Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mifano ni mingi sana humu nchini. Hivi shida hasa huwa ni nini, licha ya kujiapiza na kusifiana kupitiliza mtaani, mitandaoni na kwenye vyombo vya habari mpaka kutoa machozi, lakini mwisho wa...
1 Reactions
14 Replies
387 Views
Wakuu Ndugu yangu limemkuta (chovyachovya imemponza) Walifanya siri ila leo dogo amezaliwa na wazazi hawajui( mama na mjomba) Sasa nimeombwa ushauri, ila nmemwambia anipe mda maana maza namjua...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Sisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama. Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu...
17 Reactions
147 Replies
4K Views
Mwanaume kumbuka kwamba uyo Lusifa unaemuita mke, mchumba, baby n.k sio ndugu yako uyo, ni stranger tu ambae umekutana nae ukubwani akakubali kujiweka kwako kwa masilahi yake, ana uhuru wa...
9 Reactions
25 Replies
894 Views
Katika maisha ukishafikia umri wa kuoevuka kibiolojia ni lazima utalazimika kutimiza matakwa ya kibiolojia. Kuna umri fulani ukifikia hujaoa ama hujaolewa ni lazima utaanza kujiona ni mwenye...
1 Reactions
1 Replies
256 Views
Je umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi. Siku zote kulipiza kisasi kamwe...
39 Reactions
182 Replies
3K Views
Habarii, In short I am a single woman of 38yrs of age blessed with 2 beautiful kids. Black in complexion, petite with moderate height. At the moment I am living within EU.I am a God fearing n SDA...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Waslaam wakuu, kwanza naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu bafetimbi kwa kuanzisha thread murwa kabisa ya Nofab challenge ambayo imeonekana kupokelewa vizuri Sana na Wana...
13 Reactions
67 Replies
8K Views
Yani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
19 Reactions
77 Replies
2K Views
Wataalamu tunaomba msaada. Je, ni kweli umri unavyozidi kuongezeka Mwanamke hutaka ngono zaidi huku Mwanaume hamu ikipungua?
0 Reactions
15 Replies
785 Views
Aisee. Mapenzi ya sasa yamekuwa moto. Tumeacha Romance tumejifunza ya kwenye video sasa tunafanya Prac. Kuzama chumvini imekuwa kitu cha kawaida. 69 imekuwa normal. Watu wameacha asili...
5 Reactions
109 Replies
3K Views
Mwanamke unayemchagua awe mwenza wako ana affect...🤨 Afya yako ya akili . Amani ya moyo na akili Mafanikio yako Mahusiano yako ya kiroho na Mwenyezi Mungu . Na effects zinadumu kwa kipindi...
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Wanaume wenye mapenzi ya kweli na wenye kujitambua mara nyingi huwa ni washamba, hawajui kuvaa, wanesoma sana tena kwa shida, wana hofu na Mungu na wanaenda kanisani, ni wapole. Hawajui Hii...
19 Reactions
54 Replies
3K Views
KAMA HUNA HELA UTAZINGATIWA NA WACHACHE JAPO NAO KUNA MUDA WATAKUCHOKA ILA WATAKUFICHA. USIJUE 😔 Dunia ni katili sana kwa mtu ambaye hana pesa kuna muda utaona kama mwenye pesa anapendelewa ni...
4 Reactions
10 Replies
587 Views
Hii app ya Whatsapp sioni faida yake kabisaaa imegeuka kausha damu kwangu, imagine nina group tano za michango ya harusi na zote zinadai 50K kwenda juu. Na bado sijui kama kutakucha bila kuongezwa...
37 Reactions
134 Replies
6K Views
Mhadhara - 34: Tukizungumzia msiba ni tukio la ghafla - msiba hutokea ghafla. Kwa watu ambao wana maisha ya kawaida matukio ya misiba yanawakuta wafiwa kwenye hali mbaya ya kiuchumi. Hivyo ni...
2 Reactions
5 Replies
527 Views
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, mimi nimekuwa muumini sana wa kipaumbele cha chuchu Dodo, ila kwa hakika naomba nikiri niombe radhi nilikuwa nimepotea kimtizamo na kivigezo , Nyashi Ina mchango...
2 Reactions
9 Replies
408 Views
Wakuu tunaomba mtupe tips za kujua kua huyu ndo mwenza wako wa maisha yaan mke bora au mume bora. Vijana tumechoka ubachela sema tunaogopa sana ndoa emu tupeni mafunzo kidgo tusije kupigwa za...
4 Reactions
68 Replies
1K Views
1. Mwanangu, ukiona unatumia pesa kwa mwanamke na hajawahi kukuuliza kama unaweka akiba au kuwekeza, na anaendelea kufurahia tu, usimuoe huyo mwanamke. 2. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mke...
4 Reactions
5 Replies
446 Views
"According to Psychologists, there are four types of Intelligence: 1) Intelligence Quotient (IQ) 2) Emotional Quotient (EQ) 3) Social Quotient (SQ) 4) Adversity Quotient (AQ) 1. Intelligence...
2 Reactions
11 Replies
422 Views
Back
Top Bottom