Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, natafuta mke wakuoa nitakaye ishi naye kwa furaha kwani ndiye atakua chaguo langu. Awe tayari kupima HIV, asiwe mlevi, mcha Mungu, awe na mapenzi ya dhati, asiwe na mtoto, umri...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hi, natafuta rafiki wa kike umri kuanzia 24-37,sina ubaguzi wa elimu, dini, kabila,msomi hata ambaye simsomi yeyote anakaribishwa. Awe ni mtu anaye jituma katika kupambana na umasikini Aliye tyr...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Sizunguki zunguki Nataka mke wa kuoa ili nyumbani kwetu tu talk openly, we have to dare to talk (jf slogan) Sifa Sifa zangu A. Kipato cha kati 1000 USD to 2000 USD per month B. Umri wangu 30...
2 Reactions
70 Replies
5K Views
Huo mpango nimeachana nao kiukweli mchumba sahihi umtakae hawezi kutoka Jf Bac jamani kila laheri
1 Reactions
72 Replies
10K Views
Za jioni wapendwa, Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka. Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio...
4 Reactions
86 Replies
7K Views
Natafuta mume alie tayari kuishi nami. Awe mkristo. Mwenye mapenzi ya kweli.
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Jina langu ni Amour.....mimi ni boy aged 18 years, Natafuta friends wa kuchat nao all around teen age so if you find this interesting call me or whatsapp me by 0682557939 And by the way nipo dar...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri...
6 Reactions
77 Replies
7K Views
Nina mtoto mmoja, umri wangu 28, naishi Ruvuma wilaya Namtumbo, kazi sina ya uhakika ila nimejipanga kilimo cha mpunga msimu ujao, nafanya kazi ila kipato chake kidogo kwa mwezi(teaching private...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wanajamii. Huku mtaani tukijaribu kujiweka karibu nanyi ili kuanzisha mahusiano yanayoweza kupelekea ndoa mnatuona hatuna maana kabisa. Lakini mnakuja kutafuta marafiki Jf na kwenye...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Hi,mimi ni mwanaume najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke ambaye nitaishi naye siku zote,mwenye umri wa miaka 23-28,elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea,dini mkristu,kabila lolote,awe...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari, Nafuta wife material mwenye mapenzi ya dhati, kwa aliye serious ani pm. Wasifu wangu Sina mtoto Sivuti sigara Nimejiajiri mwenyewe ili mradi mkono mkono uingie kinywani Elimu chuo kikuu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
.....
2 Reactions
60 Replies
3K Views
Ni tumaini langu wote wazima, Nipo hapa kumtafuta Soul mate wa maisha ambaye ana uhitaji wa kuanzisha familia Na kutulia kwa kuzingatia kwamba Mungu alituumba kila mtu na mtu wake kwa muda...
20 Reactions
165 Replies
12K Views
  • Closed
Habari, Mimi ni mwanamke wa kitanzania. Wasifu wangu:_ Mkristu-RC(Mcha Mungu) Self Employed(kipato cha kati,nayamudu maisha yangu) wasifu wa mchumba mtarajiwa -Mcha Mungu -Umri 27-36 yrs ol...
12 Reactions
112 Replies
8K Views
Hi! Naitwa holyholy nina miaka 29. Nina elimu ya Chuo kikuu but bado sijapata ajira. Niko hapa kutafuta mume mwenyewe umri kuanzia miaka 32-40 aliye na hali kama yangu mimi. Nina miezi kadhaa...
10 Reactions
111 Replies
16K Views
Natumai mna wakati mwema wapendwa! Mimi ni binti mwenye miaka 25, ninaishi na VVU. Nimechoka na hali ya upweke nahitaji mwenza wa kuishi nae as a husband and wife kwani naamini kuwa na VVU...
11 Reactions
33 Replies
4K Views
Mi ni mwanaume Wa miaka 30 naishi singida,natafuta make serious,mwenye sifa zifuatazo 1.umri miaka 20--28 2.mwenye hofu ya mungu 3.elimu angalau kidato cha NNE 4 mkiristo 5. Asiwe mweusi. Km upo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jf kwa majina naitwa Nailath Nassor 23yrs natafuta mtu wa kunioa,awe serious,mcha mungu,dini yoyote,kabila lolote,umri 25-30 na atakayekuwa tayari kwa vigezo ntakavyomwambia,atakaekuwa...
7 Reactions
84 Replies
11K Views
Back
Top Bottom