Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
hi naitwa intelli, waweza niita raisi wa ma jobless pro max. "Looking for a genuine connection to a certain genuine Lady to build a meaningful relationship with" Kiumri nina miaka 25, Mimi ni...
20 Reactions
153 Replies
2K Views
Mwanamke miaka 33 natafuta mume ambaye yuko serious kuanza maisha ya familia pamoja,awe na sifa zifuatazo. umri kuanzia miaka 33 hadi 40 awe Mkristo Elimu kuanzia bachelor degree na...
20 Reactions
184 Replies
5K Views
Nawasalimu rafiki, nawapenda walevi jaman wanaojua kula vitu vitamu kwa usafi wake. Ni hilo tu, tufanyeni kazi tukutane jioni japo tupige story mbili tatu maeneo ya Shoppers tunywe kahawa nitalipa...
10 Reactions
163 Replies
2K Views
Hello dears, baada ya kutengana na mwenzangu upweke umenishinda kwakweli nimeona nitafute mtu wa kuwa nae karibu na kushare Mambo ya ndani. Mimi; Ni mwanamke wa miaka 38 Brown skin tone Mkristo...
35 Reactions
241 Replies
9K Views
Kila anayehangaika kupata mwenza ili aoe au aolewe, mwaka huu afanikiwe na sote humu pia tuwasaidie, watimize lengo lao.
16 Reactions
70 Replies
1K Views
Nimefuatilia post za wadada walio wengi wanaofanya biashara, wakiandika huku love connect wanasema wao ni wamachinga. Mnaweza kuwa mnajinyima fursa kwani kuna wanaume wanataka mwanamke strong...
2 Reactions
8 Replies
273 Views
Nahitaji rafiki wa kupeana ushauri maana sijielewi naona km niko peke angu,wandugu plz nakaribisha pm kwa new friend.
0 Reactions
30 Replies
3K Views
I'm man (38) residing in Iringa and employed here, have one son from previously relationship, seriously need wife. Other things will be discussed over cup of coffee tukikutana. Mbarikiwe.
8 Reactions
7 Replies
1K Views
NAMTAKA SINGO MAZA 1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi Niliowapa amana, hata hawakuienzi Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa 2 Aloumizwa ja mimi...
5 Reactions
36 Replies
913 Views
Habari, natafuta mwanamke wa umri 35-45 , kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi na si ndoa. Niko Dar es salaam. Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
4 Reactions
15 Replies
385 Views
Sifa nnazohitaji: Umri 40+ awe mfanyabiashara kama ni muajiriwa iwe kazi ya kueleweka kama ni MBA poa tu (simaanishi masters). mrefu ili niwe comfortable hata kutembea nae njiani, akiwa mfupi...
27 Reactions
250 Replies
9K Views
Umri kuanzia miaka 22. Elimu form four na kuendelea. MUHIMU awe ana uzoefu wa kulima kwa jembe la plau linalovutwa na ng'ombe. Angalia picha kwa ufafanuzi zaidi.
2 Reactions
22 Replies
418 Views
Habari zenu, Kama kichwa kinavyoonesha,nahitaji mume. Mimi ni mwanamke Mkristo umri wangu ni miaka 35. Kwa sasa nimeajiriwa taasisi binafsi. Nahitaji mwanaume anayejitambua, mkweli, mtafutaji...
17 Reactions
67 Replies
4K Views
Habari natafuta mwanamke umri kuanzia 25 mpaka 30 nahitaji mwanamke wa kuoa nimeajiriwa kazi yangu ni daktari(MD).naishi dares salam
4 Reactions
0 Replies
176 Views
Dear fellow Rwandese woman, I am looking for a woman with a good heart to bond together by establishing a very good family together. I am Tanzanian, government employee, 38 years old, Christian -...
3 Reactions
16 Replies
501 Views
Gentleman, humble, honest, God fearing man, who has determination of great success in life hereby looking for a serious single woman who is looking for a man to engage in and establish serious...
8 Reactions
90 Replies
2K Views
Wanaume ambao hamjaoa,wake zenu watarajiwa wapo makanisani,tembeleeni huko,kwenye kwaya za makanisa,wapo wanawake wengi sana.Nendeni kwenye makanisa,kusali,kuimba na kwa shughuli nyingine za...
2 Reactions
10 Replies
289 Views
Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32-35 una kazi ya kuajiliwa, mkristu,huna UKIMWI,wala UTI sugu, huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge. Karibu nimechoka kuwa single, na uwe...
5 Reactions
24 Replies
549 Views
Greetings to everyone, my dear brothers and sisters. I hope you all are in good health and progressing well with your nation-building endeavours. I am a 32-year-old man currently living in Dar es...
6 Reactions
61 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…