Kama wewe ni binti, nakualika tuongee kupitia Skype, Google talk, mie ni mwanaume, nipm kwa ajili ya kubadilishana usernames. Mazungumzo yote na uwezekano wa kuanzisha uhusiano wa aina yoyote au...
Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam, mpole na mwenye kujiheshimu...
haipiti siku humu ndani lazima aje mtu
kutafuta mchumba humu ndani.....all in all
ni jambo zuri kama huyo mtu yuko serious....
sasa kinachonishangaza ni kuwa huwa hatusikiiii
chochote kile...
Habari zenu wanajf.
mimi ni mschana,nina elimu ya degree, ni mkristo, natafuta mchumba mkristo asizidi miaka 33.
Naomba sana unitumie sms, usipige simu tafadhali maana nipo kazini muda wote. Sms...
Am Johnson, nina miaka 32, elimu ya chuo kikuu,ni mwajiriwa.
Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Elimu; kuanzia kidato cha nne
2. Mwonekano; asiwe mwembamba sana, mfupi sana, wala mrefu...
Mm ni mscana wa miaka 25.graduate,mrefu,shape ya kiafrika,nabia nzuri.natafuta mchumba kuanzia miako 29 -40.awe mchristo,mrefu,.mwenye mapenzi ya kweli.mengine tutaongea
natafuta rafiki (strictly platonic) wa kwenda nae gym na kupiga stori za kawaida wakati wa jioni. vigezo
awe na usafiri binafsi
awe wa eneo lolote dar es salaam
ajilipie membership mwenyewe
tuma...
Jamani salama!
Nilikua na mpenzi niliempata facebook lakini yuko nje ya TZ, nikapata mwengin wa twittr ambye alikua celebrity toka Niger xo 2kashndwana.
Nimeona nitafute kutoka hapa jf labda...
Natafuta msichana wa kumuoa umri kuanzia miaka 20-22 elimu form 4 awe anaupenda na anaufahamu mkoa wa kilimanjaro when you want to marry me please tuwasiliane email amedeusmushi88@gmail.com
if you can only open your eyes you will find a good man or woman is sitting all along infront of you waiting for you to say a word. Mke au Mume mwema atoka kwa Mungu if you just blive and have...
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ni mtumishi wa serikali ninaelimu ya chuo kikuu ninatafuta mchumba wa kike awe na umri kati ya miaka 20 had 27 awe mcha mungu awe na elimu ya kdt cha 4 na...
Ndugu wanaJF naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi kwa kile kinachonisibu, mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba na hatimaye awe mke wa kuoa therefore kwa yeyote yule aliye tayari tuwasiliane...
Ni kweli hakunaga darasa la mapenzi
na experience ya penzi inatofautiana, mimi nataka kuaccumulate love experience
so i welcome women to enjoy luv with me and share the experience.
Ni muhimu huyo...
Anatafutwa mchumba mwanamume mtu mzima, kwa maana ya maturity. mtafutaji ni dada yangu ni mjane mkristo ana umri wa miaka 55 na watoto wawili. Ni mkulima mjasiriamali. Ni mcheshi na mcha Mungu...
mimi idukilo natafuta mchumba wa kuowa ,awe na sifa zifuatazo
1) mmcha mungu
2) awe na elimu kuanzia kidato cha nne
3) awe na urefu usizidi 165cm
4) asiwe mnene sana au mwembamba sana,awe size ya...
seriously, natamani kuwa na mtu anipendae nami nimpende tusogeze maisha. Am 32 By age nina one kid. any who is above my age ur invited mie ni mkristo mwenye mtoto utapewa kipaumbele. Kwa wale...
Hi
Jamani mi natafuta binti just for pleasure labda mambo mengine baadae
alie tayari ani pm
tuwasiliane lakini asizidi 27years
looking forward for ur response.
Mimi niko wastani tu.
MIMI NIKIJANA WA KITANZANIA, NAJITOKEZA KUTAFUTA MWANAMKE AMBAYE ATAKUWA MKE WANG WA BAADAE
SIFA ZANGU
1. ELIMU : CHUO KIKUU
2. KAZI : NIMEAJIRIWA SERIKALINI
3. UMRI : 29YR
4. UMBO : MWILI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.