Habar ndugu wanabodi. Mimi ni kijana wa kiume. Ninaishi arusha. (Kazi) mimi ni mjasiriamali kwa maana ya kujiajiri mwenyewe. Nilizaliwa miaka (25) iliyopita. Kusudio langu hapa natangaza nia ya...
Miaka 35 mpaka 40.
Elimu kuanzia form six na kuendelea.
Awe mfanya kazi au mfanya biashara halali.
Awe mkristo.
Anayejiamini kuwa yeye ni kichwa cha familia na mchapa kazi.
Mimi nina...
Habari wana JF, mimi nimwanamke, ninatafuta mchumba kuanzia miaka 36 mpaka 45, awe mcha Mungu, mwenye elimu ya chuo. Jamani nipo serious kwa hili swala. Natanguliza shukrani.
Dini yangu ni...
Mimi natafuta rafiki wa mawasiliano pamoja na kubadilishana mawazo popote walipo jinsi yoyote wote nawapenda by ngapu zenj. email.hii kassimyussuf@gmail.com na facebook hii...
Tumeanzisha Facebook Page yenye lengo la kuwapatia Watanzania popote pale walipo, fursa ya kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote.
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha utakuwa...
wana jf nipo seliosly natafuta mcumba wa kuoa na kuanzisha maisha na mimi
sifa zang:mnene kiasi kabila muhehe.umri wang ni miak25
sifa za anae tafutw:
mweupe kiasi si wakujichubua.mwembamba...
Mimi nina miaka 26 nina degree yangu na nafanya kazi katika shirika moja la kimataifa huku kanda ya ziwa. Natafuta msichana mrembo wa haja mwembamba. My take hata mm ni mzuri so jitahidi uwe...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani.
3. Mwenye degree elimu kuanzia form...
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
Namhitaji 'Mwanamke' ambae anajitambua. Kuhusu future yetu, itakuwa ni mimi na yeye kujadili na kupanga how to go about it! Age is nothing but number! Muhimu awe 'anaejitambua' please ni PM!
Kwa muda nimekuwa katika uzi huu na kugundua kuwa ni sehemu ambayo inapitwa na watu wenye upeo mzuri juu ya maisha ya kila siku. Mimi ni mwanaume lijari ambaye nina mke na watoto wawili, nimepata...
Hlw,nipo Dar ninafanya kazi ktk organization inayodeal na women empowerment,nimemaliza chuo pale ifm nina degree ya banking and finance na ni mwanaume aged 27. Natafuta marafiki. Nitumie...
Habari za hapa wana jamii?jamani wanajamii wenzangu,mm kwa muda mrefu natafuta mke kupitia hapa jamii lakini imekuwa kasheshe kubwa kwangu,kila mwanamke ninaekutana nae,anataka niwe na mjengo na...
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.