Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wadau hope mko poa, Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja. Sifa zangu: Mrefu wa wastani, maji ya kunde. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
I am a man of 30 yrs, looking for a woman aged 20 up to 28 years to establish a relationship that would lead to marriage... I dont have too many considerations. Just PM me and get to know each...
2 Reactions
10 Replies
830 Views
Nina changamoto ya kushindwa kutoka nje yaani nakaa ndani sana nikitoka mjini mara moja au kwa shida maalum. Sasa nimeambiwa hili tatizo litaniletea madhara!!Hivyo nahitaji rafiki yeyote wa...
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Hello, Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi. Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na...
32 Reactions
204 Replies
13K Views
Jinsia Ke, Rangi maji ya kunde, Miaka 27 Nna mtoto mmoja, Nimejiajiri huduma za Afya, Natafuta mwenza wa maisha, Awe maji ya kunde na mrefu , Umri 32-35, Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Ninaumr wa miaka 34 ,ni muajiriwa NGOs Nina mtoto mmoja ,mrefu kiasi Sina gari,Sina nyumba nimepanga naish dsm Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi; 1...
4 Reactions
56 Replies
18K Views
Natafuta mke/mchumba; 1. Awe na miaka 25-36. 2. Awe amesoma atleast Degree na kuendelea (masterz, PhD). 3. Awe kajiajiri au muajiriwa. 4. Dini yeyoye na asiwe na misimamo mikali ya dini. 5. Awe...
7 Reactions
100 Replies
4K Views
Habarini humu waungwana! Mimi ni mwanaume, natafuta mwanamke tujenge mahusiano, kama mambo yataenda vizuri tuoane panapo majaaliwa mwakani. Kwa sasa nipo nje ya Tanzania hivyo ni ngumu huku...
1 Reactions
11 Replies
553 Views
Habari za Kazi, Mimi ni mwanaume mwenye umri 40+. Natafuta Mchumba baadae aje kuwa mke, nahitaji sana watoto kwa sasa. Tafadhali naomba binti ambaye yuko tayari kuwa na mimi aje PM, umri...
11 Reactions
46 Replies
2K Views
Habari ya wakati huu! Natafuta mpenzi ambaye baadaye ikimpendeza Mungu atakuja kuwa mume na baba watoto wetu. Sina vigezo vingi. Awe mcha Mungu(mkristo), umri kuanzia 32yrs hadi 40yrs, Single na...
21 Reactions
153 Replies
8K Views
Nipo Dar natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu na sifa kubwa awe mnene na mwenye mapenzi ya kweli na kujiheahimu na Sina ubaguzi wa kabila Wala dini na aliye tayari tuwasiliàne Kwa namba...
1 Reactions
4 Replies
453 Views
Kama unajijua haujazidi miaka 22 jongea inbox, nipo serious, uchumba badae ndoa. Rangi yoyote, lakini akiwa Mweusi itapendeza zaidi Elimu yoyote, ila kam umeishia 4m4 utapewa first priority...
8 Reactions
75 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana mwenye umr 24 natafuta mtu msichanà alie na 20 yrs ni Pm kama vp sifa awe na tabia njema ............
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Mimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi. Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa. Vigezo awe anajishugulisha...
17 Reactions
181 Replies
11K Views
Ndugu wanabodi, Lejea kichwa Cha habari hapo juu. Mimi nina umri wa miaka 38 yrs old Elimu. Diploma holder Kazi. Biashara Eneo. Rock City (Mwanza) Dini. Christian Nina mtoto mmoja ingawa Sina mke...
3 Reactions
2 Replies
680 Views
Naitwa Abuubakari mkazi wa Dar es salaam Nmeajiliwa Natafuta mchumba ambae nitafunga nae ndoa, Sifa awe na Umri kuanzia 20-28 Muislam Mawasiliano zaidi 0759565300
1 Reactions
4 Replies
633 Views
siku chache zilizopita nilipost a thread kutafuta “Love&Companionship” nimepata some PM bahati mbaya hazifunguki nimereport tayari. ila nimeobserve vitu kwa kiasi fulani vimenipa kutafakari...
15 Reactions
17 Replies
791 Views
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji. Natafuta mwanamke wa kuoa *Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango *Awe mke mwema kwangu...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Habari za muda huu wanaJF, kama kichwa cha Uzi unavojieleza NATAFUTA girlfriend umri 23 Hadi 28 Mimi Nina miaka 26 sichague dini ila kabila asiwe muha Niko likizo Geita hapa makazi yangu ni MORO TOWN
0 Reactions
11 Replies
610 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…