Mimi naitwa Amos,nina miaka 26,nahitaji msichana mwenye mapenzi ya dhati na mwenye hofu ya Mungu,ambaye tutakuwa wapenzi na Baadae tutaingia katika ndoa!!awe mrefu wa kati,umri 22 - 24,elimu...
Habari! mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 26, dini ni muislamu, elimu Shahada (degree), ni muajiriwa. Nimeoona ni muda muafaka wa kumtafuta mwenzangu nitakayepanga nae maisha. awe na...
Natafuta rafiki wa kawaida wa kike mwenye umri kati ya miaka 24-29,dini haijalishi,awe intellectual yaani mwana elimu:aweza kuwa amehitimu masomo au bado yupo masomoni,ila elimu isiwe chini ya...
Salaaaaaaam!
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwenu,kwa kazi nzuri ya
kuweza kuweka jukwaa la wapendanao,hatimae na mimi nimempata
mpenzi wa moyo kwa sifa zilezile nilizotoa!
Pia nawashukuru...
Naitwa Hamisi,kijana wa kitanzania miaka 29,elimu yangu ni diploma,ni mfanyabiasha nahitaji mdada kwa ajili ya kua mke wangu napenda mdada anaependa maendeleo siyo wakutaka mashindano ya nguo...
I'm 26yrs old male,persuing a bachelor degree in one of the Universities in dar.I need a girlfriend with a significant understanding capacity, who can confidently argue intelligently, with...
mimi ni baylss ni mwanaume na nina umri wa miaka 19, ni mrefu maji ya kunde.
Hobbie yangu napenda basketball. Ni Mtanzania na hometown yangu ni mwanza.
napenda mpenz mwenye real love umri wowote...
Leo nataka nihusike na wale wanaosema kuwa wanatafuta wachumba waliookoka. Ili update mchumba aliyeokoka, ana kuokoka wewe kwanza. Huyo mchumba aliyeokoka atakubarika badaye. Mpokee yesu na...
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa:
1.Mkristu.
2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Usiwe ushatowa mimba .
3. Uwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4...
jina langu Zubedayo Mchuzi.
Kabila langu Msukuma
Rangi Mweupe
Body Si Mnene wala Si mwembamba/ mwili wa Mazoezi.
NATAFUTA-MCHUMBA
NATAFUTA-Natafuta binti wa kitanga (18-26) aliezaliwa na...
Habari zenu wakuu,
Mie ni mdada natafuta Mwanaume mwenye sifa hizo hapo chin km tukiafikiana tufunge ndoa,
sifa zake;
Aliye single,Mkristu,umri miaka 32-40,mwenye kazi ya kueleweka au...
Mimi ni kijana wa miaka 25 nimemaliza chuo mwaka jana.. natafuta jimama au demu anayeweza kunitunza kwani mpaka sasa sijapata kazi na sina cha kufanya hapa mjini zaidi ya kushinda humu JF na...
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, nimemaliza chuo na ninafanya kazi na huwa sipendi kujikweza kwa watu, Nimetafuta sana mchumba ili kama tutaendana tufanye maisha pamoja lakini cha ajabu...