Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Jaman mlio kwisha tafta wachumba hapa naombeni data. Hv hao wachumba wanapatikana kweli au ndo changa la macho? Ntashukuru kma ntapata mifano hai.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Dear East African Smart and Beautiful Girls, I am a man looking for a serious and commited girl for a serious relationship that will eventually grow to fiancee and later a wife - that is the...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai. Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili. Nina umri wa miaka 28 na nina...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
WAPENDWA AKINA DADA WA JF, Najitokeza mbele ya jukwaa hili kuu kuelezeaaa nia yangu ya dhati ya kutafuta mchumba ambaye baada ya kuwasiliana naye na kukubaliana vema basi tufunge ndoa na...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Wakuu msaada kwy subject hapo juu! Natafuta mchumba wa kike,mwenye mvuto,mpole,intelligent but not on capitalization side,down to earth,young and elegant,mkristu pia awe amefunga kwaresma kama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo 1. awe muislamu 2. awe mchamuungu 3. awe anapenda watu wangu 4. asiwe mpenda makuu 5. awe msikivu nipatikana kwa anuani hii kwa maelezo ya ziada...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimetoka Jukwaa la Siasa huko, yaani linafuka moshi kuhusu vuguvugu la kuvunja Muungano, baada ya kutafakuri kwa kina nikaona bora mie nichukue hatua za kuuimarisha huu Muungano badala ya kuuvunja...
0 Reactions
61 Replies
7K Views
Yeye anajiita "Non-Celebrity" akiwa na maana kuwa yeye sio mtu maarufu. Ameniomba nimuwekee hadharani nia yake ya kutafuta mchumba katika jamvi la WanaJF. Kwa kifupi amesema yeye anafanya kazi...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Ndugu zanguni mimi ni kijana wa kibongo miaka 30, mbantu halisi na mkrisitu. Natafuta mchumba. Sifa: awe mwarabu au Mhindi na pia awe mcha Mungu mkristu. Umri kati ya 20-25. Maisha ni majaliwa...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Naitwa Jef umri miaka 31( jinsia:mwanaume)natafuta mchumba umri miaka 23-31,sibagui dini,kabila,rangi,umbo wala elimu.mawasiliano:0713680829,Juma_Jafari@yahoo.com
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu mimi naitwa marwan niko kenya mombasa natafuta mchumba mzuri mwenye mpenzi la kweli awe na umri wa miaka 20 mpaka 23 yeyote mwenye yuko tayari anipigie +254702579780 ama emil...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
WanaJF wenzangu Salamu, Kumekuwepo na threads kadhaa za kutafuta wenza (wachumba, Marafiki, wake na waume) nafurahi wanaJf wamekuwa wakichangia kwa hali yoyote ile ili kuwafanikishia lengo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za saa hizi Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Jamani wanaJF, a) Wanaopenda kukandia karibuni b) wenye nia njema karibuni saaaana! Lengo Natafuta mchumba aliyekamili na tayari kwa ajili ya ndoa Sifa: i. Mlokole wa kweli ii. Kati ya 21...
0 Reactions
135 Replies
13K Views
Naomba mnijuze juu ya hili kabla sijpotea ndugu yenu
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Mhh, nimempata huyu mlimbwende , ila haka kamila kao kananiboa ,naweza badili msimamo!
0 Reactions
101 Replies
12K Views
Hii nimeitoa Michuzi blog, kwa wale vijana mnao tafuta wachumba kazi kwenu "Habari kaka Michuzi, Naomba unirushie tangazo langu Hili. Mimi ni msichana natafuta Rafiki ambaye yupo serious...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
hi ladies am immanuel am 25 yrs mimi ninaingia chuo maka huu nimepa chuo nje ya nchi huko mozambique urefu wangu ni wastani na rangi yangu ni maji ya kunde ninahitaji mpenzi awe mzuri elimu yake...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila mafanikio, imenibidi nije hapa jukwaani ili kama kutakuwa na matatizo ya mtu kama mimi basi tuweze kujiunganisha. Nipo serious katika hili na hakuna utani...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wana JF yoyote yule aliye tayari aniPM nimuunganishe na huyu mama anatafuta mchumba kwa udi na uvumba! Sifa kubwa nikuweza kuhimili turbo hilo maana likifunguka turbo hili kuzima ni Dk 25 baada...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom