Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mjitokezeni basi niko single,am a boy aka baby hapa JF kwa hiyo naweza sema ni bikira wa humu,nichangamkieni basi nina vigezo vifuatavyo 1.Akaunt zangu zinasoma Mil 90(personal) busines inazo...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
jamani nifikishieni ujumbe kwa Smile me nampenda nataka awe mke wangu. ila naogopa kumwambia. huu ndio black
2 Reactions
128 Replies
9K Views
Jamani natafuta mwanamke mstaarabu tuanze mahusiano ya kimapenzi anitafute kwenye email híi jumajerr7@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima kwenu wana Jukwaa Natumaini kwa uwezo wake Mungu wote hatujambo. Kama kuna mgonjwa basi Namuomba Mungu amponye ili tuendeleze ujenzi wa taifa letu. Nami leo Najitokeza katika jukwaa...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mimi ni msichana tayari 32yrs sijawahi kuolewa na sina mtoto. Ninahitaji mume Mkristo tayari kupima VVU pia awe amesoma angalau kidato cha sita, awe ameajiriwa au amejiajiri mwenyewe. Mimi nina...
4 Reactions
162 Replies
14K Views
Natafuta dada wa kunipa company wikiendi inayokuja. Mimi ni mrefu,mweupe,mnene kiasi.kwa mdada aliye interested ani pm au apige namba 0767 681 302.Wale mnaopenda kukatisha watu tamaa tafadhalini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hello! girls....! sijakata katamaa kumtafuta ninaye mtaka licha ugumu wa kazi hii ambayo kimatendo ni rahisi ila kiuhalisia ni ngumu kupita maelezo....! hii ni fursa tena nyingine kumtafuta...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mambo vipi wa dada wote ambao mnaishi ktk jiji la mwanza. Mimi pia naishi ktk jiji hili najitokeza kwenu leo kutafuta mchumba atakae kuwa mke wangu. Aliyesiliazi tuwasiliane kwa namba hii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeikuta mahali nikaona inafaa kushare hapa: A reply from CEO of J.P. Morgan to a pretty girl seeking a rich husband A young and pretty lady posted this... on a popular forum: Title: What...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Siyo kimapenzi ila ni mama anayestahili kuigwa na wasichana wa kitanzania mana ananyoa upara ili kupunguza gharama za maisha siyo kama hawa wanawake wanaotusumbua ati hela ya kwenda saluni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Asanteni wa ukweli na wa masikhara.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
  • Closed
Mi ni mke wa mtu natafuta mme wa mtu wa kunipunguzia stress na kunipa ushaur
1 Reactions
31 Replies
8K Views
Niko serious natafuta mwanamke anayehitaji kuridhishwa kimahaba ili afurahie tendo la ndoa katika maisha yake. Wewe kama mwanamke hujawahi kufurahia unalichukia tendo la ndoa basi usiogope...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kike.Mimi nna miaka 25(mwanaume).Aliye tayari ani pm bac ili tupeane mawasiliano.Asiwe na miaka zaidi ya 25,thanx wanajamii in advance.
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Application zimetosha! Ahsanten kwa mliotuma. Naendelea kuzifanyia kazi.
0 Reactions
89 Replies
9K Views
Mimi kijana wa miaka 33 na handsome wa ukweli kutoka na nilivyo navutiwa na wadada wengi sana, ila nimeamua kuwa na mdada mmoja wa kupeana naye raha ya dunia. Sifa zangu mie nimfanyakazi wa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari zenu? Natafuta mpenzi ambaye atakuwa na mapenzi ya kweli,umri wangu ni 23,mimi ni mwanafunzi wa chuo flani.rangi ni maji ya kunde,urefu kiasi, *sifa za ninayemhitaji awe: Rangi:maji ya...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
MM NI mwajiriwa serikalini umri ni 38 natafuta mke aliyetayari kuishi na mwanaume awe mrefu,mkristo,mnene miaka 25- 38 kwa wanaoishi DAR TU
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Niko dar nina miaka 38 nimeajiriwa ninahitaji mke wa kuoa awe na kazi au mfanyabiashara awe mrefu mengine hayana nafasi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom