Natafuta mchumba ambae within maximum 6months atakua mke wangu baada ya kufunga ndoa kwa harusi safi. Sifa; awe mweupe, mrefu, asiwe mnene na mwembamba sana, elim atleast form six au chuo, awe...
HABARI WANA JF!
MIMI NI KIJANA WA KIUME UMRI 28,NATAFUTA GIRLFRIEND MTOTO WA GATE KALI MAMBO SAFI UMRI 18-25,ELIMU KUANZIA KIDATO CHA NNE CHENYE UFAULU NA KUENDELEA ,SIBAGUI RANGI,DINI WALA...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani.
3. Mwenye degree elimu kuanzia form...
God created the world in seven days ,It has been almost 25yrs now since i was brought to life by my sweet sugar mother.I`m always fascinated by the hidden mysteries of life and the purpose of life...
hello wana jamiiforum..mimi ni kijana wa miaka 28..nina elimu ya chuo kikuu...ni mkiristu...ni mrefu..rangi somehow black.
natafuta rafiki wa kike ili baadae Mungu akipenda awe mke wangu....umri...
Wa kuspend naye Tarehe 25/11/2012 mahali Bagamoyo kaole na fukwe za beach, mwingine tarehe 30/12/2012 mahali beach yeyote ya kigamboni tutakayo amua. 18/12/212 Mikumi national Pack na Tarehe...
Ndugu wana JF.
Naamini njia pekee ya kumpata mke/mme mwema ni kumshirikisha Mungu. Lakini imani lazima iendane na vitendo . i.e. lazima mtafutaji achukue jitihada za lazima kumtafuta huyo...
Independent, beautiful, light skin and decent lady age 20-40, at least a degree. I'm NOT up for marriage and children. PM only for the interested. Thanks.
Tumeanzisha Facebook Page yenye lengo la kuwapatia Watanzania popote pale walipo, fursa ya kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote.
Cha kufanya, like Page yetu hapa kisha...
Habari zenu wana JF.
Jamani maisha ni safari ndefu na yanahitaji ustaamilivu na ujasiri. Napenda kuchukua fursa hii kwa mara ya kwanza kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae...
Wana jamvi habari zenu...?
nilikuwa natafuta rafiki wa kike nashukuru nimepata sasa natafuta ndugu wapya wa hiari maana ukoo wangu una watu wachache sanaa mpaka nakosa raha....!!! kama huko...
this is only for single ladies aged 20-25years, non-smoker, non-alcoholic, no kid not even attempted abortion, college level or more, independent, self motivated and faithful.
On my side, 26years...
Habari wana JF.mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34,elimu ya kidato cha sita,mkulima na mfugaji,maji ya kunde,mrefu,mkristo,mwelewa na mnyenyekevu,mpole,mpenda maendeleo kihalali.
Msichana...
Nahitaji kuanzisha uhusiano wa kirafiki na mwanamke muislam umri usizidi 35 yrs,wagumba watapewa kipaumbele maana jamii inawaonea. Mengine negotiable, mawasilaiano ni kwa PM tu, na zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.