Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni kijana wa kiume miaka 24.natafuta marafiki wa jinsia zote na dini zote kutoka arusha 0759200565
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi.....nnampenzi wangu tumekaa almost miaka mitatu sasa..bt hajawai kunipeleka anapoishi hta mala mja..na najua kila kitu kuhusu yeye kwamba anamtoto bt aishi naye anaishi na...
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Ambao hawapendi ni hila zao tu! To be honest wanawake wanakuwa na mvuto zaidi!!!
0 Reactions
38 Replies
20K Views
ndugu zanguni,ninaumri 32.natafuta mke ili tuyaanze maisha pamoja.Nipo songea. dini siyo kigezo kwangu wala elimu.napenda mwanamke asiye tumia mkorogo.18-30 umri No 0653109366
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Imetokea roho yangu kuvutika sana kwa huyu dada, usiku kucha wakati mwingine hua nakesha namuwaza. Ivi hili ni tatizo la kumpenda huyu mtu linaweza kua limesababishwa na nini ?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
mm ni mwanaume miaka 32, elimu ya chuo, nina mtoto mmoja, kwa umbo ni mnene wastani kimo cm 154, ni mweusi kisura. natafuta mke umri miaka 23-31 dini yoyote, elimu kuanzia kidato cha nn, awe na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, Nahitaji mwanamke wa KUOA, awe na angalau sifa zifuatazo:- Dini: Muslim mwenye kujitambua na kumjua Mola wake kwa vitendo. Elimu: Aliyehitimu kidato cha nne na kuendelea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi wana Jf Natafuta mchumba mwaminifu ili aje kuwa Mke wngu. Aliyetayari ani PM. Umri wangu ni 37, urefu sm 150, elimu yangu ni ya kawaida lkn nitafurahi sana atakayekuwa tayari bc angalau awe na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamani siku zinahesabika mwaka uishe sijapata malkia vipi madada mpo?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
umri 18-22 elimu c tatzo..awe mcha mungu..awe mtulivu..elimu yangu ni diploma nina miaka 25 email johnsonmichael883@gmail.com..changamkia fursa hii
0 Reactions
0 Replies
700 Views
mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 natafuta mchumba wa kike awe anaishi morogoro kama sio moro basi awe tayari kuja kuniona moro, awe anaumri chini ya miaka 27 namba ya simu 0656179600. kua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aliye tayari tuwasiliane pjhn367@aol.com
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Natafuta mke wa kuoa.Aliy tyr ani pm tafadhali nmekuwa mpweke.
0 Reactions
5 Replies
941 Views
Hey ladies; Natoa 'offer' ya urafiki utakaopelekea uchumba kwa msichana aliezaliwa Jan 15, mwenye miaka 20-30. Lengo ni kuwa na rafiki ninaye-share naye 'birthdate'. Nimezaliwa tarehe hiyo pia...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Mi nimechoshwa na wasichana wa humu mtandaoni mana wa kwanza alikuwa mwizi, wa pili alikuwa malaya wa kutupwa ,wa tatu mpenda hela ka amezaliwa kwenye ATM wa mwsho ana majini m nasubr wa kunifuata...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natafuta mchumba..shariti kubwa amepende Allh sana kuliko mimi..awe chini miaka 23 mpka 20
0 Reactions
0 Replies
983 Views
Nimeamini mke mwema anatoka kwa Mungu kwani nishasota humu muda mrefu hakuna kitu KWAHERINI HAPA PENU HAPANIFAI! LET IT
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Natafuta mchumba awe mwafrica mwenzangu na awe anaishi UK ili tuweze kuonana maana sitaweza long distance, alieko tayari tuwasiliane tuone tutafika wapi, mimi ni maji ya kunde, mrefu wa wastani...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Inawezekana vp aseme aninipenda,,,lakini anaweka wazi kwamba nisimwamini??....hivi inawezekana mapenzi yakawepo bila kuaminiana....??? Ninafikiria kumwacha ....unanishaurije????
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta Girlfriend wa kula nae maisha kama tukiivana tutahamia stage ya juu yake
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Back
Top Bottom