Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu wakuu, natarajia kuwa dar october5 for two weeks. mi si mwenyeji huko yan hata ikitokea natupwa posta jua napotea kabisa!!!!! Natafuta aliye tayari kunipa company yani kunishika...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Mimi ni mwanaume nahitaji mwanamke ambaye ni HIV+ ili tuweze kuishi pamoja kwa muda ambao Mungu atatujalia. Sifa zake: Awe ameajiriwa au kujiajiri, mweupe/maji ya kunde, mrefu...
2 Reactions
56 Replies
5K Views
Mimi huyu hapa
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jina na picha ndo hivo vinadisplay kwa my profile ... Ni mvulana Umri wangu miaka 25 Elimu yangu ni ya wastani, Najishughulisha na ufundi wa sofa, Naish dar Ni mkristo.. Mwenye kuvutiwa nami na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Helo,naitwa Colins nipo dar, umri 28 nipo ktk mahusiano. Nimehitimu chuo (ifm 2011) na kwa sasa ninafanya kazi. Napenda kuogelea(sana) kwenda beach,kusafiri,kutembea,kusaidia na kuona watu wakiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi sijambo kabisa na natumai hata wewe unayesoma haujambo. Najua unajishangaa kusoma bandiko kama hili maana halina kitu chochote cha msingi isipokuwa kukupotezea muda tu. Kwakuwa sitaki uzidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwema?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Assalam aleikum,, mimi ni mtu mzima nina umri wa miaka 45 , ninawatoto wakubwa tulozaa na marehemu mkee wangu, nahitaji mke wenye umri wa 35 mpaka 40 hata kama ana mtoto, kigezo ni dini tu mimi ni...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwanza kabisa binafsi nashindwa kuelewa, mwanzo nilipenda sana kuwa na uhusiano na mwanamke mwenye umbo dogo.ilitokea hata kutumia muda mwingi sana kumtafuta binti mmoja mwenye sifa ambazo mimi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Umri wangu ni miaka 35,ninajua kupenda na kuthamini mapenzi,ni mrefu futi 6,ni mhanga wa mapenzi baada ya kusalitiwa.Ni mstaarabu sana,mpole na mchangamfu,na nina watoto 2,ni muelewa.Kwa sasa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
sifa zangu: mrefu, mweupe, mkatoliki, miaka 28, mwajiriwa. sifa zake: mrefu kiasi, mkatoliki, miaka 18 mpaka 23, msukuma/mchagga na mweupe
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Habari wadau wote jukwani: Hivi Madada zetu wanapenda nn haswa! Unapomtongoza ukiwa huna kitu tegemea mambo mawili: Akukatae kigezo sio type yake ama akikukubali jua nilizima utashare na mtu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
girls, picha hapo juu yajieleza! ningependa kupata mdada mrembo from jf, awe mrefu, mnene kiasi, mpenda mazoezi na asiwe na kitumbo cha chipsi! niko tayari kuanza mahusiano ya kimapenzi na yeye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi ni kijana handsome niko Dar ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi nahitaji mpenzi wa kike ambaye anaye taka mapenzi matamu ya kweli na mwenye mapenzi ya kweli mwenye umri kuanzia miaka 18-32...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
jdjfhhsnvhbdfkljb jggijgugjerg guferfugj9ugrigjirug ghgigur9gorgru ugerugu9rugrg urigjggkojf ugrugrigjorhjifjgir
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Wadau humu jamvini natafuta mchumba mim ni kjana wakiume....natafuta mchumba sibagui dini wala kabla umri miaka 30 had 40...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naamini jamvi hili ni mojawapo ya njia rahisi sana ya kunikutanisha na aina ya mtu nayemtaka Sifa Awe mkristo Umri miaka 25 hadi 28 Mwembamba rangi yeyote ila...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Sifa uwe ni zaidi ya miaka 35, Usiwe mtumia mkorogo, mengine nitakujuza kwa PM, Wahi, kabla hujawahiwa.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi naishi moshi na Mara nyingi hujisikia lonely hasa weekend kwani na kuwa na muda wa zaidi. kama yupo msichana ambaye anahitaji company hasa weekend na yupo moshi au Arusha....napenda aliyepo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…