Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama kichwa cha habari kinavyo sema kutokana na changamoto za safari za utafutaji na kukaa muda mrefu nje ya familia nahitaji mke wa pili mimi ni muislam nae jitahid kufuata maadili ya kiislam...
5 Reactions
22 Replies
868 Views
Nakuja mara ya pili Mimi ni kijana wa miaka 33 Kazi: Umachinga,Udereva na utalii Dini : Mkristo Mkazi : Arusha Kabila : Mchagga Elimu : Diploma Vigezo vya mchumba Awe zaidi ya 23 Na isiyozidi 29...
1 Reactions
9 Replies
280 Views
Hii ni kwa wanawake tuu yani wanaume haiwahusu: Nahitaji mwanamke ambaye Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wangu. Njoo PM kama ni muhitaji nitumie sms huko tukielewana utapata namba zangu za simu...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu , ni mkristo. naishi DAR kazi yangu ni muajiliwa elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , *awe mkristo *Awe anaishi dar *awe...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Habarini wapendwa, Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta girlfriend (19-21) awe mwembamba akiwa na English body itakua sifa ya nyongeza urefu wangu ni 120cm sikumbuki vizuri, asiwe mfupi rangi...
21 Reactions
212 Replies
3K Views
Mwaka unaisha ivo sijapata mke Naishi vikindu Kama yupo basi aje mwenye miaka 25-35. Aliyetayari tuyajenge DM
1 Reactions
2 Replies
146 Views
Hello Natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea mambo mengine tutaongea akipatikana. Mimi naitwa John niko Dar kwasasa. Umri wangu miaka 35.
4 Reactions
14 Replies
360 Views
30s umri huu Kwa mwanamke anabidi kufocus kutafuta mwanaume kwao huko Mtaani kwao. Sio anadanga huko Mtaani miaka yote na kutoa mimba then anakuja huku ambako afahamiki ili ajipatie dodo kwenye...
7 Reactions
8 Replies
288 Views
kwema wa dada na mishangaz ya kati na maanisha wale wa 97 hadi 99, kama mada inavojieleza natafta mke mwenye tabia nzuri, mpole na mnyenyekevu pia mcha mungu. sifa hasiwe fake sana rang yeyote...
6 Reactions
27 Replies
594 Views
Ninajitokeza hapa nina nia ya dhati na kweli kutoka moyoni nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha mwenye HIV Positive, siitaji mpenzi naitaji mke! Napatikana Dar es Salaam, nina miaka 52, maji...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF, mimi ni mwanaume, umri miaka 27, dini mkristo, natafuta rafiki wa kike ambae baadae anaweza kuwa mke, kama umevutiwa karibu inbox.
1 Reactions
1 Replies
216 Views
Kwanza naomba kuuliza ivi watu wanaotafuta wenza humu mnawapata kweli? Leten mirejesho tujue maana mtu akipost kutafuta mwenza naona comment ni za kukatisha tamaa haswa ma single mama Kwan mtu...
0 Reactions
4 Replies
199 Views
Habari ndugu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni mpweke na nipo singo, natafuta mwanamke ambaye atanipa faraja moyoni kwa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Nina uhitaji wa...
4 Reactions
50 Replies
1K Views
Natumai mu wazima wa afya, Twende moja kwa moja kwenye maada kuu, kama watu wa kiroho wanavyotafsiri alama hii 11:11 , kuhusu alama hiyo kwa upande wangu kila siku naiona kwenye mizunguko ya...
1 Reactions
7 Replies
372 Views
Wakuu kwema? Kuna ndugu yangu anatafta mwanamke wa kuoa lakini shart lake awe na garden love za kutosha. Nawasilisha.
1 Reactions
12 Replies
340 Views
Ahsanteni Nimefanikiwa kupata rafiki mwema mwenye vigezo zaidi ya nilivyoandika. Mungu awabariki
55 Reactions
271 Replies
7K Views
Hello Naitwa Octavian mwenye umri wa miaka 37.Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia 28 nakuendelea. Awe mkristu,kabila lolote. Kazi yangu nimejiajiri . Aliye tyr aje pm tuyajenge au...
3 Reactions
8 Replies
401 Views
Namtafuta mpenzi mwenye ako na miaka 21 hadi 24 na lazima awe mjamungu.Mimi ni mkenya..,contact me thrue vinropyah@gmail.com if u r interested.
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari wakuu. Baada ya kujitafuta nikanunua ng'ombe wa Kisukuma kama 12 hivi! Basi nimerudi tena kutafuta mwanamke ambaye nitamuoa na tutakaye saidiana kuchunga hawa ng'ombe. Vigezo ni awe...
18 Reactions
71 Replies
2K Views
Habari, nipo Arusha natafuta mwanamke umri kuanzia miaka 28 hadi 37 tuishi na tuzae mtoto, sichagui Kabila wala dini. Asiwe mlevi, mvivu. Alie serious anifuate inbox
1 Reactions
3 Replies
226 Views
Back
Top Bottom