Mm nimeajiriwa naishi DAR sifa zote zitatolewa baada ya kuonana na mhusika hamna kutapeliana.lakini awe mfanyabiasha au mwajiriwa,mrefu na awe mkristo umri 20-35 tuma namba yk nitakupigia kwenye...
hiii, am male 27yrs, nahisi kuchoka kuwa mpweke, nahitaji mpenzi wa kuanza maisha
naomba aliye serious ani PM au unitumie mail kupitia emmanuelvitalis@tanzaniamail.com,
napenda mdada anayejielewa...
Ndugu zangu me mgeni kwenye hii forum,mimi cku zote nilikuwa nnafungua jf nnasoma post bila ya kuwa member hla nnashukuru sasa ni member na bila kuchelewa nimeona nifikishe shida yangu kwenu km...
Kila siku ni wachumba wanatafutwa sasa mimi nimeamua nitoke hivi. Nimekuja kivingine leo Natafuta madada wa hiari. Miaka yao angalau iwe 30-40. Sifa nitakupa PM utakapoonesha nia.
Kama uko tayari...
Hili ni tatizo linalonikabiri miaka mitatu sasa kila mwanaume anayenitongoza ni mdogo Kwangju,
Nina miaka 35,na nahitaji mwenza wa kudumu,nimezunguka vya kutosha,sasa nahitaji kusettle,
Msaada...
mimi nikijana mwenye umri wa miaka23 bado damu inachemka nahitaji demu mjanja mwenye umri kuanzia miaka18 mpaka23 anipe mapenzi ya kweli ambayo sijawahi kupewa na mwisho wa siku ntamuheshimu na...
Je, wewe ni binti unayependa kuwa na maisha ya familia yanayompendeza Mungu? Una elimu ya kidato cha nne na kuendelea? Ni mrembo? n,k. Basi njoo tusemezane. Mm ni mwanaume mwenye elimu ya chuo...
Mdogo wangu anaumri wa miaka 30 anahitaji mwanamke wa kuoa.
Yeye yupo kijijini, hajasoma, mkulima, mfugaji na mfanya biashara.
Kabila lake ni msukuma.
Mahali itatolewa idadi ya ng`ombe 20 wa...
wanaume wa siku hizi si wote but kuna baadhi yao hovyoo sana,wao wanajua kutongoza tuu halaf hajui hata huyo anaemtongoza anahudumiwaje,wao kaz yao ni kuomba pesa tuu hawajui kutafuta,wanajua...
Habari zenu wanajamii.
Jamani maisha ni safari ndefu na inahitaji uvumilivu na ujasiri. Nimetumia ujasiri wangu kwa kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama...
Mambo,
mm ni kijana wa miaka 31,natafuta msichana wa kuliwazana maana girl friend wangu yuko mbali,so nakuwa a lone muda mwingi ila asiwe m2 wa kuja kupigana mzinga au lengo la kuolewa,natafuta...