Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25 natafuta mpenzi wa kumuoa kwa baadae kama atakuwa na tabia nzuri kam upo tayari piga namba 0656179600 jua kuwa namaanisha. maana niliwahi kuandika lakini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari zenu wanajamvi. Mimi ni binti wa kike, ambaye moyo wangu u mpweke. kwamara ya kwanza najitokeza jamvini kumtafuta rafiki wa kiume mwenye nia ya dhati ya kuwa na mahusiano ambayo yatalenga...
4 Reactions
69 Replies
6K Views
habarini wanajf mimi ni mkaka nna shida na mdada yeyote ambae amechaguliwa pale chuoni nna mambo mazuri na ya heshima nataka anisaidie. naomba tuwasiliane kwa email, nkwilehii@gmail.com au namba...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana jf wa Kahama mimekua hapa Kahama kwa mda wa mwaka mmoja sasa lakini sijapata mtu wa kuhusiana nae mahusiano ya dhati hivyo kama kuna mtu yuko interested naomba ani PM. Mie ni mwanamme mwenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina miaka 43,natafuta mwanamke anaeitaji mume na ambae yuko tayari kuolewa,sitaki vijana ni waongo sana wengi wana malengo binafsi,natafuta mwanamke kuanzia miaka 40 na kuendelea,kama unaitaji...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
natafuta rafiki wa kike awe mchesh na asiwe mkaid kuelewa awe na umri kat ya miaka 22 na kuendelea awe anapenda sana michezo km basketball na km upo tayari piga 0785821851
0 Reactions
1 Replies
765 Views
SALUT wana JF. Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye maadil mema, ila tatizo siwezi kutongoza. Nkimkaribia mwanamke huwa natetemeka na nakosa cha kusema. umri unaenda na uzee unakaribia. Natafuta...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hivi ni kwa nn Madada zetu ama Mabinti wameingiwa na kasumba ya kutojikubali maumbile yao nakukimbilia kuyaongeza? Unafikiri ni kwani wanafanya hivyo? Katika utafiti wangu wa maoni: Kuna baadhi...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Eti nimetafuta mpenzi apa Jf moja kati ya sifa nilitaka awe single kuna jamaa akansema kumpata single ktk dunia hii labda usubirie anaezaliwa leo! Kama ndo hvyo basi tubanane umo umo kwa wake za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wanajamii mimi ninarafiki yangu ambaye ni mwathirika wa HIV anatafuta mchumba wa kumuoa mwenyetatizo kama lake yeye anafanya kazi inayomwingizia kipato kiasi na ni msomi, so sad co hakupenda kuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
mimi ni naitwa mussa wa arusha. narudia tena kenye janvi hili natafuta mchumba ambaye atayekuwa mke wangu. akiwa mikoa hii dar es saalam, arusha, kilimanjaro, singida, manyara na tanga itakuwavizu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kuolewa,niwe na familia yangu nitulie kwangu lakin kila anaejitokeza anakuwa tayari ana mtu mwingine kitu ambacho mi sitaki,yaan nawaza mpaka ht nashindwa nifanyeje manake umri nao km...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
uwe mkubwa futi kumi na mbili kwa kumi na tato utoshe kuweka kitanda changu cha sita kwa sita maeneo ya sinza kodi iwe bei rahisi kidogo na umeme na maji viwe vya uhakika
0 Reactions
25 Replies
3K Views
seeking 4 a commited girl should be born again christian, of 18 to 20 years taking or has diploma or degree of any business courses preferably from Dar es salaam colleges
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Mi naitwa MUSSA wa ARUSHA, naitaji mwanamke ambaye yuko sirious anayeitaji kuolewa na ambaye anaishi arusha ili tuweze kuonana kwa urahisi SIFA ZANGU ELIMU: chuo kikuu KAZI : nimeajiriwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Yan unakutana na mdada unavutiwa nae unapenda awe rafiki yako. Unamwaga sumu zako. Kabla hata hajalainika vizuri anaanza kutaja shida alizonazo.. Mara ooh sijala.. Kodi imeisha natakiwa nilipe...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
mi nimsichana natafuta mwanaume mwenye msimamo kwenye maisha awe mwaminifu mwenye kujali na kunipenda kwa dhat, awe mweupe au maji ya kunde si mrefu sana na awe anafanya kazi inayomwingizia kipato...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Salam! natafuta mke wa kuoa, awe mnene,hata akiwa na mtoto mmoja sio mbaya, umri usipungue miaka 30 kwenda juu ,mkristu, mimi nina miaka 36 kwa sasa, nina mtoto mmoja wa kiume, nafanya kazi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 sasa natafta rafiki wa kike awe miaka kuanzia 20 hadi 24 awe mcha mungu,asiwe mrefu sana,
0 Reactions
2 Replies
2K Views
AjHVbjbdgdhdbnbdjbdgbd Jdhuuduhdj
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Back
Top Bottom