Wadau hope mko poa,
Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.
Sifa zangu:
Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial...
I am a man of 30 yrs, looking for a woman aged 20 up to 28 years to establish a relationship that would lead to marriage...
I dont have too many considerations.
Just PM me and get to know each...
Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum.
Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa...
Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na...
Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri...
Ninaumr wa miaka 34 ,ni muajiriwa NGOs Nina mtoto mmoja ,mrefu kiasi Sina gari,Sina nyumba nimepanga naish dsm
Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi;
1...
Natafuta mke/mchumba;
1. Awe na miaka 25-36.
2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD).
3. Awe kajiajiri au muajiriwa.
4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini.
5. Awe...
Habarini humu waungwana!
Mimi ni mwanaume, natafuta mwanamke tujenge mahusiano, kama mambo yataenda vizuri tuoane panapo majaaliwa mwakani. Kwa sasa nipo nje ya Tanzania hivyo ni ngumu huku...
Habari za Kazi,
Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa.
Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri...
Habari ya wakati huu!
Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi.
Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na...
Nipo Dar natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu na sifa kubwa awe mnene na mwenye mapenzi ya kweli na kujiheahimu na Sina ubaguzi wa kabila Wala dini na aliye tayari tuwasiliàne Kwa namba...
Kama unajijua haujazidi miaka 22 jongea inbox, nipo serious, uchumba badae ndoa.
Rangi yoyote, lakini akiwa Mweusi itapendeza zaidi
Elimu yoyote, ila kam umeishia 4m4 utapewa first priority...
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya...
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha...
Ndugu wanabodi,
Lejea kichwa Cha habari hapo juu.
Mimi nina umri wa miaka 38 yrs old
Elimu. Diploma holder
Kazi. Biashara
Eneo. Rock City (Mwanza)
Dini. Christian
Nina mtoto mmoja ingawa Sina mke...
Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam
Nmeajiliwa
Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa,
Sifa awe na Umri kuanzia 20-28
Muislam
Mawasiliano zaidi 0759565300
siku chache zilizopita nilipost a thread kutafuta “Love&Companionship”
nimepata some PM bahati mbaya hazifunguki nimereport tayari.
ila nimeobserve vitu kwa kiasi fulani vimenipa kutafakari...
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.
Natafuta mwanamke wa kuoa
*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango
*Awe mke mwema kwangu...
Habari za muda huu wanaJF, kama kichwa cha Uzi unavojieleza NATAFUTA girlfriend umri 23 Hadi 28 Mimi Nina miaka 26 sichague dini ila kabila asiwe muha Niko likizo Geita hapa makazi yangu ni MORO TOWN