Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama kichwa kinavyojieleza wapendwa wangu nahitaji rafiki wa kike kwaajiri ya kushare mambo mbalimbali ya maisha awe na umri wa 25 or less than 25 na aliopo Dodoma. Napenda sana rafiki...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Aliyetayari kuwa baba wa mwanangu anitafute PM. SIFA . Awe na umri kati ya miaka 30_45; Akubali mtoto atumie majina yake ata akipenda anaweza mtafutia jina lingine; Elimu kuanzia diploma; awe...
7 Reactions
89 Replies
6K Views
....salaam wana jukwaa: ....Lengo la uzi huu napenda kupata rafiki (best friend) diaspora. ....Rafiki huyu ninae tamani kukutana nae ningependa awe anaishi nje atleast kwa miaka kuanzia 4+...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Habari wana MMU. Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya tele aliyonipa. Mimi ni kijana Nina miaka 28. Natafuta binti anayejiheshimu na ambaye yupo tayari kuolewa kwa sasa. Dini...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Iam searching for a white girl or woman for marriage.i real admire them please wherever you are come to me
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Umri: awe kuanzia miaka 22 nakuendelea, asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote. Dini: awe muislamu Elimu: kuanzia kidato cha nne na kuendelea, Sio lazima awe anafanya kazi, Na akiwa ni...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Umri: awe kuanzia miaka 25 na kuendelea, na asiwe na mtoto, asiwe mnene sana, rangi yoyote. Dini: awe muislamu kwakua mimi pia ni muislamu Elimu: kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu, Sio...
2 Reactions
7 Replies
953 Views
Habari zenu wadau,natafuta mchumba wa kike umri usiozidi 28,vigezo:mimi ni mrefu Mweusi kiasi flani Elimu:Form4 hadi chuo kikuu :Mengine tutamalizana PM Karibuni Sana
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume rijali kabisa natafuta mwenza wa maisha alie tayari kuishi maisha ya ndoa na familia natokea kusini mbeya, umri wangu 28 years elim degree, kazi biashara.... Akitokea kusini...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa ukweli, ambaye tutakuwa tunabadilishana mawazo, karibu
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 30 ninaishi Dar, mweusi mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri anaye ishi Dar ambaye yuko serious anatafuta mpenzi kama mimi,mwenye kazi pia mwenye umri...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi huchukulia mitandao kama pori ambalo lina kila aina ya wanyama, wakuliwa, wasio wa kuliwa na wanyama hatari. Ubaya Zaidi hizo namba mnazoweka humu mitandaoni huwa hazifutiki kwani hubaki...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta mchumba ,Masharti rahisi tu 1;umri kuanzia 22 mpka 26 2;Asiwe na Mtoto 3;Asiwe mfupi 4:kutoka mkoa wowote ule Tanzania bara na visiwani
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa majiana naitwa Elnest tesha, namiaka 33 natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayar kufunga ndoa na Mimi .. sifa, awe mcha mungu, dini yoyote, awe na bachelor degree, masters, au PhD ikiwa computer...
0 Reactions
112 Replies
7K Views
Nimechoka na upweke. Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha. Sifa zake; Mrefu Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali Asiwe Muhaya Elimu kuanzia la saba Sifa zangu; Mimi ni...
3 Reactions
82 Replies
10K Views
Sifa ya kwanza awe muajiliwa au kajiajiri Sifa ya pili awe tayari na miaka kuanzia 25 mpaka 35, Asiwe na zaidi ya mtoto moja Sichagui dini wala kabila Awe mzuri wa wastani na mnene kiasi na wowo...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari jf natafuta Mke wa kuoa alie Na sifa zifuatazo 1. Ajue kusoma na kuandika 2.awe na heshima 3. Mweupe ama Maji ya kunde 4. Asiwe mfupi sana wala mnene sana 5.umri miaka 18-26 .karibuni PM...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
JF
Toka niingie jamii forums hakuna ata mtu alokuja PM kunsalimia.... Haya basi njooni japo munitukane[emoji1] [emoji1] [emoji1]
0 Reactions
13 Replies
923 Views
Nahitaji mwanamke wa kumuoa, Sifa kuu awe Wife material, mwalimu wa shule ya msingi Sifa ndogo ndogo: 1. Mweupe (natural) 2. Awe tayari kuwa mkristo 3. Awe chini ya miaka 26 Mimi ni mwanafunzi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
NAwasalim wandugu. Mimi kwa sasa niko musoma natafuta marafiki walio musoma tufahamiane. Mimi ni mwanaume umri miaka 25 ni mwajiriwa serikalini. Nitafute pm au kwa e mail jerryrobson55@gmail.com
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom