Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 pia ni mlemavu Viungo(miguu) ninatafuta mke wakuoa, ninaishi mkoa wa pwani napia nimwajiriwa ktk taasisi fulani, nikimpata huyo mke nitampenda kwa dhati ewe mwanamke...
2 Reactions
41 Replies
7K Views
Habari wana jamvi ! Mimi ni kijana wa kiislamu nimesoma mpaka Master's Degree ni mtumishi wa Umma . Ninaishi Dar .Natafuta mwanamke mwembamba mrefu awe mweupe au maji ya kunde.kwa aliye tayari...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Mwanamke aliye na vigezo vifuatavyo, kama uko tayari karibu PM zote zitajibiwa 1. Uvaaji...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila...
9 Reactions
380 Replies
19K Views
Mie ni msichana na umri wa 23 pia nina mtoto mmoja ana miezi 6, nimezalishwa tu na mtu alonizalisha hanitaki na isitoshe ameoa mwanamke mwingine. Kwa hiyo atakae kuwa tayari kunioa na tuishi kwa...
23 Reactions
182 Replies
36K Views
Hello! Madada zangu ambao huwa mna aina zenu za wanaume ambao mnataka kuwa nao.. Utaona bidada anataka mwanaume ambae 1. Yupo focused 2. Ana mipango ya maisha 3. Mwenye hofu na Mungu 4. Handsome...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwenye mdema wangu nmepata samaki mmoja na hata siufungui huu mdema nauvunja kwa maana sitegi tena, maana mda mwingi wanaingia kaa tu but later thanks Lord God kwa kumpata huyu mmoja, naamini leo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika,kadri tunavyoelekea mwisho wa enzi za duniani,maisha yanazidi kuwa rahisi sana. Kwa sasa hivi hata wale wasioweza kutongoza vema,sasa wamebahatika kupata wenza. Tangazo hilo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Make it short, Nipo Dar ni mfanyabiashara, umri 29yrs. Natafuta mke mwenye sifa tajwa hapo kwenye Tittle sijali sana uzuri wala rangi kikubwa tu awe mtafutaji kama mimi, na mwenye kujua majukumu...
0 Reactions
1 Replies
946 Views
Mimi ni kijana wa kiume umri ni 24 yrs. wanajamvi. Ninaitaji mke wa kuoa na kuanza maisha nae. Sifa 1. Awe yupo Kanda ya Ziwa akiwa Mwanza ni vzur zaidi 2. Sichagui dini wala kabira 3. Elimu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi, i mean girlfriend around kanda ya ziwa. Awe anamcha Mungu dini zote sawa na mwenye kujiheshimu. Rika yoyote Sifa zangu Umri: Miaka 23 Elimu: Diploma ya Ustawi wa Jamii Kimo...
0 Reactions
5 Replies
878 Views
Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30 Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45 Awe muislamu na mapenzi ya dhati! Aliye tayari aje Pm Ahsante!
5 Reactions
41 Replies
6K Views
Mm ni msichana nimeajiriwa serikalini natafuta mume anayejua thamani ya mwanamke. miaka 35 - 45. akitokea Dar, Tanga, moshi, pwani na moro.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Mm kijana mwenyewe umri miaka 26 nahitaji mke aliyeserious dini awe mkristo tena Rc awe na kazi kwa sababu mm mwenyewe nina kazi sipendi mtu tegemezi
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari...
22 Reactions
176 Replies
58K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Habari za humu wapendwa. Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu. Sifa za...
3 Reactions
168 Replies
41K Views
Natumaini wote wazima Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa Awe muislam(muhim saaaana) Miaka 27-36 Elimu Degree Awe anajishughulisha angalau Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake...
9 Reactions
122 Replies
17K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Mapenzi unautesa moyo wangu kila ninapo jaribu kumtafuta wakunifariji najiumiza zaidi let me to say love takes time[emoji125] [emoji126] you Los my mind [emoji144][emoji144] I wanna be...
0 Reactions
2 Replies
500 Views
Back
Top Bottom