Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
mim ni msichan nina miaka 25 marafik zangu wa zaman wananiboa cz tumekuwa sio marafik tena tumekuwa ni watu wa kuchunguzan na kuchekana kam mwenzetu akikosea kwenye life something wich is not good...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina miaka 44 natafuta mwanamke wa kuwa mwenza wa maisha na awe tayari kuanzisha familia awe na umri wa kuanzia miaka 40,aliyetayari Pm au tuwasiliane kwa email adres ifuatayo kachelenga@ovi.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mpenzi wangu mdada ambaye ni Lawyer Hapa Jijin Dar tunapendana saana, ispokuwa ananichosha kwa kuzidi misimamo kwa kila jambo ambalo nitashauri lazima yeye atakuwa na mbadala hanipi nafasi...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamaa yangu anatafuta mke wa kuoa. umri uwe miaka 27 na kuendelea ila isizidi 33 maana yeye ana miaka 31 sasa. Awe mkristo(madhehebu ya kipentecoste yatapewa kipaumbele) Awe na elimu isiyozidi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jaman,hiv jf hamna wanawake wanaotaaka kuolewa na kutulia? nahitaji mmoja mwenzenu!!! mwanamke awe na miaka 28 kushuka chin.asizidi umri huo
0 Reactions
9 Replies
3K Views
natafuta mwanamke anipende nimpende sibagui. PM sasa kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
609 Views
Kwanini wanaume wenye hekma na busara mumeoa walio baki masharobaro na waaribifu, wauza unga, wavuta bangi, na tulio taka tusubiri tukomae kwanza, kumbe tulikataa bahati. Niliona ktk movie jamaa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za jioni. Mimi ni binti mwenye miaka 25,niko single, nina degree moja,mwajiriwa katika sekta binafsi, niko maji ya kunde na slim figure, mkristo(rc), independent. Natafuta a realman awe...
4 Reactions
75 Replies
7K Views
Mnaonaje tukifanya Love connect Party? Woote wanaotafuta iwe mwanamke au mwanaume wote pamoja. Siku hiyo mwenye kupata apate, wa kudanganya wadanganyane na at the same time burudani. Kila mtu...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari za asubuhi memberz! Mimi ni miongoni mwa wavulana nilowahi kuweka bandiko langu hapa la kusaka mchumba, walijitokeza mabinti kama wa 3 hivi ila nilichobaini hawakuwa kimapenzi bali...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Wana MMU nilikuwa naomba maneno ya kunasua fumbo ambalo niliambiwa na msichana ambapo nilikuwa namtongoza nakunijibu kuwa "huwa hajisikii kuwa na mvulana" lakni kwa mwonekano anaonekana kuwa ana...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi jamani itakuwa mbaya kama msichana utatangaza nia (kumtongoza) akiwa na marafiki zake, kwa sababu umemuomba mtoke pembeni kidogo akagoma na kukwambia umwambie hapo hapo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Aaaw! me mmh well am a movie geek, a music freak, u know life's too short to waste on being sad and i truly believes dat drims do come tru....and on the other part am an idealist, semi-romantic...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Me ni mwanaume natafuta mchumba wa aina yeyote ila umri kuanzia miaka 18-22 anicheki ani sms PM then ntamjibu
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Muhusika mkuu
0 Reactions
1 Replies
944 Views
wakuu natafuta rafiki wa kike ila asiwe mwafrika coz kila siku nawaona,naitaji mzungu na atakaefanikisha hili zawadi nono itatolewa im so serious and I need girlfriend as I specify,KARIBUNI NA PM...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama wewe ni mwanamke na uko tayari kwa ndoa ni pm.mimi nina miaka 38 nahitaji mke mrefu na awe mkristo asizidi miaka 38 kwa wanaoshi dar tu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji mke wa ndoa niko Dar.Awe ni mrefu mengine yanaongeleka
0 Reactions
1 Replies
1K Views
natafuta mwanamke aliyetayari kwa ndoa mm nina miaka 38.Awe mrefu,mkristo kwa wanaokaa Dar tu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Solved!
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…