Natafuta mke kuanzia miaka 25-31, awe angalau kafika kidato cha 4 na kuendelea. Awe tayari kupima na hata kama ana m\watoto sio mbaya wasizidi 2.
Mimi ni mwanaume nina miaka 34 elimu shahada...
Kwa jina SULEIMAN ninaumri miaka 29,kabira mama mpare baba mnyamwezi,mrefu kiasi,si mwembamba wala mnene,mweupe wala mweusi,ni kati kwa kati,dini muislamu,elimu chuo kikuu,mfanyabiashara mdogo na...
anyone who is ready to chat with me in english he/she is invited. time for chatting will be from 22:00 to 00:00 am.
chatting without any restrictions (unconditional chatting).
Jamani nina swali. Hivi mwanamke kupenda kukaa na mme wake mda mwingi ni kuonyesha upendo au ni wivu wa mapenzi...wengine hawataki kuona unatoa mguu nyumbani ananuna kama nini .... akiona...
Habari wadau, kama upo mpweke kama mimi naomba tuwe friends na kubadilishana mawazo na hata outing pia kama itawezekana!!
KAMA HUTOJALI KARIBU SAANA. ni pm kwa maelezo na mawasiliano zaidi
habari wana JF natafuta mpenz wa kike umr kuanzia miaka 18 mpka 25 mim nina miaka 25 npo dar naye pia awe dar,,me ni mfanyakaz nimeajiriwa ktk kampun binafs hapa dar,natafuta mpenz ikiwezekana aje...
Hodi humu i am a boy 22 years old nipo chuo kikuu degree in electrical engineering.
I am a single boy shida yangu ni upweke umenizidi, natafuta mpenzi ambaye if possible tuje kuoana vigezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.