Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta dada au mama mtumzima chini ya miaka 35. Aliejiajiri au kuajiriwa. Mwenye Elimu yoyote kuanzia la saba. Awe na mtoto au asiwe naye. Awe serious na maisha. Mimi na miaka 40. Ni mkristo...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Natafuta mchumba wa kike chini ya Miaka 28 Npo Dar Awe dini yeyote awe na kazi ya kujiingizia kipato Ili tusaidiane kimaisha Mimi Nina miaka 30..
5 Reactions
14 Replies
675 Views
Hello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu 1. Nina miaka 31 2. Mnene kiasi 3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu 4. Sina mtoto 5. Mweusi sio mrefu...
25 Reactions
117 Replies
5K Views
Natafuta dada au mama yeyote awe na watoto au la. Awe anajiheshimu na kujua majukumu ya kumtunza mme. Umri wowote mpaka miaka 35. Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia...
0 Reactions
7 Replies
481 Views
Yaani tangu nihamie Dodoma 2019 nimekuwa mpweke sana, kama sio Madame B yule niliyejizoea wakati niko Dar 😔 Nikiamka asubuhi na kwenda kazini. Nikisharudi, kampani yangu ni Tv na games au simu...
56 Reactions
317 Replies
9K Views
Mimi ni kijana wa miaka 33 Naishi Mwanza ni mfanyabiashara wa kujitegemea, nipo hapa mbele yenu wanaJamii natafuta Mwanamke wa kuoa Kwa Mkataba. Mimi ni mfanyabiashara, na nimejiunga na Chama...
0 Reactions
15 Replies
663 Views
Mimi natafuta mchumba ambaye baadaye atakuwa mke wangu . Sifa zake. 1. Asiwe na tatizo la kiafya la kudumu. 2. Awe amemaliza la Saba au sekondari au chuo au chuo kikuu. 3. Awe amejiajiri mwenyewe...
2 Reactions
19 Replies
874 Views
Nahitaji Mke aliye serious kuolewa. Mimi nina miaka 36 Mkiristo. Nahitaji mwanamke mwenye akili ya maisha sana, asiwe na Kiburi, mke muunganisha familia yani ajue kwamba mimi sipo peke yangu...
4 Reactions
66 Replies
2K Views
Natafuta mke, umri miaka 30 Hadi 40 Mkisto, mjasiriamali wa kati. Awe anaishi Dar. Mimi ni mfanyabiashara naishi Dar. Umri wangu ni miaka 45. Nahitaji mwenye Elimu ya sekondari hadi chuo kikuu...
5 Reactions
17 Replies
729 Views
Mimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Sifa za mwenzi...
11 Reactions
67 Replies
4K Views
Mi ni mwanamke mrembo mwenye Utu sana,Msikivu,Mwenye Upendo,Mwanamke ambae nathamini sana Familia, mwanamke ninaependa Maendeleo, Mama wa mtoto mmoja Miaka 34 Mfanyabiashara Mkristo Nina...
20 Reactions
49 Replies
4K Views
Hello I am mom of 3 kids aged 33, Human Resource officer in a government entity Looking for a divorced, widowed, or single man with age of 45-60 to build our family and enjoy our lifetime...
17 Reactions
65 Replies
5K Views
Wasalam, Habari hum,natafuta mke wakuishi naye sichagui sibagui yoyote sawa kigezo:uwe umeajiliwa(mimi bado nasoma) umri:wowote(mimi 22) Ntakupenda na kukulinda kama mboni ya jicho langu mwaaah!
2 Reactions
7 Replies
448 Views
A life of a "really man" is incomplete without a really "woman" who has merits of being a "wife". Not every man has a merits of being husband, similarly not every woman has a merits to become a...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Jamani naelekea kukata tamaa.. Hiivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmoja mwanaume ambaye anahitaji familia??? Uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu, nikupikie chakula...
26 Reactions
68 Replies
3K Views
Mimi Nina miaka 38,nahitaji mama mtu mzima 43+,tuwe kwenye mahusiano,mke nilikuwa naye nimemwacha . Sihitaji mtu anayepungua umri huo ,nahitaji mama mtu mzima kabisa . Sifa: Awe tayari kupima na...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Naomba nitoe shukrani zangu za dhati JamiiForums kunipatia mchumba, Pia, sio kwamba wewe hustahili kuwa mke wangu kama sijakupa kipaumbele, la hasha ni vile nilikuwa nataka mmoja tu! Wengine...
4 Reactions
52 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiriamali, natafuta mchumba ambae hatiaye awe mke wangu. Umri 22~27, elimu itapendeza asivuke form 4, dini/kabila lolote...
0 Reactions
9 Replies
470 Views
Sifa za mke: 1. Awe muslim 2. Umri chini ya miaka 30 3. Mweupe na urefu wa katikat 4. Umbo la kuvutia 5. Awe tayari kuwa msimamizi wa biashara za familia na sio zake binafsi 6. Asiwe mkali na...
8 Reactions
72 Replies
2K Views
Nina umri wa miaka 30 educated, self employed, natafuta mke yoyote lakini asiwe kibonge mrefu kias rangi yoyote ila awe ndio anaanza maisha alafu awe mcha mungu bas vingine tutavumiliana, ukiwa na...
0 Reactions
3 Replies
611 Views
Back
Top Bottom