Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta binti mchangamfu,mwenye upendo wa kweli..dini na kabila lolote...umri usizidi miaka 35..rangi yoyote mnene wa wastani.Kama una sifa hizi tafadhali ni inbox tufanye mawasiliano
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mwanamke wa kuwa mpenzi wangu. Awe wa dini yeyote, umri haujalishi. Sijali kama atakuwa na mapenzi ya kweli au la. Kama ni mke wa mtu niko tayari kumuoa iwapo mumewe ataugundua...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Baada ya kukosa nilichohitaji sasa narudi kwa mwendo wa flirting partner.PM only mambo ya kuombana namba za simu akha.Umri tu ndio kigezo muhimu.Awe mtu mzima 40+ years.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kama unahusika ni PM.....sina ubaguzi wa aina yyte
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hellow waTz nataka mchumba mzuri atakaye nifaa, but hawa mabint nimeshindwa kuwaelewa kwani ina semekana kwamba wao huwa hawapendi bali hufunzwa kupenda na wanaume wanao wataka ,kama ni hivyo je...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Sifa zangu -nina rangi ya maji ya kunde -mrefu kiasi Sifa zake -asiye zidi miaka 24 -dini yoyote -rangi yoyote Kwa aliye tayari ani pm au 0785308076
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Natafuta girlfriend awe na miaka kati ya 18 na 23 kwa yoyote aliye tayar ani PM SIFA ZANGU ni mrefu wa kawaida nina rangi ya maji ya kunde si mnene wala si mwembamba ni wakawaida
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend. Atakaye nipenda kwa dhati hatimaye tuje kuwa mke na mume,awe ameajiriwa,asiwe na mtoto wala aliyewahi kuoa,awe na hofu na...
3 Reactions
88 Replies
12K Views
Tabia nikitu cha kwanza, Mcha MUNGU Mpenda maendeleo mwenye kukubaliana na maisha yaaina yote. M REFU KIDOGO Rangi haijarishi sana dini mkirsto hasa msabato itakiwa poa sana T UWASILIANE LWA NAMBA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 29 natafuta msichana mwenye sifa zifuatazo Awe mcha MUNGU mkirsto hasa msabato itakuwa vizuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari za leo wa jf ? anae tafuta hachoki bali hupumzika tu, leo naamua niendelee na zowezi la usaili umri wangu ni 35 jisia mme nina watoto 2. elimu ataijuwa badae, rangi yangu mweusi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenyu wanajamvi. Kusema kweli hili jukwaa na Love Connect binafsi naliheshimu mno,naamini litasuluhisha hitaji la mtima wange. Ni Siku nyingi nimekuwa nahitaji kufunguka nami nimpate...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo: 1. awe muislam 2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi 3. Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Habari , Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu, awe muislam, mkweli, mwaminifu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi ni Me. Natafuta rafiki wa kike wa kuchat nae if possible, we hangout together, anybody interested, drop me a PM. Age limit (18~25).
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Habari , Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu au form six, awe muislam, mkweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hallo jf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 naishi mwanza natafuta binti wa kuoa mwenye sifa hizi mrefu wastani,maji ya kunde,asiwe mnene sana,mcha mungu.na awe anafanya kazi.kama yupo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
NYOTA YA PUNDA NA MIZANI Mpate mpenzi siku ya Ijumaa kwenye sherehe za ngoma saa 3 au saa 9, vaa nguo rangi mbili juu nyekundu chini njano. Mshike mkono mara kwa mara, hakikisha mnakula kabla ya...
0 Reactions
5 Replies
33K Views
Back
Top Bottom