Kama wewe ni mwanaume huna haja ya kusoma post hii maana kuna neno 'girl' hapo juu!
Salaamu wadada wazuri wa JF, natafuta binti mzuri wa kitanzania mwenye maadili mema na aliyetulia ,hata kama...
MIMI ni member mpya wa jamii forum kwa hiyo natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya urafiki wa kawaida na pia awe anasoma chuo kikuu ili tubadilishane mawazo kuhusu masuala ya elimu.
nafatuta mwanaume aliye mpweke awe na watoto wasiozidi wawili
umri usizidi miaka mitano
awe HIV-NEGATIVE
MIMI NINA UPENDO WA KWELI
NINA MIAKA 32
MAWASILIANO EMAIL AMINSENGA@YAHOO.COM
KAMA...
Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni...
JAMANI NATAFUTA KABINTI KAZURI KOKOTE KANAKOSOMA CHUO KIKUU MZUMBE,KWA MAHUSIANO SERIOUS KABISA KABISA NAMI NIKO HAPA MZUMBE KWA SANA.NICHECK AT kulwatz@gmail.com
Jaman kila post nnayoangalia naona ni male anatafuta female,post chache sana za females wanatafuta male
Haya sasa nawadirect nendeni mwakilaga.blogspot.com huko ndo mtakuta females wanatafuta...
Natafuta msichana alye chuo mwaka wa kwanza ambae tutakua wapenzi daima,umri 19-22yrz,kawe keupe,kanene kiasi,karefu kimtindo,macho mazuri,nywele ndefu,kawe kakristo,kawe kasafi ka mwili na...
mm ni kijana mwenye umri wa miaka 24,na nimemaliza chuo mwaka huu..!natafuta binti wa kuchat naye awe na elimu yoyote,rangi yoyote,mnene kiasi,urefu wa wastani na awe mcheshi..!kama yupo...
Wapendwa akina dada wa Jf na wana MMU ( LOVE Connect), poleni na pilika za hapa na pale.
Mimi najitokeza hapa kwa lengo la kutafuta mchumba (binti ambaye yupo very serious) mwenye nia thabiti...
Habari zenyu jf natafuta mchumba ambaye atakuwa my wife baadaye tafadhali ni pm kama uko tiyari Nb:asiwe mwenye mtoto ama kuachika awe mkiristu umri 20