisoma Mwanzo 24:44,mwanzo 24:61-67 na amini kabisa mke bora anatoka kwa bwana.umri wangu ni miaka 34,nina elimu ya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari ya uzima wanaJF...Kama tittle ilivyo natafuta mpenzi wa kike ambaye tutawezakushare mambo mbalimbali including serious matters abt life... Umri itapendeza awe from 20 hadi 25
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kipnd nasoma o level nilipata mtoto mmoja mzur huyo hatar.. ila alikuwa mlokole. Story zetu bas ni za dini tu.. hakuna bla blah kipndi hicho nasoma morogoro shule moja inaitwa kigurunyembe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke ambae Mungu akipenda aje kua mke wangu Sifa 1.Awe na uhitaji wa kuingia kwenye mahusiano yatayopelekea ndoa 2.umri 20-27yrs 3.Asiwe na watoto 4.Awe mkristo Sifa zangu 1.Mkristo...
0 Reactions
1 Replies
799 Views
Habari wanajamvi, -Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. -Mfanyabiashara Natafuta mwanamke wa kuishi nae na kuniletea watoto duniani. Ninapenda sana watoto. Mwanamke awe na utayari wa kua...
1 Reactions
75 Replies
5K Views
Sio mimi bali mshikaji wangu. Iko hv: Jamaa yangu alioa. Akazaa naye watoto wawili, lakini amekuwa hatulii kwenye ndoa anahangaika sana na wanaume. Nadhani ni kwa sababu alimuoa akiwa mdogo sana...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Namtafuta mwanamke was kiislam awe anajua dini na awetayari m/ mungu akipenda tuwe mke na mume naishi dar
2 Reactions
1 Replies
817 Views
Habari za leo wana JF. Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo...
22 Reactions
102 Replies
12K Views
Back
Top Bottom