Mimi ni Kijana Mtanzania,Natafuta rafiki wa kike na niko serious,awe mkweli,mchapakazi,mwaminifu elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri wake uwe kuanzia miaka 22 hadi 35,awe anaishi Dar...
Nina miaka 27.
Kwa sasa naishi mtwara na ndo ninakofanya kazi,hivi karibuni natarajia kuamia kibaha.
Nimewahi kuishi na familia mbili za kizaramo katika nyakati tofauti na kusema ukweli...
HELLO TANZANIAN WOMEN
MIMI
NAHITAJI MWANAMKE WA KITANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 25-30 ILI AWE MKE WANGU, NINA MIAKA 33,...NAISHI DODOMA. MWANAMKE MREFU ASIE MNENE SANA, MWENYE KAZI AU BIASHARA...
Hodi jamvini!mimi ni mkaka ninayeishi tanzania kanda ya ziwa natafuta mrembo mwenye sifa zifuatazo ambaye nayeweza kuwa naye maishani.Mcha mungu,mwenye elimu ya kawaida ,mwenye uelewa na ufahamu...
Asha, Mariam na Jenny ni wadada hapa kazini maeneo flani katikati ya Jiji hili la karaha (Bongo Dar-Es-Salaam).
Asha yuko risk management department,Mariam yupo Operations na Jenny nipo nae...
I'm putting out a world wide web bulletin to get everyone's help. You see, I've lost my smile. I'm not really myself without it. I have a couple leads that give me hope that it may have been...
Habari wana Jf,
Mi ni kijana wa kiume miaka 27,mkiristu,mrefu,naishi Dodoma!Nahitaji msichana ambaye atakuwa mpenz wangu wa moyo na baadae tutaishi wote na kujenga familia yenye furaha na...
KWA WA DADA WANAO DHAMINI MAHUSIANO...
UNA ZAIDI YA MIAKA 26, UMESOMA VIZURI, UKO PRESENTABLE (BEAUTY), USIWE MTU WA CLUB, UNAMUAMINI MUNGU NA MWISHO- UNAISHI ARUSHA?
KWA SASA MIMI NAISHI...
Nimekuwa nikisoma huku JF kwamba kuna watu walioweza hata kupata wenzi wa maisha yao, nami nimeona ni vema kutumia nafasi hii pia katika mchakato huo.
Mimi ni kijana mwenye miaka 33 amabaye niko...
Mimi ni kijana wa kiume. Natafuta mchumba. Umri wangu ni miaka 30. awe msikivu kwangu. Awe na umri kati ya miaka 20 hadi 40. Kama uko tayari niibox fasta
Nina miaka 29, ni muajiriwa wa shirika flani hivi hapa dsm, si mnene sana, ni mrefu, maji ya kunde, ninapenda maendeleo.
Natafuta bint btn 23-27 ikimpendeza Mungu aje kuwa mke, napenda mtu mwenye...
Kupitia mtandao wetu huu wa jamiiforum, nimefanikiwa kupata mchumba mwenye sifa zote nilizokuwa nahitaji. Ila mimi niko mbali na yeye anakoishi namaanisha mikoa tofaut, halafu isitoshe mimi niko...
Hellow lady who reading this
im 23yrs, nice looking,brown skin,medium body size,honest and understanding men..i'm really passionate men,i love childrens and my best skill n interest,is...