Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
nimechoka kuishi mpweke na kazi zangu za kukaa kwemye computer nakosa muda wa kutafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu,nimeamua kujaribu bahati yangu apa kama naweza pata mchumba awe binti,umri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mchumba Anatafutwa
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Mariage is a pinacle of all dating and relationships..so natafuta mdada mswetee mzuri wa kudate size ya kati ila awe na akili sana if m bn specfic awe mini genius ,awe master of manipulation,awe...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Jamani napenda kutowa shukrani zangu zote kwa JF na wadau wake wote kwani nilikuwa natafuta MKE nashukuru nimempata,JF ipo juu na wadau wote tupo juu.
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Natafuta mdada mwenye msimamo na kujua nini maisha, naoa kabisa, Elimu yangu darasa la pili nilifukuzwa shule baada ya kumtongoza mwalimu, nikaanza kubeba zege mpaka nikapata mtaji na sasa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Serious nahtaj mwanamke aliye serious; tukikubaliana basi tuingie kwenye hatua nyingine. Am 32 years, nna elimu ya chuo kikuu na ni mwajiriwa. Nahtaj mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 22-30...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
sifa zake umri wowote awe na hela za kutosha na maisha mazuri.gari ,nyumba.familia bora nk ndoa tutafunga ndani ya wiki moja awe HIV NEGATIVE NAOGOPA UKIMWI KULIKO CHOCHOTE dini yoyote sifa...
2 Reactions
74 Replies
7K Views
......
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kweli, wa kuwa nao katika shida na raha maana dunia bila marafiki haijakamilika
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,naishi dar-es-salaam.umefika muda muafaka wa mimi kuwa na mtu wa kutengeneza naye future yetu,lakini awe na sifa zifuatazo awe na umri kati ya miaka 18-20...
0 Reactions
2 Replies
960 Views
Mimi ni msichana nina miaka 26 natafuta mchumba ili tuje tuoane. Mimi ni mkristo . Awe na miaka kuanzia 27 na kuendelea. Kwa aliyetayari contact email to mligolucy@ymail.com
1 Reactions
9 Replies
2K Views
poleni na shughuli za kila siku,jaman mpenzi wangu alipotea kimawasiliano karibu miezi miwil,hapigi wala kupokea cm au kujibu sms,karud juz anadai ye ni mzito kutumia simu!!! Kwakweli nashndwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi Naitwa Hussein. Natafuta mchumba muislam, Mcha Mungu, umri 23-26, elimu ya chuo, mcheshi, asiye na makuu, asiwe mnene sana. Umri wangu 28, muajiriwa, graduate, mrefu kiasi, si mnene...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Naitwa Sean umri miaka 27,mvulana ninaishi Dar es salaam. Natafuta marafiki,mmi nimemeliza chuo pale IFM sasa nipo kazini. Ninaongea Kiswahili,kingereza na kifaransa kidogo sana. Pls nitumie msg...
0 Reactions
3 Replies
947 Views
Salamu wadau natumaini wote mu wazima mimi ni mtanzania naishi na kufanya kazi Moshi, Kilimanjaro, nina miaka 37 sasa, mke ninayemtaka awe mkristu mwenye kujiheshimu. E-mail yangu ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
natafuta mchumba{mwanamke) mwenye umri wa miaka 18-23,awe mwislamu,rangi yoyote,umbile lolote,,,,mimi nina miaka 25,mweuc,mwembamba,mrefu-ila bado nipo masomoni chuo kikuu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Any interested woman for this weekend out for fun, pm me now..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom