Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
M ni mvulana na taka msichana aliye ready for a serious relationship ani pm awe wyf material an not cash oriented for mr info chc m bt awe btwn 20-25
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hi everyone, :flypig: Iam serious looking for a serious woman aged between 20-26,graduate, self employed or an employee of any entity, well experienced in relationships (especially those...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hi wana jf, Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi...
2 Reactions
53 Replies
9K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26,kabila Mnyamwezi,Elimu ya chuo(sayansi ya siasa) ni mfanya biashara mdogo na mmiliki wa Youth Network Development Investment iliyopo Mkuranga mkoa wa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Jina naitwa Jumanne Mfaume.Ni mwanafunzi katika Chuo kikuu cha Tumaini NATAFUTA mchumba sibagui dini wala kabila.awe na umri kati ya 18-21 awe anasoma au hasomi.kwa mawasiliano:cheer2:0715-585402...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Nonoo
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hurry up Inbox mi and We make deal U must hav diploma or degreeee, then u take care my baby!!!!!! NB i don need marriage 4 oll my life I am Aging at 30
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Nahic kufikia robo ya malengo yangu nilojiwekea,ninaelim ya chuo!umri 30!nimeajiriwa shirika binafsi pia ni mjasilia mali!nilisha wahi kupata mkasa wa mapenz nikaumia sana!kwa kifupi nilimsomesha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu, mimi ni mdada age yangu 30-33 nina tafuta mume mwenye age 34-45 asiye oa, asiye na mtoto zaidi ya mmoja, sijaolewa, sina mtoto, nina elimu ya chuo, nimeajiriwa. Mume mtarajiwa awe ana...
4 Reactions
31 Replies
6K Views
nina miaka 48 mwanaume,kwa anayeamini kwamba mapenzi kati ya mume na mke ni ushirikiano na kushare si mambo ya mapenzi kuwa mtaji kama huna hela sina penzi,nishaumizwa baada ya kupata mitihani ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nirudie kupost mada hii. Ni kweli natafuta mchumba wa kike. awe na sifa hizi: Umri: miaka 19-24 kabila:mkurya/mjaluo dini: mkiristo kazi: akiwa mwalimu itapendeza sana(mwalimu shule ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
JF members, najua wengi wetu tupo single humu kama vipi tuwasiliane jamani..
0 Reactions
43 Replies
4K Views
mimi ni kijana wa miaka 24 natafuta mpenzi wa kuwa nae ikiwezekana hawe mke baadae especial hawe muslim, elimu yake iwe ya kawaida, hawe na umri wa miaka 18 hadi 23 anaye jua mapenz ni nini, am...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nafuatilia post nyingi sana humu kwenye haka ka sub forum ka MMU. Nimegundua kitu, post nyingi zinazotolewa na wasichana/wanawake kutafuta wapenzi/wachumba au waume zimekuwa zinapata...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Umri wangu miaka 22(male), umbo langu wastani,urefu fut 5.7, bado nasoma college, Nahitaji mpenz(female) awe mweupe au maji ya kunde,slim,not more than 5.7 fut tall,and mostly aliyechoka kutendwa...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Mlianza kufanya mapenzi siku ngapi baada ya kuwa wapenzi? Siku Wiki Mwezi Mwaka
0 Reactions
23 Replies
4K Views
jamani mimi natafuta rafiki wa kipiga naye habari awe msichana na asiwe na miaka zaidi ya 20 mawasiliano ni +255764936964 au EMAIL yoseanthony@yahoo.com
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom