Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina miaka 23, ndio kwanza nimeanza kupambana na maisha baada ya masomo. Napenda kuwa na friends zaidi wa kike tupeane changamoto zaidi. Ukiwa interested ni PM... [emoji108] [emoji108]
0 Reactions
5 Replies
911 Views
Habari wanajamvi, mm ni kijana 20's natafta rafiki yeyote wa kike just for friendship, 0762184383
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37, nina elimu ya chuo kikuu na kazi nzuri, nimekamilika biologically, physically. Kitabia mimi ni binadamu sio malaika. Imani yangu ni...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Natafuta marafiki wa kike na wakiume age 26-34 npo dar
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Sifa za nimtakaye Rangi yoyote Kabila lolote Elimu yoyote Mcha MUNGU mkweli na mwaminifu SIFA ZANGU Mcha MUNGU Umri 27 yrs Naish dar Mengine karibu PM
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau kuna msichana nimempenda nikamtongoza ili tuwe wapenzi ,amenisumbua muda mrefu mpaka kuja kunikubalia sasa shida ni kwamba ameniuliza kama niko kwenye mahusiano kwa sasa nimemdanganya niko...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari za mchana! Kuna jirani yangu leo tangu asubuhi kavurugwa anamtafuta house boy wake kakimbia baada ya kumstukia house girl ana mimba alivyomkodolea macho kasema kweli ana mimba ya house...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Nahitaji mwanamke wa kipemba kwa ajili ya kuoa, mie tayari nipo kwenye ndoa hivyo nahitaji ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa ya wake wengi, sifa zake Awe mweupe sio mweusi Awe muislam...
1 Reactions
51 Replies
8K Views
Wadau habarini Nahitaji mdada ambaye ni graduate (zaidi fani ya ualimu) wa kuoa, awe na umri usiyopungua miaka 20 na isiyozidi miaka 25. Na awe mwenye kiu ya maisha, na nitafurahi zaidi akiwa na...
0 Reactions
2 Replies
900 Views
Kwa yeyote ambaye ni msichana kiziwi umri 17-23 comment hapa
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu. Vigezo -awe Tanzania -mkristo -umri kuanzia miaka 25 -awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+ SIFA Awe mkiristo Mwenye hofu na Mungu Mwenye upendo wa dhati Awe na rangi at least(maji ya kunde + Asiwe bonge Mwenye shughuri ya kumuingizia...
10 Reactions
199 Replies
12K Views
Nahitaji rafiki wa kike wa kawaida. Awe na sifa za kuwa na brain nzuri inayoweza kushiriki kwenye critical discussions ya yeyote tutakayojaaliwa kuzungumzia ndani ya urafiki wetu. Awe...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
- Mume anayetambua thamani ya mwanamke yaani kumheshimuvna kumpenda. - Umri 35-48 - Awe na watoto 2, kama hana mtoto na hana uwezo wa kupata mtoto kabisa pia anakaribishwa twaweza adopt Ikiwa...
14 Reactions
121 Replies
8K Views
siku nyingi nilikua sijatembelea 'engo' hizi leo nimeingia kabla sijasoma chochote naona kama nyuzi saba za wanawake wanaotafuta waume, najiuliza siku hizi wanaume hatuoi au wanawake wamekua wengi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Licha ya kuwepo kwa kasumba au imani kuwa huwezi kupata mke katika mitandao ya kijamii,mimi napingana nalo sababu waliomo humu ndo haohao tunaokutana nao katika mazingira yetu ya kawaida hivyo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi ni sawa kumuoa mwanamke aliyekuzidi umri?? Kidini imekaaje?? Mfano mwanamke amekuzidi miaka 4, nini madhara ya kibayolojia??
0 Reactions
5 Replies
916 Views
Siku moja katika darasa la jioni la watu wazima, mwalimu wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi; "Nataka tucheze mchezo, mtu yeyote yule naomba ajitolee aje hapa mbele"...
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Am a Kenya from Mombasa single, am here searching a lady from Tanzania especially from Tanga ikiwa atakuwepo because we share some common tradition i being a Digo. Am 28yrs of age, holding BCOM...
0 Reactions
7 Replies
962 Views
Jamani wana jamii nimejitokeza mbele yenu nami nahitaji mwenza wa maisha ambaye anajitambuwa na kujielewa awe wangu wa maisha na ikimpendeza Mungu ndiye atakayekuwa Mke wangu. Sifa zangu mimi...
4 Reactions
77 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…